Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 3,562
- 6,119
Ukiwa na shiling elfu kumi Tanzania utanunua vitu vingi lakini ukichukua hiyohiyo elfu kumi ukaenda nayo kenya hautonunua vitu vingi kama ulivyonunua Tz so thamani ya shiling ikiwa ndogo kuna faida saana (hasa kwa nchi zinazozalisha bidhaa nyingi)
MMMmmmh nasubiri ufafanuzi. Naona kama vile unaongea kitu na kujipinga mwenyewe.