Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Kwamba wazungu ndio factor. Ooh please!kenya wazungu bado wapo hawakuwafukuza kama sisi .viwanda vingi ni vya wazungu wana export sana kwa wazungu wenzao ulaya mashemeji nk
Kwamba sisi hatukuwa na viwanda? Vilikwenda wapi? Kwamba bila kuwa wazungu hatuwezi kuwa tuna export?
Hivi visababu visivyo na kichwa wala miguu vinatufanya vipofu. Tunashindwa hasa kuona sababu halisi!