Hela ya Burundi yazidi kuipiga bao shilling yetu ya Tanzania

So far away

Member
Jan 7, 2017
58
121
Aiseeee! Nikitu cha kushangaza saa. Kwamba Burundi nchi yenye mzozo wa vita kwa miaka na miaka. Tanzania tumekuwa wahidadhi wa warundi toka miaka ya 72 hadi leo eti leo hii inchi hii inauchumi mkubwa kuliko wa Tanzania? Wachumi naomba mtusaidie!

Hadi sasa Exchange rate kati ya shilling ya Tanzania na Faranga la Burundi iko ivi:

1 Tsh = 0.78 Bu Franc.

Maana yake nini ukiwa na Tsh laki moja( 100000) unapewa hela ya Burundi elfu 78 na ushee (78098.88) ya Mafaranga ya Burundi.

Kwa maaa nyingine. ukiwa na laki ( 100000) pesa ya Burundi basi utapewa Laki na 28 na ushee shillings za Tanzania.
Shilling imeshuka sana thamani. Wale watu qa kigoma na Tabora walozoea kwenda Bujumbura ( Burundi) kuchukiwa vitenge sasa imekuwa ngumu kwa exchange rate imekaza.

Pamoja na Hilo la Burundi; Jua msimamo wa thamani wa uchumi kwenye nchi za Africa Mashariki.

1. Kenya. (Kenyan Shillings)
1 ksh = 21.72 Tshs

2. Rwanda. ( Rwanda Franc)
1 Rwada Franc = 2.62 Tshs

3. Burundi. ( Burundi Franc)
1 Bu Franc = 1.28 Tsh

4. Tanzania. ( Tanzanian Shillings)

5. Uganda. ( Ugandan Shillings)
1 Uganda Shs = 0.62 Tsh.
 
Ni balaa aiseee!!! Burundi ni nchi yenye hadhi (title) ndogo sana ukilinganisha na Tanzania. Sisi Tanzania ni kimbilio lao. Pia sisi tuna kila kitu. Amani ya kutosha n.k
 
There is one thing you guys fail to understand. To have a highly valued currency is different from having a strong currency! and it doesnt mean that you are excelling economically.
According to purchasing power parity theory, ignoring transaction cost and transportation costs, the exchange rate will be determined by what a basket of goods cost in one country relative to the other.
If a bread sell at Tsh 1000 in Tanzania, while the same bread sell at 500 Franc in Burundi, then the exchange rate will be 1Burundi Franc equal to 2Tsh and vise versa!
We as Tanzanians if we manage to keep inflation rate low relative to some other countries, in the future our currency will be highly valued relative to the other. Plz remember its inflation that erodes the value and the purchasing power of a currency...
The countries like Burundi and Rwanda or Kenya which have a highly valued currency relative to Tanzania may mean that, its very very hard to make money in those countries. So since money is a rare commodity the economies may be rudimentary or at infancy where the use of money is still minimal. Farmers may eat what they grow, people may use local medicines etc so the use of money becomes very very low and that keeps the money a more valuable asset and hard to depreciate due to inflation. Yeah, this could be one way to explain about this scenario...
 
TATIZO HAPA NI SHULE NDOGO.UKUBWA WA UCHUMI HAUPIMWI KWA EXCHANGE RATE.WANAOFANYA HIVYO NI WALE MA LAYNEN .NAJUA HUJASOMA LAKINI KAULIZE KWA JIRANI YAKO ALIYEKWENDA SHULE KUHUSU NGUVU YA PESA YA YEN YA JAPAN KATIKA UBADILISHABAJI FEDHA ULINGANISHE NA UCHUMI WAKE.USIJE UKAJIDANGANYA KUWA TANZANI INA UCHUMI MKUBWA KULIKO UGANDA AU MALAWI INA UCHUMI MKUBWA KULIKO TABZANIA KWA MITIZAMO YA EXCHANGE RATE.SHULE HAPA INAHUSIKA LAKINI SITALAUMU SANA KWA SABABU HUENDA ULIKOSA ADA YA KUENDLEA NA MASOMO YAKO.
 
There is one thing you guys fail to understand. To have a highly valued currency is different from having a strong currency! and it doesnt mean that you are excelling economically.
According to purchasing power parity theory, ignoring transaction cost and transportation costs, the exchange rate will be determined by what a basket of goods cost in one country relative to the other.
If a bread sell at Tsh 1000 in Tanzania, while the same bread sell at 500 Burundi Franc, then the exchange rate will be 1Burundi Franc equal to 2Tsh and vise versa!
We as Tanzanians if we manage to keep inflation rate low relative to some other countries, in the future our currency will be highly valued relative to the other. Plz remember its inflation that erodes the value and the purchasing power of a currency...
Aisee jama wewe! Mimi kweli pengine wanauchumi waje kutusaidia hapa.
Je kwa kuwa nchini kenya noti ya mwisho ni ksh 1000 na kwao ukiwa na ksh 150 unakula wali nyama kwa Mama ntilie na soda juu; Uchumi wao uko.chini!?
 
There is one thing you guys fail to understand. To have a highly valued currency is different from having a strong currency! and it doesnt mean that you are excelling economically.
According to purchasing power parity theory, ignoring transaction cost and transportation costs, the exchange rate will be determined by what a basket of goods cost in one country relative to the other.
If a bread sell at Tsh 1000 in Tanzania, while the same bread sell at 500 Burundi Franc, then the exchange rate will be 1Burundi Franc equal to 2Tsh and vise versa!
We as Tanzanians if we manage to keep inflation rate low relative to some other countries, in the future our currency will be highly valued relative to the other. Plz remember its inflation that erodes the value and the purchasing power of a currency...
Asante sana watanzania wachache watakuelewa... Ingekuwa that is the case Korean won 1 = Burundian Franc 1.61, huwezi ukasema eti hizi nchi mbili Burundi na Korea basi zinakaribiana kuwa sawa huu ni ujinga
 
TATIZO HAPA NI SHULE NDOGO.UKUBWA WA UCHUMI HAUPIMWI KWA EXCHANGE RATE.WANAOFANYA HIVYO NI WALE MA LAYNEN .NAJUA HUJASOMA LAKINI KAULIZE KWA JIRANI YAKO ALIYEKWENDA SHULE KUHUSU NGUVU YA PESA YA YEN YA JAPAN KATIKA UBADILISHABAJI FEDHA ULINGANISHE NA UCHUMI WAKE.USIJE UKAJIDANGANYA KUWA TANZANI INA UCHUMI MKUBWA KULIKO UGANDA AU MALAWI INA UCHUMI MKUBWA KULIKO TABZANIA KWA MITIZAMO YA EXCHANGE RATE.SHULE HAPA INAHUSIKA LAKINI SITALAUMU SANA KWA SABABU HUENDA ULIKOSA ADA YA KUENDLEA NA MASOMO YAKO.
Kwaio wewe uliesoma.ndo tuseme umeshindwa kumuelewesha hizo tofauti na kuamua kukejeli? sasa kati ya wewe na asie soma tofauti ni ipi?
 
Back
Top Bottom