Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Kila mymana anashambuliwa na parasite mbalimbali ktotokana na bio composition ya mwili wake. Parasite wengi huweza kubadilika wakati ukiwa hai wanaishi na wewe bila madara ( symbiotic relation) lakini ukifa tuu wanabadilika kuwa decomposes wengi ni wale waitwao ( facultative parasites). Hoja kwamba kunguru hashambuliwi na decomposers si ya kweli kwani ingekuwa hivyo wakifa miili yao ingekuwa inadumu kama plastic au mifuko ya rambo ambayo ni non biodegradable, kwa kuwa niili yao huisha baada ya kufa, basi kuna parasite wanaowashambulia ambao sii lazima waonekane kwa macho. KILA MKUU ANA MKUU WAKE NA KILA MBABE KUNA MBABE ZAIDI YAKE.
Nimeipenda hii
 
anaejipendekeza kwa mwenzake nani? ulishawai kuniona mahali nimekujibu? kisaa wewe
Mbona unatetemeka mpaka unashindwa kuandika vizuri?

JF ni open forum,unapojibiwa haina maana kua mtu anajipendekeza kwako,wewe kama nani mpaka nijipendekeze kwako? Tulia tu utakaa sawa.
 
Ukishika wire halafu umekanyaga chini basi utakula shoti ila kama umeshika wire juu kwa juu hutapigwa shoti kwa kuwa hujacomplete circuit haya ni kwa mujibu wa mwl wangu wa physics a level (nisahihishe)
Embu nenda kashike halafu ujichukuwe na video kabisa uje utuonyeshe ulivyo fuzu hilo somo we huyo mwl. wako mwambie arudi darasani
 
Kweli mm nilishuhudia fundi anashika waya live bila wasi nikachoka nikamuuliza akanijibu something to do with conductivity au Earthing sikumbuki vzr.
Ni kweli unaushika lakin unaushikaji wake
 
Embu nenda kashike halafu ujichukuwe na video kabisa uje utuonyeshe ulivyo fuzu hilo somo we huyo mwl. wako mwambie arudi darasani
Kijana unapokua hujui jambo sio aibu, ila ni aibu kujifanya unajua jambo wakati hulijui,inaonekana hili somo lipo nje ya uwezo wako wa uelewa, hebu jaribu kusoma previous comment huenda ukagain something.
 
Mkuu chaUkucha

Sio kweli Kunguru hapigwi shoti ya umeme coz ya sumu iliyopo ndani ya damu yake,

Unajua hakuna shoti kama hakuna "potential difference" katika terminals za kifaa chochote kile,

Kunguru anapokanyaga waya mmoja kunakua hakuna "Partial discharde ( p.d ) lakini kama akitanua miguu yake na kukanyaga waya mbili atapigwa na shoti na kugeuka majivu in a seconds!

Chukulia mfano wa binaadamu,yeye anatengeneza partial discharge (p.d) kati ya waya na "earth"
Yani binaadamu anapokuwa kasimama ardhini, lakini kama akining'inia kwenye waya kwa mkono mmoja au hata kwa mikono yake yote miwili ikiwa karibukaribu hakuna madhara mradi hagusi chochote kinachogusana na ardhi. Lakini kama akitanua mikono yake itakua anatengeneza partial discharge na lazima apigwe na shoti,

Kitu kingine,Kunguru miguu yake ina magamba ambayo ni "Insulation" hii humsaidia asipigwe na shoti hata akigusa miguu yote hatapata shoti,ila hiyo insulation yake ni kwa umeme mdogo tu kama vile 1V to 450V kwa umeme mkubwa hiyo insulation yake miguuni haitomsaidia kitu.
exoskeloton au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom