Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Watoto wa siku hizi ukilala hata hakustui unashangaa asb imefika...enzi zetu ikifika mishale ya saa tano unaamshwa utoe dawa ya usingizi....kunako saa kumi na moja lukwili unaamshwa tena uondoe nuksi za usiku uanze siku vizuri.
 
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Watoto wa siku hizi ukilala hata hakustui unashangaa asb imefika...enzi zetu ikifika mishale ya saa tano unaamshwa utoe dawa ya usingizi....kunako saa kumi na moja lukwili unaamshwa tena uondoe nuksi za usiku uanze siku vizuri.
Dah,mkuu umenichekesha sana
 
Yaani bora hata huyo wako anaamka mnaanza game, me wa kwangu haamki ndiyo kwanza atakupiga hadi mateke, kuhusu kuomba game hata ile wakati wa kawaida ndiyo hawezi kabisa yaani nisipoomba mm na kuforce force hamna kitu ntapata kabisa. Huwa sielewi huyu mwanamke kuna mtu anamkanyaga huko nje au ni nn
Hahaha haaa
 
Sipendi kuamshwa usiku wa manane, tufanye kabla ya kulala au alfajiri kabla hatujaamka
yaan demi hakuna kitu ambacho sikipend niamshwe usiku jaman ukiuliza sababu eti dudu !dah nakereka jaman kwanza naanzaga siku yangu hovyo kweli kweli ! mtu umechoka unakuja nianza papasana usku? saa9? inahu! mshindwe
 
Yaani bora hata huyo wako anaamka mnaanza game, me wa kwangu haamki ndiyo kwanza atakupiga hadi mateke, kuhusu kuomba game hata ile wakati wa kawaida ndiyo hawezi kabisa yaani nisipoomba mm na kuforce force hamna kitu ntapata kabisa. Huwa sielewi huyu mwanamke kuna mtu anamkanyaga huko nje au ni nn

kwakweli huyo tunaelekeana ! binafsi mie huwa sipend kwakweli ! huenda hakanyagwi !hamjawajua tu wanawake !kama zaman alikua anafurahia ghafla kakata kamba jiulize !huenda unamkera kitu hyo furaha unaipata wapi wewe mwanamke ?
we mwanaume zaman uliku safi kinywa chako ghafla mke anaskia maharufu ya sigara yananuka km choo nan anaham na dudu sasa ! au zaman mlikua mnafanya romance had analainika sasa hv umekuwa mbinafsi /kuku type unadhan muda wote punan iko tayri tayari tu kumbe wapiiii unaanza masuala ya kumpaka mimate mkeo inahusu? yaan huyu fanya yoote hatakuwa na hamu kbs ya dushe lako !
MJICHUNGUZE MSITUCHOSHE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom