GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,858
Najiandaa kwenda Msibani ( Mazikoni ) Kijijini Busegwe Mkoani Mara ( Musoma ) kumzika Mzee Mkono na nitapita Kumsalimia na Babu yangu Mzee David Bugozi Musuguri ( Mkuu wa Majeshi Mstaafu ) hivyo naomba nikifika Kwake Butiama nikute nae kapewa Land Cruiser LC 300 Jipya kama walilopewa CDF Wastaafu Waitara na Mboma sawa?
Na GENTAMYCINE naomba Maelezo ya Kina ya kwanini Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia kaamua kuwapa hawa Wakuu wa Majeshi Wawili tu hizi Gari na kutowapa Wakuu wa Majeshi wengine akiwemo Babu yangu Mzee Musuguri? Kuna nini hadi hawa wengine hawajapewa?
Hivi Kihistoria tukiacha Unafiki na Chuki kuna Mkuu wa Majeshi aliyefanya vyema ( hasa Kipindi cha Vita na Nduli Idi Amin ) kama Jenerali David Bugozi Musuguri?
Kwa Kinywa chake akiniambia Mjukuu wake Tukuka GENTAMYCINE alisema kuwa Yeye ndiyo alimkamata Live Dikteta Amin ( ambaye pia ndiye alimfundisha Mafunzo ya Kijeshi huku Tanzania KAR ) ili ammalize ( amuue ) ila akazuiliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na alipomuachia ndipo Nduli Amin akapata Upenyo na Kuikimbia kabisa nchi ya Uganda.
Na Rais Samia usichokijua ni kwamba hakuna CDF aliyechukiwa na Wanajeshi kama Poti wangu George Waitara kutokana na kuwa na Roho Mbaya ambayo Wakurya hawana.
CDF gani Askari wakienda Kumlinda Kwake SalaSala anawazuia hata Kunywa tu Maji ya Bomba na kuwataka watoke nayo Lugalo katika Chupa zao? Waitara sijui hii Roho umeitoa wapi na hata Marehemu Mwanao ( Kijana wako ) alikuambia uiache kwani imekutengenezea Maadui wengi.
Pongezi nyingi Kwako CDF Mstaafu Davis Mwamnyange ambaye hata ulipokuwa CDF ulipendwa mno na Wanajeshi na hata ulipostaafu Wanajeshi wanaokuja Kukulinda Kwako wanakusifia hasa kwa Utu wako wa kuwapa Chakula na Asubuhi wakiwa Wanakuaga huwa unawapa Asante todauti na CDF Mstaafu Mwenzako Waitara ambaye hana Ukarimu wowote kwa Wanajeshi wanaoenda Kumlinda.
Waziri Bashungwa tafadhali nikifika Kijijini Uzanakini Busegwe Mkoani Mara Kumzika Uncle wangu Mzee Nimrod Elirehema Mkono Jumatatu ijayo nikienda Kumsabahi / Kumsalimia Babu yangu CDF Mstaafu Mzee Musuguri naomba nilikute na Yeye Gari yake Land Cruiser LC 300 Mpya kama mliyowapa leo CDF Wastaafu Waitara na Mboma sawa?
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Na GENTAMYCINE naomba Maelezo ya Kina ya kwanini Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia kaamua kuwapa hawa Wakuu wa Majeshi Wawili tu hizi Gari na kutowapa Wakuu wa Majeshi wengine akiwemo Babu yangu Mzee Musuguri? Kuna nini hadi hawa wengine hawajapewa?
Hivi Kihistoria tukiacha Unafiki na Chuki kuna Mkuu wa Majeshi aliyefanya vyema ( hasa Kipindi cha Vita na Nduli Idi Amin ) kama Jenerali David Bugozi Musuguri?
Kwa Kinywa chake akiniambia Mjukuu wake Tukuka GENTAMYCINE alisema kuwa Yeye ndiyo alimkamata Live Dikteta Amin ( ambaye pia ndiye alimfundisha Mafunzo ya Kijeshi huku Tanzania KAR ) ili ammalize ( amuue ) ila akazuiliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na alipomuachia ndipo Nduli Amin akapata Upenyo na Kuikimbia kabisa nchi ya Uganda.
Na Rais Samia usichokijua ni kwamba hakuna CDF aliyechukiwa na Wanajeshi kama Poti wangu George Waitara kutokana na kuwa na Roho Mbaya ambayo Wakurya hawana.
CDF gani Askari wakienda Kumlinda Kwake SalaSala anawazuia hata Kunywa tu Maji ya Bomba na kuwataka watoke nayo Lugalo katika Chupa zao? Waitara sijui hii Roho umeitoa wapi na hata Marehemu Mwanao ( Kijana wako ) alikuambia uiache kwani imekutengenezea Maadui wengi.
Pongezi nyingi Kwako CDF Mstaafu Davis Mwamnyange ambaye hata ulipokuwa CDF ulipendwa mno na Wanajeshi na hata ulipostaafu Wanajeshi wanaokuja Kukulinda Kwako wanakusifia hasa kwa Utu wako wa kuwapa Chakula na Asubuhi wakiwa Wanakuaga huwa unawapa Asante todauti na CDF Mstaafu Mwenzako Waitara ambaye hana Ukarimu wowote kwa Wanajeshi wanaoenda Kumlinda.
Waziri Bashungwa tafadhali nikifika Kijijini Uzanakini Busegwe Mkoani Mara Kumzika Uncle wangu Mzee Nimrod Elirehema Mkono Jumatatu ijayo nikienda Kumsabahi / Kumsalimia Babu yangu CDF Mstaafu Mzee Musuguri naomba nilikute na Yeye Gari yake Land Cruiser LC 300 Mpya kama mliyowapa leo CDF Wastaafu Waitara na Mboma sawa?
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume