Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Nikishajua namba hua sihangaiki kujaribu. Za 2014 ni njema sana mpendwa
aaah,kumbeeee,utajuaje kuwa namba husika inakutosha????utakua kuna siku ushajaribu.
Haya
Nikishajua namba hua sihangaiki kujaribu. Za 2014 ni njema sana mpendwa
Yes me ni Bikra
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
Hongera kama umejiweka
pembeni,ila now days hiyo haikwepeki hata ukiingia kwenye serious
relation utatoa tu maana hakuna anayependa kuuziwa mbuzi kwenye
gunia
Thanks sina mtindo wa kupokea vya watu apart from my familyNakushauri uendelee kujitunza, pia usipokee vijizawadi kutoka kwao kwani ukipokea ipo siku utatakiwa kulipa fadhila. There is no Free Lunch from Men
Nitaamini vipi? mimi ni cushitic hadi nithibitishe
tupo wanaume tunaochukuwa bila kutest bwana wewe.....au umeshazoea malaya wanaotoa papuchi ovyo
wewe mzabzab bila kugegeda uuziwe mbuzi kwenye gunia
Dr. MziziMkavu akupime na ikithibitishwa na mimi nakutongoza ila tuta do after MarriageWhat do you want me to do ili kuprove
kabisaaaa...yaani mie mwanamke nikimgegeda basi siwezi muoa. mwanamke nayataka kumuoa sitamgegeda kabisa.
Usijekuja jutua hilo Bora ukosee kuchagua vyote kuliko kukosea kuchagua mke
Omba mungu utapata ila ukigawa basi jua mzinifu huolewa na mzinifu mwenzie. Kama kweli wewe hujajihusisha bora kaa hivyo hivyo na atakayetaka kukuoa hata cku moja usikubali kumtembea kwake kuwa na msimamo ndo dawa kwa mwanaume. Bila hivyo utaishia kuchelezewa tu na wanaume maana hata mwanaume malaya/mwenye kuzin sana na watoto wa watu bado akitaka kuoa ataoa aliyetulia hataki malaya mwenzie! Na ukijaribu tu usitegemee kutoka katika mchezo huo wa kuzin!
Ushauri tunza usichana wako hadi utapoolewa mpaka ndoa ifungwe na hata akija kukutema baadaye basi ni mipango ya mungu. Na hata siku moja usikubali kwenda kinyume na ushauri maana mwanamke moja ya vitu atavyovikumbuka mpaka kufa kwake ni mtu alomtoa usichana wake/bikira yake na wanaume watakao mpitia hatawakumbuka wote isipokuwa atakaye zaa naye mara ya kwanza. Bora uweke kumbukumbu na utakayeishi naye kuliko kumwona yuko na mwingine huku moyon mwako kumbukumbu halitoki!
Omba mungu hakutupi au hakuachi kamwe na fanya sala nyingi sana za maombi mara utakapoamua kuolewa na usikubali kwenda kuombewa omba mwenyewe maana ukitaka kuombewa atataka kujua tatizo na wewe utamweleza na akiingiwa na tamaa anakuatamia yeye kwa kuwa anajua nin faida ya kuwa na mtu wa aina yako! Maana huenda awe mchungaji/shehe au kiongozi yeyote wa iman hajawi kuona hiyo bikira yenyewe ikoje maana huenda mke alokuwa naye tayari alikuta alishaanza mchezo zamani. Muombe mola wako mwenyewe usikabidhi maombi yako kwa mafisi na chui waliovaa mavazi ya kondoo aliyempole!
Hongera Ila ni ngumu kuwaepuka HAWA maana wana mbinu kila kunapokucha.... nirijaribu hivyoo mwisho nilishindwa..... anaweza akaja kwa njia nataka nikuoe mpaka kwenu akawa anakuja na akatoa na mahari pia hapo ukamwamini ukajua huyu ndie uliyekuwa unamtafuta ukampa na kakuacha njiapanda na mahari katoa....