Kwanini kila Mwanaume hutaka kulala nami before

Kwanini kila Mwanaume hutaka kulala nami before

hahaha wacha mdanganya wemzio bwana...dada ana msimamo alafu wewe nani kakwambia french kiss lazima ugegede...ndio nyie mkipata busu tuu dushelele limesimama kaa la punda.
dada anafanya vyema kabisa kubania k yake mpaka aolewe..... nyie mmezoea malaya hao wanaogawa papuchi kama peremende. here is a lady and instead of supporting her eti mnamchamba

Mkuu samahani, eti wewe ndio mzabzab mwenye HATI MILIKI ya neno kugegeda?
 
Last edited by a moderator:
wanawake wa cku hizi kwa wachumba zenu mnabana huku mnawapa wapiga dbe stendi ndo mana cwez kukubali eti nsubiri nn? umesema ndoa? kwan ndoa ni nn?
 
kuna kamsemo vijana wa siku hizi wanapenda kukatumia"shake well before use"sasa cjui kama utachomoka kwenye hako kamsemo.

yes hata pale bank wameandika hakikisha pesa zako kabla hujaondoka kaunta" ndo mana tunahakiki mzigo kama uko pouwa ujenipata bint kama vp ni PM tupeane comm ili one day tu,.,.geii,,,g:;%e#da@×n
 
Utasubir sana. Ukifika age ya 25 yaan miaka mitatu ijayo itakuwa too late. Utaanza kupata stress za kutafuta mume. Na miaka miwil bdae yaan by 27 iyo bikra itakuja tolewa na mume wa mtu. Akikudangany yko single baad ya kump ndo uje gundua ana mke na familia.
Tabu yte iyo hpo juu ya nin. Kwanz hmna kijana anaetaka kuoa msichan bikra sikuiz. Pia hamna kijana anaeweza kukaa na mshichana mwaka mzima kwenye mahusiano bila kufanya mapenz. Labda umruhusu awe anaenda kununua malaya kupunguza stress
 
Mkuu samahani, eti wewe ndio mzabzab mwenye HATI MILIKI ya neno kugegeda?

yes boss ndio mie...unataka kulitumia nini? mie nilikuwa na mpango wKuanzisha club inaitwa kugegeda nyt club.
 
Last edited by a moderator:
sijui nikwambieje mdogo wangu!!
Wanaume wanakapenda sana hako kamchezo!!! Ila ni katamu ujue.
Bora usijaribu ukae hivyohivyo.
Ukishaingia hutoki na wanaume wa sasa kumpata mmoja mpaka ndoa ni issue na weee hujakomaa kwa heka heka.
Mungu akujaalie ujitunze usikutane na mibazazi mikurumbembe tuliyokutana nayo sisi.

Somo ili lakini mda wake ukiwadia sidhani kama atalikumbuka,Hongera kwa msimamo wako
 
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun

usdanganye jukwaa kuwa hujawahi kutiwa up to that age, why mnapendaga misifa nyie? huko chini palishatanuliwa, dont lie us as if we are kids
 
Nitakutafuta aisee nikuoe,no way out una sifa za kuitwa mke
 
gud gal....stay single nd dont give any man ur cookie before marriage...trust me nothing gud has ever come out of premarital sex. na hiyo mambo ya kusema eti hamna kuuziwa mbuzi kwenye gunia ni the inane way of justifying the evil ways.
it is a virtue being a virteous lady...keep it up!!

Telling it like it is........kudos mkuu, mimi nakukubali sana. Huku unakubali udhaifu, huku unagonga nyundo zenye akili.
 
Aisee siku hizi watu wanaweka mimba ndio harisi. Mbili unaweza ukawa unavutia sana ndio maana . 3.Basi tu hujapata anayekuthamini au anayekuona tafauti. Labda mimi😉

Sent from my SM-N900 using Tapatalk
 
Mbinu zetu wanaume huziwezi dada. anza tu kugawa maana hiyo tutaipata tu.
Wife wangu kipindi cha kuifuatilia alibaaaaaaaaana. Nikabadili mbinu. Nilimpa care za hali ya juu hadi akakolea kisha nikabeep kwa kukata kamba ili nipewe kakitu. akakomaa baada ya miezi sita nikaletewa niiifumue. ila anabahati maana nilimpenda kweli na hadi leo niko nae. Katulia tuli pale JAMBIANI-ZANZIBAR

Duu watu wa pande hizo wahuni kweli wanajulikana watu wa kusini.ila zanz bwana mkubwa hamna upuuzi uyo kufunuana bila ya ndoa.zanzibar ni njema
 
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun

usdanganye jukwaa kuwa hujawahi kutiwa up to that age, why mnapendaga misifa nyie? huko chini palishatanuliwa, dont lie us as if we are kids
 
ama kweli kwa kizazi hiki changamoto ni kubwa sana maana vitabu vya dini vinazuia ngono kabla ya ndoa na huku watu wanasema hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia mara ooohh shake well before use sasa jaman tunaamuaje maana mimi hapo tuu ndo pananiweka njia panda
 
duh bi mdogo achana na wazinzi .wee ituze tu hiyo bikira yako mpaka ndoa .zidi kuwa karibu na muumba wako.kama ni mkristo okoka na mtumikie yesu na kama ni muislam .shika mfundisho ya dini yako.mume mwema utoka kwa bwana .usiwe na haraka .utampata tu mwenye nia zuri na wewe .mimi nilipata mke kama wewe .alinijima mpaka cku ya ndoa .nikakuta kitu cyo used .mileage 0km .i was veeeeery happy .lida bikira yako mama
 
Back
Top Bottom