Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Aisee ebu mtake radhi geni huyo ni mdada tena wa haja mkuu

Kweli maneno yako
Na namuomba radhi kama nimimkosea mimi nlijua wenye tabia ya umbea na vihedemswede ni mashoga a.k.a pilau au basmati au mchicha wa mwiba
Kumbe huyu ni mdada!!!!!!daaah
Wahenga walishasame usinywe uji wa mgonjwa
 
Nakumbuka pale Migo kuna kachama ka akina dada na kinamama hako kachama hua kanakodiwa rasmi kwa ajili ya kusuta mtu
Nilishuhudia bana tena na mavuvuzela
Cku hio watu walipoteana humo
 
Sema tu hunaigundua jf ina watu wazima wasiojitambua..
Inatakiwa uwe makin sana.
Siku ukiona umepatana na mtu humu na akaanza kukupa stor za wengne aliokutana nao humu humu huyo mkimbie maana ipo siku hata ww atakusimulia kwingne...
yalishakukuta nn
Point!!!
 
Back
Top Bottom