MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,298
Jina lako nilisikia zamani, kwenye wimbo wa leka mbuke.
Kama sikosei kuna kuna sehemu wanasema
"Kalelee fijoo, kalelee.
Leka mbukee, ukaja leka mbuke uyee"
Jina lako nilisikia zamani, kwenye wimbo wa leka mbuke.
Kwahiyo mkuu ndo kusema kuwa Mr Kunguru ni mbobezi kwenye masuala ya umeme ndio maana hapigwi shoti.?Mkuu Sio kweli, Uwezo wa kutua katika nyaya za Umeme wenye Power sio kwamba ndio ability hata ww unaweza kuninginginia hizo nyanya za umeme tena high voltage bila kudhurika ni namna tu ya kujua kanuni za umeme
Pitia post juu nimeshatoa ufafanuzi wa hiloKwahiyo mkuu ndo kusema kuwa Mr Kunguru ni mbobezi kwenye masuala ya umeme ndio maana hapigwi shoti.?
Kumbe kuwalilialilia Tanesco wakikata umeme ni uzembe wa wabongo tu maana wanashindwa kutumia walionao ndani yao. Labda ndo maana nchi kama Marekani hawalalamikii haya mambo ya umemeNasikia binadamu eti ana umeme ndani yake!
hahahah nimecheka balaaalitumwa na nuhu akacheki kama maji yameisha hakurudi tena kwa nuhu akanogewa na mapochopocho aloyakuta yanaeleaelea
laana ni jambo baya...mzoga usipooza jambo hili linawezaje kuitwa laana??kipindi cha nuhu alitumwa atoke nje ya safina akaangalie hali ipoje akatokomea kwa kunogewa na mizoga akalaaniwa vivyo hivyo firauni nayy mzoga wake ulilaaniwa hata wadudu wasiusogelee kama ilivyo kwa kunguru na hadi leo mzoga wake upo kamili gado....naweza kusahihishwa
duuuIvi sumu aliyonayo ndo inasababisha asinaswe na umeme? Maana namuonaga kwenye nyaya za umeme akiwa anatabasamu!
Ivi sumu aliyonayo ndo inasababisha asinaswe na umeme? Maana namuonaga kwenye nyaya za umeme akiwa anatabasamu!
Simple....ni kwasababu kunguru afugikiKiumbe yoyote akifa anaoza then funza wanamshambulia lakini kwa kunguru ni tofauti nimeshuhudia kunguru mfu wengi lakini sijaona funza, huyu kunguru ana nini?!
Hivi, neno sahihi ni lipi kati ya haya ;Hili nimeshudia sana kwenye plant moja ya umeme,sema ile miguu yake ina magamba magumu ambayo huact kama insulator hivyo umeme hushindwa kupenya.Pia akifa wadudu humshambulia(funza weupe) isipokua inzi ndo hawamsogelei.
Mkuu nisome comment#33 nimemjibu mdau swali kama hili lako.Duh kumbe,
Vipi kuhusu anavyobembea kwenye nyaya za umeme bila kurushwa, hio nayo inayokana na nini?
Ahsante sana kwa darasa kaka!Mkuu nisome comment#33 nimemjibu mdau swali kama hili lako.
Hana DamuKiumbe yoyote akifa anaoza then funza wanamshambulia lakini kwa kunguru ni tofauti nimeshuhudia kunguru mfu wengi lakini sijaona funza, huyu kunguru ana nini?!
True, its abt 200yrsNasikia kunguru damu yake.ni acid. Na wala katika maisha yao huwa hawaugui kwasababu ya damu yao kuwa sumu na hakuna mdudu anayeweza kuishi kwenye miili yao. Nasikia wanaishi zaidi ya miaka 100 hao.
cleverMkuu chaUkucha
Sio kweli Kunguru hapigwi shoti ya umeme coz ya sumu iliyopo ndani ya damu yake,
Unajua hakuna shoti kama hakuna "potential difference" katika terminals za kifaa chochote kile,
Kunguru anapokanyaga waya mmoja kunakua hakuna "Partial discharde ( p.d ) lakini kama akitanua miguu yake na kukanyaga waya mbili atapigwa na shoti na kugeuka majivu in a seconds!
Chukulia mfano wa binaadamu,yeye anatengeneza partial discharge (p.d) kati ya waya na "earth"
Yani binaadamu anapokuwa kasimama ardhini, lakini kama akining'inia kwenye waya kwa mkono mmoja au hata kwa mikono yake yote miwili ikiwa karibukaribu hakuna madhara mradi hagusi chochote kinachogusana na ardhi. Lakini kama akitanua mikono yake itakua anatengeneza partial discharge na lazima apigwe na shoti,
Kitu kingine,Kunguru miguu yake ina magamba ambayo ni "Insulation" hii humsaidia asipigwe na shoti hata akigusa miguu yote hatapata shoti,ila hiyo insulation yake ni kwa umeme mdogo tu kama vile 1V to 450V kwa umeme mkubwa hiyo insulation yake miguuni haitomsaidia kitu.
..damu yake ni sumu....Kiumbe yoyote akifa anaoza then funza wanamshambulia lakini kwa kunguru ni tofauti nimeshuhudia kunguru mfu wengi lakini sijaona funza, huyu kunguru ana nini?!
Ivi sumu aliyonayo ndo inasababisha asinaswe na umeme? Maana namuonaga kwenye nyaya za umeme akiwa anatabasamu!