Kwanini hela ya Kenya ina thamani zaidi, tena mbali kuliko ya Tanzania wakati tumebarikiwa kila kitu?

Mimi naona hilo gepu ni la kihistoria,liliathiriwa na vita ya Tz na Uganda, sisi wakati tunakung'uta Waganda wenzetu Kenya walikuwa wanajenga uchumi.Vita vinaisha wakawa wameshatuacha hatua nyingi Sana.

hata kabla ya vita mwaka 1978 bado kenya ilikuwa mbali yetu kiuchumi,
kwa kifupi ni kwamba ujamaa ndio anguko letu, Nyerere alibana wafanya biashara kufanya biashara akaamini kwamba katika jamii sio vizuri watu kuwa matajiri huku wengine wakiwa masikini, nyerere ali restrict utajiri yani hata ukiwa na capital huruhusiwi kuanzisha biashara
ukisoma kitabu cha Mengi utayajua haya
 
Kumbe Tsh ipo juu ya Yuan...nilikua sijui
Uchumi hauna uhusiano na exchange rate,Kwa taarifa yako sio kenya tuna wanatuzidi thamani kuna majirani kama malawi,Rwanda na Burundi hela zao zina thamani kuliko zetu.China na India thamani zao ziko chini lakini matajiri tu
 
Hela ya Kenya ina thamani kubwa lakini hela ya Tanzania ina nguvu zaidi ya manunuzi...
Hii hoja yako haina uhalisia. Ukienda nje ya nchi kama China, Japan, Europe, US bei ya mkate au nauli au hata peni, haishikiki.
 
Hela ya Kenya ina thamani kubwa lakini hela ya Tanzania ina nguvu zaidi ya manunuzi

Mfano ukiwa na Elfu moja Tanzania unanunua vitu vingi kuliko ukiwa Kenya

Hivyo basi sisi tupo vizuri zaidi kuliko Kenya
Si kweli toa mifano halisi siyo fictious info
 
Hela ya Kenya ina thamani kubwa lakini hela ya Tanzania ina nguvu zaidi ya manunuzi

Mfano ukiwa na Elfu moja Tanzania unanunua vitu vingi kuliko ukiwa Kenya

Hivyo basi sisi tupo vizuri zaidi kuliko Kenya
Si kweli toa mifano halisi siyo fictious info
 
Average ya 1:20 imekaa miaka mingi.... Hii inatokana na mvutano wa nguvu ya soko...endeleeni kufanya kazi kwa bidii shillingi yenu ihitajike zaidi
Ki msingi hiyo ndo point tnahitaji kuexport zaidi kuliko kuimport hivyo tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye production ili kukuza wigo wa kuexport zaidi.
 
Kaka mimi sio mchumi lakini ni kweli fedha ya Kenya kwa miaka zaidi ya 15 imeandelea kucheza kati ya 1Kshs = Tshs 18 - 22. Lakini hiyo haimaanishi uchumi wetu sio mzuri, ila kinachoangaliwa ni thamani ya hiyo fedha inaweza kufanya nini...
Unaongea nini mkuu, pole sana
 
Hoja za kiuchumi zinapojadiliwa kishabiki...inasikitisha sana.
By 1979 exchange rate ya Tsh vs Usd was 11.3 while Ksh vs Usd was 11.1 by 1986 its was 125 vs 20.2...hizi taarifa zote zipo google, a simple search ingekupa haya majibu...bt km kawaida tumekimbilia kujadili kiushabiki, kihisia na kisiasa bila kua na facts.

Hizi data zinatuambia nn? Baada ya vita vya Uganda uchumi wa Tanzania uliyumba sana, mambo ya kufunga mkanda, uhujumu uchumi and the likes. Things got too bad ikabidi Inchi iwarudie mashirika ya fedha ya kimataifa, na km kawaida yao hawaku bail out bure bure, wanakupa masharti...Fungua masoko yako kue na biashara huruia, shusha thamani ya pesa yako, ruhusu vyama vingi na mengineyo Mengi.

From there onward we have been tryn to catch them. Laiti Nyerere angekua mbinafsi aka deal na mambo ya ndani akaachana na ukombozi wa inchi za kusini mwa jangwa la sahara tungekua mbali sana( War isnt Cheap). Bt it is what it is...hapa tulipo tumejitahidi sana inabidi tuendee kukaza buti na tuache lawama kwa vitu tulivyovijua.
 
Hela ya Kenya ina thamani kubwa lakini hela ya Tanzania ina nguvu zaidi ya manunuzi

Mfano ukiwa na Elfu moja Tanzania unanunua vitu vingi kuliko ukiwa Kenya

Hivyo basi sisi tupo vizuri zaidi kuliko Kenya

Exchange rate ya Tanzanian shiling na Kenyan Shiling ni ratio ya 100:4; yaani shillingi elfu moja ya Tanzania ni sawa na shillings arobaini za Kenya!!! Hivyo buku moja yaani shiling elfu moja ya Bongo ukivuka mpaka kuingia Kenya unapata shilling arobaini za Kenya!!! Kwa lugha nyepesi unatumia hela nyingi ya Tanzania kupata hela kidogo ya Kenya.

Hela ya Kenya ina nguvu kutokana na watu wengi duniani kuihitaji ili wanunue vitu na bidhaa toka Kenya. Ukifananisha na Tanzania kwa vile hatuna vitu na bidhaa nyingi zinazohitajika duniani ukifananisha na Kenya, fedha yetu haihitajiki sana!!!! Tanzania kama inataka sarafu zake iheshimike yaani iwe na nguvu ni vyema ikazalisha bidhaa zenye ubora utakaokidhi mahitaji ya masoko duniani!!
 
Tofauti yake inakuja pale mnapoagiza toka nje. Inabidi wote mtumie dolari.

Tungetunga sera bora na kuzisimamia. Tusingekuwa tunajilinganisha na Kenya bali na the like of South Africa et al. Tunapaswa kujitazama upya kama nchi. Sisi ni bora kuliko hapa tulipo!
Sahihi kabisa
 
Jambo moja linalonipa shida kuliko hata kuibiwa kura ni hili la hawa wakenya jirani zetu, hela yao ipo na thamani kubwa sana sana kuliko za kwetu -- tatizo ni nini?

Na kila siku tunajilabu tuna utajiri uliotukuka, naikumbuka ile sentensi ya Mwalimu Nyerere. Watanzania Uchumi mnao...

Tufanye nini ili tuwapite maana tuwe tunashinda kwa mazuri na moja ni hela yetu kuwa na thamani. Saa ingine huwaza lile tarajio la Tanzania kuwepo uchumi wa kati au ndio tumekwisha jaaliwa yaani haiwezi badilika?
Hii ina maana kuwa maisha kenya ni magumu zaidi, wana vitu vingi kuliko wenye uwezo wa kuvinunua.
 
Haujaelewa mkuu, chukua shilingi 1000 ya Tanzania ununue vitu hapa TZ, kisha hiyo hiyo 1000 vuka mpaka kisha ibadili kuwa shilingi ya kenya ununue vitu huko Kenya kisha linganisha...
Naomba nikuulize kati ya Shilingi ya Tanzania na ya USA ipi ina nguvu?
 
Back
Top Bottom