Kwanini konyagi huwa inalazwa?


Na hii tuliyolaza je? Sijaona Mikono hapa wala utamaduni wa mtaani.

 
Konyagi ndogo inasimama mezani vizuri tu, hata ile kubwa sehemu isiyotingishika kama meza za kaunta inasimama mezani vizuri tu.
 
No reform no election
 
Chupa ipo bapa ile ukiisimamisha meza ikicheza kidogo tu inaanguka, chupa zote za bapa na chache za pembe tatu huwa zinalazwa. Hazipo stable.
Konyagi ndogo ipo stable, ile kubwa kwenye meza ya kaunta inasimama vizuri tu.
 
Konyagi ndogo inasimama mezani vizuri tu, hata ile kubwa sehemu isiyotingishika kama meza za kaunta inasimama mezani vizuri tu.
Sawa bro!
Ila hap hujajibu hoja kwanini inalazwa.

Umetoa tu condition.
 
Nafikiri hayo ni maamuzi yenu binafsi, Hiyo whisky haijazoeleka kulazwa.

Sehemu nyingi nimeona konyagi ndiyo imezoeleka kulazwa.
Sawa.
Kwahiyo kinywaji cha Kulaza tu ni Konyagi , na inakubid kwakuwa sio maamuzi yako binafsi?.

Hard Liquors nying hulazwa kwasababu ya Muundo wa chupa, hakuna cha ubabe , utamaduni wala ukali wa Kinywaji.
 
Wabongo huwa hawaulizi.. wakiona waliowatangulia wanafanya hivi, nao hufanya vile vile bila kuuliza sababu ya kufanya vile.

Mtu tu kuamua kujilazia bapa yake, mtu kaona akajua ndo utaratibu.

Wengi hawawezi kitu kinaitwa "questioning the premise".

Ni wachache sana ukishawaweka katika reli ya "kati ya A na B unachagua ipi?" wanaweza kukuhoji kwa nini wachague, kwa nini uchaguzi uwe A au B, kwa nini wasiwe,e juchagua vyote A na B au kingine tofauti C?
 
Nimejibu, ni mbwembwe tu za walevi, wengine huwa wanaipiga chini kwenye kitako kabla hawajaifungua.
Haujajibu.

Umetoa comdition kuwa inaweza ikasimamishwa. Ndogo kuwa iko stable na kubwa kuwa meza ya Counter itakaa.

Sasa kwann weng wanalaza?
 
Nimejibu, ni mbwembwe tu za walevi, wengine huwa wanaipiga chini kwenye kitako kabla hawajaifungua.
Ile sio mbwembwe ile ni physics Mkuu, Henry's law,the solubility of a gas in a liquid is proportional to the partial pressure of that gas above the liquid.

Ile paaah!, inafanya inakuwa rahisi zaidi kukifungua kifuniko kwa zenye mifuniko ile. Kumbuka.sio chupa zote zinafanana viuniko ndio maana bado sio zote zinapigwa chini.

Hiyo ni worldwide sio bongo tu.
 
Sawa mkuu, nilikuwa sijui kama ile kupigwa kibao kwa chini ni elimu ya physics ifunguke vizuri!🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…