Cannabis

JF-Expert Member
Jan 20, 2014
8,933
25,267
Kutoka ukurasa wa Twitter Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mawasiliano Mh. Nape Nnauye amefafanua mafanikio ya serikali katika kushusha gharama za intaneti kwa watanzania. Kupitia ukurasa huo amesema "Kwa heshima ya wale waliouliza maswali ya Data kwa nia ya kuelewa na kujadiliana kwa staha kwa lengo la kupata muafaka.

Kwamba Rais Samia hajachukua hatua juu ya jambo hili si kweli. Bei ya juu Mwezi 3/2021 ilikuwa TZS 40.04 Bei ya juu Mwezi 8/2022 ni TZS 9.35. Tuanzie hapa… https://t.co/SM3vSY7erZ
20220819_101929.jpg

20220819_101931.jpg

Na ukisoma majedwali haya mawili utaona kuwa kazi ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya sita ilikuwa kutoa bei ya juu ilikokuwa imefika yaani TZS 40.4 kurudi mpaka TZS 9.35, inawezekana kwa wengine hili@si jambo kubwa lakini ni kweli si jambo kubwa?

Vifurushi ambavyo mara zote nimesema ni huduma ya ziada ambayo kwa Tanzania imegeuzwa kuwa huduma ya msingi mwezi 03/2021 ilikuwa TZS 1.11 mpaka 2.80 na baada ya kutengeneza msawazisho wa kupunguza ya juu ndio tukapata wastani wa TZS 1.75 mpaka TZS 4.67."

"Sasa kama ulivyo uzalishaji wa bidhaa zingine zozote kuna gharama za kuzalisha Unit moja inayosafirisha Data. SERIKALI INAENDELEA KUONA NAMNA Halafu ndio unaagalia kitu gani kinaweza kufanywa ili kupunguza gharama za uzalishaji ili kusaidia kupunguza bei ya Data. Ndio kazi serikali tunaendelea nayo tuone maeneo gani yakiguswa yatapunguza bei ya kuzalisha. Katika mazingira ambayo gharama za uzalishaji zinaongezeka kila GANI TUTAPUNGUZA GHARAMA ZA KUZALISHA DATA NCHINI ILI BEI YAKE ISHUKE. Kazi ya kwanza ilikuwa kupata uhalisia wa bei ya Data halafu …

Sio kwamba serikali haioni na ndio maana tumepunguza sana bei ya juu ili kupata uhalisia wa uzalishaji. Wakati tukihangaika kufanya haya, upande wa pili lazima kuhangaika na uwezo wa wananchi kiuchumi kuweza kumudu kununua Data, na hapa zipo hatua kadhaa zimechukuliwa na serikali.

Likiwemo swala la mishahara, kuongeza shughuli za kiuchumi kama ujenzi, kilimo (ruzuku) nk haya yataongeza uwezo wa kumudu hali ya kuongezeka gharama za maisha kiujumla.

Pamoja na hayo kumefanyika tafiti na masihirika makubwa duniani juu ya gharama za vifurishi duniani na hapa naweka link ili tusome wenyewe

Hizi links ni tafiti zinazoonyesha hali ya bei ya Data Duniani.
Worldwide Mobile Data Pricing 2022 | 1GB Cost in 233 Countries [Updated May 2022]
These ten African countries have the cheapest data plans | TechCabal cheapest- data-plans/ [Updated September 2021]
What Does 1GB of Mobile Data Cost in Every Country? [Updated July 2020

Mwenye nia ya kujua hali ya Tanzania ilipo afungue hizi aone lakini kwa kifupi. Tanzania ni nchi ya 6 Afrika kwa kuwa na bei ndogo ya Data. Na ni katika nchi zenye bei ndogo Duniani. Takwimu hizi si zetu zimefanywa na mashirika yanayoheshimika Duniani.

Mwisho Kama nilivyosema pamoja na hatua kadhaa serikali ilizochukua kudhibiti kupanda sana na kwa kasi kwa bei ya Data zipo hatua zingine tunazoendelea nazo ambazo zikifanikiwa zitasaidia kuboresha hali.

NINA AMINI KWA MAELEZO HAYA WANAOTAKA KUELEWA WATAELEWA WANAOTAKA KUENDELEA KUTUKANA NA KUKEJELI RUKSA KUENDELEA SASA….."
 
Kutoka ukurasa wa Twitter Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mawasiliano Mh. Nape Nnauye amefafanua mafanikio ya serikali katika kushusha gharama za intaneti kwa watanzania. Kupitia ukurasa huo amesema "Kwa heshima ya wale waliouliza maswali ya Data kwa nia ya kuelewa na kujadiliana kwa staha kwa lengo la kupata muafaka.

Kwamba Rais Samia hajachukua hatua juu ya jambo hili si kweli. Bei ya juu Mwezi 3/2021 ilikuwa TZS 40.04 Bei ya juu Mwezi 8/2022 ni TZS 9.35. Tuanzie hapa… https://t.co/SM3vSY7erZ
View attachment 2328179
View attachment 2328178
Na ukisoma majedwali haya mawili utaona kuwa kazi ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya sita ilikuwa kutoa bei ya juu ilikokuwa imefika yaani TZS 40.4 kurudi mpaka TZS 9.35, inawezekana kwa wengine hili@si jambo kubwa lakini ni kweli si jambo kubwa?

Vifurushi ambavyo mara zote nimesema ni huduma ya ziada ambayo kwa Tanzania imegeuzwa kuwa huduma ya msingi mwezi 03/2021 ilikuwa TZS 1.11 mpaka 2.80 na baada ya kutengeneza msawazisho wa kupunguza ya juu ndio tukapata wastani wa TZS 1.75 mpaka TZS 4.67."

"Sasa kama ulivyo uzalishaji wa bidhaa zingine zozote kuna gharama za kuzalisha Unit moja inayosafirisha Data. SERIKALI INAENDELEA KUONA NAMNA Halafu ndio unaagalia kitu gani kinaweza kufanywa ili kupunguza gharama za uzalishaji ili kusaidia kupunguza bei ya Data. Ndio kazi serikali tunaendelea nayo tuone maeneo gani yakiguswa yatapunguza bei ya kuzalisha. Katika mazingira ambayo gharama za uzalishaji zinaongezeka kila GANI TUTAPUNGUZA GHARAMA ZA KUZALISHA DATA NCHINI ILI BEI YAKE ISHUKE. Kazi ya kwanza ilikuwa kupata uhalisia wa bei ya Data halafu …

Sio kwamba serikali haioni na ndio maana tumepunguza sana bei ya juu ili kupata uhalisia wa uzalishaji. Wakati tukihangaika kufanya haya, upande wa pili lazima kuhangaika na uwezo wa wananchi kiuchumi kuweza kumudu kununua Data, na hapa zipo hatua kadhaa zimechukuliwa na serikali.

Likiwemo swala la mishahara, kuongeza shughuli za kiuchumi kama ujenzi, kilimo (ruzuku) nk haya yataongeza uwezo wa kumudu hali ya kuongezeka gharama za maisha kiujumla.

Pamoja na hayo kumefanyika tafiti na masihirika makubwa duniani juu ya gharama za vifurishi duniani na hapa naweka link ili tusome wenyewe

Hizi links ni tafiti zinazoonyesha hali ya bei ya Data Duniani.
Worldwide Mobile Data Pricing 2022 | 1GB Cost in 233 Countries [Updated May 2022]
These ten African countries have the cheapest data plans | TechCabal cheapest- data-plans/ [Updated September 2021]
What Does 1GB of Mobile Data Cost in Every Country? [Updated July 2020

Mwenye nia ya kujua hali ya Tanzania ilipo afungue hizi aone lakini kwa kifupi. Tanzania ni nchi ya 6 Afrika kwa kuwa na bei ndogo ya Data. Na ni katika nchi zenye bei ndogo Duniani. Takwimu hizi si zetu zimefanywa na mashirika yanayoheshimika Duniani.

Mwisho Kama nilivyosema pamoja na hatua kadhaa serikali ilizochukua kudhibiti kupanda sana na kwa kasi kwa bei ya Data zipo hatua zingine tunazoendelea nazo ambazo zikifanikiwa zitasaidia kuboresha hali.

NINA AMINI KWA MAELEZO HAYA WANAOTAKA KUELEWA WATAELEWA WANAOTAKA KUENDELEA KUTUKANA NA KUKEJELI RUKSA KUENDELEA SASA….."
Kweli anatudharau.
 
Viongozi wa kitanzania wako vizuri sana kuandika machapisho mazuri mazuri ya nadharia.ila ukija kwenye uhalisia ni tofauti kabisa.Kati ya wizara ambayo sioni umuhimu wa kua na waziri ni pamoja na hii anayosimamia huyu mheshimiwa.Maana naona karibu sekta zote nijitihada za wadau wenyewe.
 
Kutoka ukurasa wa Twitter Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mawasiliano Mh. Nape Nnauye amefafanua mafanikio ya serikali katika kushusha gharama za intaneti kwa watanzania. Kupitia ukurasa huo amesema "Kwa heshima ya wale waliouliza maswali ya Data kwa nia ya kuelewa na kujadiliana kwa staha kwa lengo la kupata muafaka.

Kwamba Rais Samia hajachukua hatua juu ya jambo hili si kweli. Bei ya juu Mwezi 3/2021 ilikuwa TZS 40.04 Bei ya juu Mwezi 8/2022 ni TZS 9.35. Tuanzie hapa… https://t.co/SM3vSY7erZ
View attachment 2328179
View attachment 2328178
Na ukisoma majedwali haya mawili utaona kuwa kazi ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya sita ilikuwa kutoa bei ya juu ilikokuwa imefika yaani TZS 40.4 kurudi mpaka TZS 9.35, inawezekana kwa wengine hili@si jambo kubwa lakini ni kweli si jambo kubwa?

Vifurushi ambavyo mara zote nimesema ni huduma ya ziada ambayo kwa Tanzania imegeuzwa kuwa huduma ya msingi mwezi 03/2021 ilikuwa TZS 1.11 mpaka 2.80 na baada ya kutengeneza msawazisho wa kupunguza ya juu ndio tukapata wastani wa TZS 1.75 mpaka TZS 4.67."

"Sasa kama ulivyo uzalishaji wa bidhaa zingine zozote kuna gharama za kuzalisha Unit moja inayosafirisha Data. SERIKALI INAENDELEA KUONA NAMNA Halafu ndio unaagalia kitu gani kinaweza kufanywa ili kupunguza gharama za uzalishaji ili kusaidia kupunguza bei ya Data. Ndio kazi serikali tunaendelea nayo tuone maeneo gani yakiguswa yatapunguza bei ya kuzalisha. Katika mazingira ambayo gharama za uzalishaji zinaongezeka kila GANI TUTAPUNGUZA GHARAMA ZA KUZALISHA DATA NCHINI ILI BEI YAKE ISHUKE. Kazi ya kwanza ilikuwa kupata uhalisia wa bei ya Data halafu …

Sio kwamba serikali haioni na ndio maana tumepunguza sana bei ya juu ili kupata uhalisia wa uzalishaji. Wakati tukihangaika kufanya haya, upande wa pili lazima kuhangaika na uwezo wa wananchi kiuchumi kuweza kumudu kununua Data, na hapa zipo hatua kadhaa zimechukuliwa na serikali.

Likiwemo swala la mishahara, kuongeza shughuli za kiuchumi kama ujenzi, kilimo (ruzuku) nk haya yataongeza uwezo wa kumudu hali ya kuongezeka gharama za maisha kiujumla.

Pamoja na hayo kumefanyika tafiti na masihirika makubwa duniani juu ya gharama za vifurishi duniani na hapa naweka link ili tusome wenyewe

Hizi links ni tafiti zinazoonyesha hali ya bei ya Data Duniani.
Worldwide Mobile Data Pricing 2022 | 1GB Cost in 233 Countries [Updated May 2022]
These ten African countries have the cheapest data plans | TechCabal cheapest- data-plans/ [Updated September 2021]
What Does 1GB of Mobile Data Cost in Every Country? [Updated July 2020

Mwenye nia ya kujua hali ya Tanzania ilipo afungue hizi aone lakini kwa kifupi. Tanzania ni nchi ya 6 Afrika kwa kuwa na bei ndogo ya Data. Na ni katika nchi zenye bei ndogo Duniani. Takwimu hizi si zetu zimefanywa na mashirika yanayoheshimika Duniani.

Mwisho Kama nilivyosema pamoja na hatua kadhaa serikali ilizochukua kudhibiti kupanda sana na kwa kasi kwa bei ya Data zipo hatua zingine tunazoendelea nazo ambazo zikifanikiwa zitasaidia kuboresha hali.

NINA AMINI KWA MAELEZO HAYA WANAOTAKA KUELEWA WATAELEWA WANAOTAKA KUENDELEA KUTUKANA NA KUKEJELI RUKSA KUENDELEA SASA….."
Hivi huyu anatuchukulia sisi kama mapoyoyo, eti? Hiyo 2021 alikuwa anaishi peke yake na sisi hatukuwahi kuona gharama za Internet zilikuwaje? Cheo kinalevya kweli, Wallah!
 
Kufuatia mjadala wa kupanda kwa gharama za vifurushi kwa watumiaji wa Data kwenye mitandao ya kijamii, Waziri ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kupitia Ukurasa wake wa Twitter ametoa ufafanuzi kwamba baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, alichukua hatua ya kushusha gharama za data.

Waziri Nape amesema mwezi Machi 2021 bei ya juu ilikuwa ni Tsh. 40.04 kwa MB 1, lakini ilipungzwa na kufikia Tsh. 9.35 kwa MB 1 mwezi Agosti 2022.

Kumekuwepo na mjadala kupitia mitandao ya kijamii hususani Twitter, JamiiForums na kwenye kurasa nyingine kuhusu kupanda gharama za vifurushi vya mitandao ya simu ikiwemo gharama za Data (Internet) bila utaratibu ambao ni shirikishi wa watumiaji.

Kwa mujibu takwimu Watumiaji wa Internet kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA) ripoti ya robo ya nne ya mwaka 2021 zinaonesha Watumiaji wa intaneti walifikia milioni 29.8.

=======================
 
Usijaribu kumtetea sana Waziri Nape.. Wakati majirani zetu wanafanya juhudi ya kufanya baadhi ya miji kuwa na wifi za bure ili kusukuma mbele maendeleo sisi tunazungumzia bei ya vifurushi vya data..
Kwanza ukizungumzia Makampuni ya Simu hapa Bongo ndiyo yamemshinda nguvu kabisa.. Naona ushawishi wao umemshinda..:oops:
 
Kutoka ukurasa wa Twitter Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mawasiliano Mh. Nape Nnauye amefafanua mafanikio ya serikali katika kushusha gharama za intaneti kwa watanzania. Kupitia ukurasa huo amesema "Kwa heshima ya wale waliouliza maswali ya Data kwa nia ya kuelewa na kujadiliana kwa staha kwa lengo la kupata muafaka.

Kwamba Rais Samia hajachukua hatua juu ya jambo hili si kweli. Bei ya juu Mwezi 3/2021 ilikuwa TZS 40.04 Bei ya juu Mwezi 8/2022 ni TZS 9.35. Tuanzie hapa… https://t.co/SM3vSY7erZ
View attachment 2328179
View attachment 2328178
Na ukisoma majedwali haya mawili utaona kuwa kazi ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya sita ilikuwa kutoa bei ya juu ilikokuwa imefika yaani TZS 40.4 kurudi mpaka TZS 9.35, inawezekana kwa wengine hili@si jambo kubwa lakini ni kweli si jambo kubwa?

Vifurushi ambavyo mara zote nimesema ni huduma ya ziada ambayo kwa Tanzania imegeuzwa kuwa huduma ya msingi mwezi 03/2021 ilikuwa TZS 1.11 mpaka 2.80 na baada ya kutengeneza msawazisho wa kupunguza ya juu ndio tukapata wastani wa TZS 1.75 mpaka TZS 4.67."

"Sasa kama ulivyo uzalishaji wa bidhaa zingine zozote kuna gharama za kuzalisha Unit moja inayosafirisha Data. SERIKALI INAENDELEA KUONA NAMNA Halafu ndio unaagalia kitu gani kinaweza kufanywa ili kupunguza gharama za uzalishaji ili kusaidia kupunguza bei ya Data. Ndio kazi serikali tunaendelea nayo tuone maeneo gani yakiguswa yatapunguza bei ya kuzalisha. Katika mazingira ambayo gharama za uzalishaji zinaongezeka kila GANI TUTAPUNGUZA GHARAMA ZA KUZALISHA DATA NCHINI ILI BEI YAKE ISHUKE. Kazi ya kwanza ilikuwa kupata uhalisia wa bei ya Data halafu …

Sio kwamba serikali haioni na ndio maana tumepunguza sana bei ya juu ili kupata uhalisia wa uzalishaji. Wakati tukihangaika kufanya haya, upande wa pili lazima kuhangaika na uwezo wa wananchi kiuchumi kuweza kumudu kununua Data, na hapa zipo hatua kadhaa zimechukuliwa na serikali.

Likiwemo swala la mishahara, kuongeza shughuli za kiuchumi kama ujenzi, kilimo (ruzuku) nk haya yataongeza uwezo wa kumudu hali ya kuongezeka gharama za maisha kiujumla.

Pamoja na hayo kumefanyika tafiti na masihirika makubwa duniani juu ya gharama za vifurishi duniani na hapa naweka link ili tusome wenyewe

Hizi links ni tafiti zinazoonyesha hali ya bei ya Data Duniani.
Worldwide Mobile Data Pricing 2022 | 1GB Cost in 233 Countries [Updated May 2022]
These ten African countries have the cheapest data plans | TechCabal cheapest- data-plans/ [Updated September 2021]
What Does 1GB of Mobile Data Cost in Every Country? [Updated July 2020

Mwenye nia ya kujua hali ya Tanzania ilipo afungue hizi aone lakini kwa kifupi. Tanzania ni nchi ya 6 Afrika kwa kuwa na bei ndogo ya Data. Na ni katika nchi zenye bei ndogo Duniani. Takwimu hizi si zetu zimefanywa na mashirika yanayoheshimika Duniani.

Mwisho Kama nilivyosema pamoja na hatua kadhaa serikali ilizochukua kudhibiti kupanda sana na kwa kasi kwa bei ya Data zipo hatua zingine tunazoendelea nazo ambazo zikifanikiwa zitasaidia kuboresha hali.

NINA AMINI KWA MAELEZO HAYA WANAOTAKA KUELEWA WATAELEWA WANAOTAKA KUENDELEA KUTUKANA NA KUKEJELI RUKSA KUENDELEA SASA….."
Yuko sahihi maana hata Bei za internet Tanzania ziko Chini kuliko Nchi jirani ila husikii malalamishi ya kijinga 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-153705.png
    Screenshot_20220819-153705.png
    42.5 KB · Views: 5
Nachoshukuru ni kuwa hata bibi yangu ambae alikuwa anaamini ccm ikitoka madarakani itatokea vita now day's ameelewa kuwa ccm ni janga kwa taifa

Note
Nilikuwa nampa laki na nusu kila mwezi alafu namlipia umeme,maji,mafuta ya kula lita 20 kila baada ya miezi 2, gunia la mkaa kila mwezi mchele kilo 40 kila mwezi na unga kilo 25 kila mwezi siku hizi nampa laki na nusu kavu then namwambia bi tozo kabana
hapo kwa mchele kilo 40 chai hii
 
Back
Top Bottom