Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,755
- 218,372
Sheria karibu zote kandamizi za Habari na Wanahabari zilizopitishwa Awamu ya 5, zilipitishwa Nape akiwa Waziri wa Habari.
Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri? Au na hili nalo atasema limetoka Ikulu kama alivyosingizia Awamu ya 5?
Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa Waziri? Au na hili nalo atasema limetoka Ikulu kama alivyosingizia Awamu ya 5?