Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,849
Yeye hapigwi shoti kwa sababu anakua haja complete circuit ila binadamu anaposhika nyaya anakua kama vile kajifanya waya wa kupitisha huo umeme kwenda ardhini(Niko tayari kusahihishwa)kuna haja ya kupata somo la umeme