Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
sijui nikwambieje mdogo wangu!!
Wanaume wanakapenda sana hako kamchezo!!! Ila ni katamu ujue.
Bora usijaribu ukae hivyohivyo.
Ukishaingia hutoki na wanaume wa sasa kumpata mmoja mpaka ndoa ni issue na weee hujakomaa kwa heka heka.
Mungu akujaalie ujitunze usikutane na mibazazi mikurumbembe tuliyokutana nayo sisi.
Atabana ataachia tu,hapo watu wa kujifunzia ka mchezo lazima wapite tu