Nimpeleke lushoto kwa avatar fake na id fakeHuyu mtoto atakuwa kakupeleka Lushoto sio bure....
wewe ndio mwanaume sio wale wanaume uchwara wakipigwa vibuti wanakuja kulialia humu na kasoro wakizitoa kilo mbilikuna mambo ya kawaida sana kwenye jamii kama kulalana but humu ukimlala mwanamke akikupiga kibuti unamtangaza kwa mabaya
mbona wengine humu tumepigwa vibuti tumevumilia tu
Duuh haya yaishe mama....Nimpeleke lushoto kwa avatar fake na id fake
Kwa hiyo niendelee ku patience au?Hahaha, unamjua jamaa mmoja wa Kenya alikuwa anaitwa Ayeiyaaa? Alisema patience ni patience.
Walai tena mana si kwa uzezeta huuHuyu mtoto atakuwa kakupeleka Lushoto sio bure....
Ubaya unaweza kusubiri ukaishia kuzeeka maini mzee. Kikubwa ukikosa unachotaka basi chukua unachopataKwa hiyo niendelee ku patience au?
Lakini huku napambana na hali yangu
Nimenuna ujueSawa
Unaweza usitoke kweli ila uka tolewa likuepuke hilo nimesema tu.Kumbeee pale sitoki nimefika kigoma mwisho wa reli au unataka mitala
Khaaa yamekua hayo tena?Nimpeleke lushoto kwa avatar fake na id fake
Aisee hata mii nimestuka panic eeh?Duuh haya yaishe mama....
Naona kamind kinoma...Khaaa yamekua hayo tena?
Hiyo sintensi ya hapo chini umeielewa nayo?Ubaya unaweza kusubiri ukaishia kuzeeka maini mzee. Kikubwa ukikosa unachotaka basi chukua unachopata
JikazeNimenuna ujue
SawaKhaaa yamekua hayo tena?
Aisee hata mii nimestuka panic eeh?
Naona kamind kinoma...
Nimeielewa.Hiyo sintensi ya hapo chini umeielewa nayo?
Sana mii natoka baadaeNaona kamind kinoma...