Kwanini kwa Tanzania ni kheri uwe Waziri wa Wizara yoyote tu Utaheshimika kuliko ukiwa Makamu wa Rais ambapo Utasahaulika na Kupuuzwa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,542
108,852
Majibu yenu ni muhimu Kwangu kwani kuna Mtu nasikia analalamika Maagizo yake hayafanyiwi Kazi haraka kama ya Waziri mwenye Wizara ambayo hapo kabla Yeye ndiyo ilikuwa Wizara yake na aliimudu vilivyo kwa Kutubania Fedha Watanzania hadi ikawa Ngumu kuipata ila Yeye na aliyemteua ( sasa kalala mazima ) wakawa Wanazitumbua tu watakavyo na Mjomba Mtu Mmoja wa zinakotunzwa.
 
Ndio shida ya katiba yetu,
Kuna vyeo vingine ni mzigo tu kwa walipa kodi.
Baada ya Raisi mtendaji ni waziri mkuu, huyu mwingine ni kurithi tu utawala ambao hautusaidii.
 
Majibu yenu ni muhimu Kwangu kwani kuna Mtu nasikia analalamika Maagizo yake hayafanyiwi Kazi haraka kama ya Waziri mwenye Wizara ambayo hapo kabla Yeye ndiyo ilikuwa Wizara yake na aliimudu vilivyo kwa Kutubania Fedha Watanzania hadi ikawa Ngumu kuipata ila Yeye na aliyemteua ( sasa kalala mazima ) wakawa Wanazitumbua tu watakavyo na Mjomba Mtu Mmoja wa zinakotunzwa.
Umemaliza?Au umepumzika utakuja kumalizia?
 
Makumu rais alivyo teuliwa alitoa hotuba amabyo kidgo ilileta ukakasi namnukuu "mkafanye kazi za wannanchi vzr na msipotekeleza majukumu yenu nitawashughulikia na tutakuwa wakali mno alikuwa anawambia mawazir sas ukiangali hotuba hyo Ni kama alikuwa Yuko juu ya rais tokea kipindi hcho sijasikia Tena akiongeaa hvyo nadhani alipigwa biti kuwa wee Ni makamu tu huna mamlaka ya kuteu na kutengua

Bas namuona tu anaotesha miti
 
Makamu wa rais ni kama back up kusubiri rais afariki..hawanaga kazi wale.

Nakumbuka bilali alikua kazi yake kukata utepe tu kila siku..nahisi hadi alikua na mkasi maalumu kwa kazi hiyo.

Anyway nimoja kati ya nafasi ambazo zilipaswa ziondolewe kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom