Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Kila mymana anashambuliwa na parasite mbalimbali ktotokana na bio composition ya mwili wake. Parasite wengi huweza kubadilika wakati ukiwa hai wanaishi na wewe bila madara ( symbiotic relation) lakini ukifa tuu wanabadilika kuwa decomposes wengi ni wale waitwao ( facultative parasites). Hoja kwamba kunguru hashambuliwi na decomposers si ya kweli kwani ingekuwa hivyo wakifa miili yao ingekuwa inadumu kama plastic au mifuko ya rambo ambayo ni non biodegradable, kwa kuwa niili yao huisha baada ya kufa, basi kuna parasite wanaowashambulia ambao sii lazima waonekane kwa macho. KILA MKUU ANA MKUU WAKE NA KILA MBABE KUNA MBABE ZAIDI YAKE.
 
Back
Top Bottom