excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
jamani hadi huko ndo niini mbona uachi kitu wewe
umerudi mama?
karibu sana bana, chukua zawadi hii kwanza ndo ukae!!
jamani hadi huko ndo niini mbona uachi kitu wewe
Mwanaume wa hivo utamngoja mpk uwe bibi kizee, kwanza siku hizi bikra sio issue watu hawataki usumbufu, wewe sasa hivi una 22 huoni uzee ndio ushaanza kukunyemelea! Kawe sista uitunze vizuri ije igeuke madini ya thamani uwe tajiri
Unataka kutuaminisha we bikra?
Unaweza kuwa hujawahi lala na Mwanaume lakini Bikra ikatoka kwa njia zingine... Swali uliloulizwa wewe ni Bikra?sijawahi fanya mapenzi na mwanaume
Unaweza kuwa hujawahi lala na Mwanaume lakini Bikra ikatoka kwa njia zingine... Swali uliloulizwa wewe ni Bikra?
umerudi mama?
karibu sana bana, chukua zawadi hii kwanza ndo ukae!!
![]()
Me hizo comment hazi nishawishi... I choose what is write for me
Me napenda za makaratasi sitaki hizi
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
haha haha Miss Chagga.... Wajua kuna Dada mmoja tulifanya naye kazi miaka flan aliniambia bikra yake yeye ilitoka alipokuwa anacheza Netball shuleni....Jamani mbona kumchokonoa mwenzio hivyo
Wewe hv unafikiri ni mwanaume gani atakubar kuchukua bidhaa bila kutest?Akikuta engene mbovu itakuwaje?
Unaweza kuwa hujawahi lala na Mwanaume lakini Bikra ikatoka kwa njia zingine... Swali uliloulizwa wewe ni Bikra?
wanawake hawanunui kwa hiyo hawauziwi
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
Kama u choose what is "write" for you afu unaacha kuchagua what is "right" for you basi lazima ulizwe mwaka huu