Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Ivi sumu aliyonayo ndo inasababisha asinaswe na umeme? Maana namuonaga kwenye nyaya za umeme akiwa anatabasamu!
Sio kweli. Hata wewe ukiweza simama kwenye waya wa umeme free standing bila kugusa ardhi au wire mwingine hutadhurika.
 
Ninyi watu, mbona huku Ukerewe hasa katika visiwa vile vidogo vidogo wavuvi wanakula kila ndege akiwemo kunguru au hawa kunguru wa Ukerewe hawana sumu?
 
Mkuu Sio kweli, Uwezo wa kutua katika nyaya za Umeme wenye Power sio kwamba ndio ability hata ww unaweza kuninginginia hizo nyanya za umeme tena high voltage bila kudhurika ni namna tu ya kujua kanuni za umeme
Kwahiyo kiongzi kunguru anajua kanun za umeme au umeniacha hapo...????
 
Mkuu Sio kweli, Uwezo wa kutua katika nyaya za Umeme wenye Power sio kwamba ndio ability hata ww unaweza kuninginginia hizo nyanya za umeme tena high voltage bila kudhurika ni namna tu ya kujua kanuni za umeme
Sasa mkuu umeme wa high voltage ukisogea karibu tu ni msala....ndo ushike? Seriously unawashsuri watu ivo....kwl mskuma katia nanga kwny life lako
 
We uctudanganye umeme hauna mwenyewe shoti lazima
Ni kweli, unaeza ushika umeme bila madhara, ila uwe kama ambao tunautumia majumbani yaani low voltage.. Sio ule wa High voltage ambao nguzo zake huwa kubwa sana au za vyuma.. Yaani tower poles.. Ila huu wa matumizi ya ndani ndo unaweza kuushika.. Ni jins tu ya kuelimishwa.. Ila pia ndio unaoongoza kwa kuuaa watu wengi zaidi.. Ni sawa na wanyama na waduu wanaoogopwa sana ni chui simba nk, na upande wa wadudu nni nyuki, tandu nge nk ila anaeongoza kwa kuua idadi kubwa ya watu duniani ni mbu ambae tunaishi nao majumbani kwetu... Wenye akili watanielewa
 
Labda ni kwa sababu, mwili wake una sumu nyingi. Nimewahi kusikia mahali kuwa, ndiye ndege anaeishi miaka mingi....
 
laana ni jambo baya...mzoga usipooza jambo hili linawezaje kuitwa laana??
Kweli laana mbaya sana si unaona hata yule kijana wa lumumba alivyomgeuka yule mama et alikuwa anaigiza... Yaani kitu kiko open kabisa afu anasema hakumaanisha, huyu nae atakuwa kama kunguru tu hatooza akifa aisee.. Laana ya kunguru iko kwa wengi
 
Kinachomfanya asiliwe na wadudu wengine ni NYONGO yake kali pale anapokufa tu iyo nyongo inapasuka haraka na harufu yake inatapakaa mwilini kwaiyo wadudu wengine toka nje ya mwili wake kama inzi(kumbuka zile funza nyingi unazoziona kwenye mizoga ya wazi chanzo chake kikubwa ni inzi) hawasogelei ila wadudu wengine kwa maana ya decomposer ndo watamla.kwaiyo kama hatashambuwa na wadudu toka nje hawezi kuoza kama unavyoona mizoga wengine bali atakua anakauka.ata wewe ukichukua nyama ukaipaka chumvi nakuiweka juani inzi hasiweze kutua nakutaga mayai yake inakakuka kabisa kama anavyokua kunguru.Pia nimeona watu wakigusia kutua kwenye waya wa umeme.Jamii ya ndege wengi wana gamba miguuni kwao lenye material kama plastic isiyo na uwezo wakupitisha damu ndani yake kwaiyo iyo ndo inawafanya waweze kutua kwenye nyaya ya umeme bila shida ila sina hakika nakiwango cha umeme ila pia ikitokea kagusa waya nasehem nyingine ya mwili inayopitisha damu atapigwa shot kama kawaida.
 
Mkuu Sio kweli, Uwezo wa kutua katika nyaya za Umeme wenye Power sio kwamba ndio ability hata ww unaweza kuninginginia hizo nyanya za umeme tena high voltage bila kudhurika ni namna tu ya kujua kanuni za umeme
Kwaiyo kunguru wanajua kanuni za umem
 
Kila mymana anashambuliwa na parasite mbalimbali ktotokana na bio composition ya mwili wake. Parasite wengi huweza kubadilika wakati ukiwa hai wanaishi na wewe bila madara ( symbiotic relation) lakini ukifa tuu wanabadilika kuwa decomposes wengi ni wale waitwao ( facultative parasites). Hoja kwamba kunguru hashambuliwi na decomposers si ya kweli kwani ingekuwa hivyo wakifa miili yao ingekuwa inadumu kama plastic au mifuko ya rambo ambayo ni non biodegradable, kwa kuwa niili yao huisha baada ya kufa, basi kuna parasite wanaowashambulia ambao sii lazima waonekane kwa macho. KILA MKUU ANA MKUU WAKE NA KILA MBABE KUNA MBABE ZAIDI YAKE.
Nadhani kwa mbali nilianza kukuelewa lakini baadae ukaniacha. Nilitegemea utaeleza kuwa kutokana na hali ya miili yao kutokuwa rafiki kwa viumbe wengi hasa 'parasites'....basi huchukua muda mrefu kwa agents hao kufanya kazi ya kuharibu mwili wake. Ni hadi hali hiyo ya sumu itakapotoweka na si mara baada ya kufa. Ndio maana ni hadi mwili wake unakauka kwa muda mrefu wale wadudu(deteriorating microbes na decomposers) wanakuwa hawana bado uwezo wa kuuharibu wao
 
Na sio kunguru tu, hata ndege yeyote anayetua juu ya nyaya za umeme bila kupata madhara yayoye hawezi kuoza!
Hapa mkuu umechemsha kuna ndege wengi sana hutua kwenye nyaya za umee na wakifa huoza kama kawaida.
 
Na sio kunguru tu, hata ndege yeyote anayetua juu ya nyaya za umeme bila kupata madhara yayoye hawezi kuoza!
Kama jamaa anabisha mlete kwenye maabara yangu,Nina ndege aina tofauti tofauti waliokufa natural death. Hawajanuka wala kutoa hivyo anavyo visema.

Kunguru kwa vile hatumtafuni (hawatafunwi na wapo wengi wamezagaa) ndio ametia attention tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom