Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Duu, Vipi kuhusu Osama bin Laden, naye angefaa kuwa treated kama unavyowaza?Hebu tujaribu mfano wa vita.
Askari mateka na jemadari wao, hufanziwa sawasawa?
Kuna aina fulani ya 'protokali hufuatwa.
CCM wanawachukulia CHADEMA kama wanapambana nao kivita. Wanategemea kwamba endapo siku moja CHADEMA akishinda vita hiyo, basi asiwasulubu viongozi wa CCM kwa kuwavalisha pingu!