Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Kuna majimbo ambayo tunapaswa kuwainua wananchi kwa kuwapelekea sukari na maziwa na majimbo ambayo tunapaswa kupeleka miradi kuboresha miundombinu hili uzalishaji ukue
Jimbo la kawe ni jimbo la kimkakati katika nchi ambalo lina jamii ya daraja la kwanza. Jimbo kama lile linahitaji zaidi lami mitaani, vituo vya afya, kuboresha madarasa, kuongeza masoko nk
Leo Mbunge wa kawe naona for three years now hana jambo kubwa analopeleka kwenye jimbo, hakuna miradi wa mkakati alionao na wala hana hoja serious aliyopeleka bungeni.
Ameona uchaguzi serikali za mtaa umekaribia ameanza drama za kwenda na vyombo vya habari na vijana wasio na kazi kwenda kugawa mipira na jezi........kwanini tunadhalilisha matajiri? Kawe kata gani ambayo wakaazi wake wameshindwa kununua mpira na jezi?
Jimbo la kawe ni jimbo la kimkakati katika nchi ambalo lina jamii ya daraja la kwanza. Jimbo kama lile linahitaji zaidi lami mitaani, vituo vya afya, kuboresha madarasa, kuongeza masoko nk
Leo Mbunge wa kawe naona for three years now hana jambo kubwa analopeleka kwenye jimbo, hakuna miradi wa mkakati alionao na wala hana hoja serious aliyopeleka bungeni.
Ameona uchaguzi serikali za mtaa umekaribia ameanza drama za kwenda na vyombo vya habari na vijana wasio na kazi kwenda kugawa mipira na jezi........kwanini tunadhalilisha matajiri? Kawe kata gani ambayo wakaazi wake wameshindwa kununua mpira na jezi?