Kwanini Freeman Mbowe hafungwi pingu kama washtakiwa wenzake? Yeye si ndio kinara, sponsor, na mastermind wa tuhuma zao?

Halafu tusiharibiane, baba yako ujue ananiita bebii
Tatizo alisha dead 1month before nchi haijachagua Kichaa, na alikuwa na kadi yake yakumchinja mtu ili Lowasa awe rais, kwahiyo utawala wa Mwendazake hajauona,
Sawa baby yake baba?
 
Angalieni video hapo chini?

Kwanini Mbowe hafungwi pingu?

Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.

Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.

Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.

Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.

Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.
Çcm inaongozwa na vichaa watupu, mmoja kafa kwa Corona mwingine bado anazurura angani
 
Shida ni pale unapowasilisha hoja ya Chama kama excuse fulani vile. Mfano unasema, japo mimi ni Chadema lakini hapa chadema imekosea. kwanini usiseme tu hapa Chadema au CCM imekosea bila kutanguliza hiyo excuse

..Nilidhani kuweka wazi chama ninachokiunga mkono ni muhimu ktk hoja yangu.

..Hata hivyo kuna ambao wameona nimekosea, na kuna wengine wameona sijakosea.

..Nakushukuru kwa kushiriki nami ktk mjadala huu, na hoja yako nimeipokea.
 
..Nilidhani kuweka wazi chama ninachokiunga mkono ni muhimu ktk hoja yangu.

..Hata hivyo kuna ambao wameona nimekosea, na kuna wengine wameona sijakosea.

..Nakushukuru kwa kushiriki nami ktk mjadala huu, na hoja yako nimeipokea.
Sawa. Mbele ya safari utakuwa mtu bora wa hoja. Umeonyesha utayari wa kujifunza. Hadi hapo naona unaonyesha kwamba wewe ni Chadema kweli. Utaiva tu mbele ya safari ili ufanane na hadhi ya chama chako. Watu aina ya Lissu, , Kibatala, n.k wewe mwenyewe unawaona walivyo vizuri kichwani. Ndio Chadema yenyewe
 
Sawa. Mbele ya safari utakuwa mtu bora wa hoja. Umeonyesha utayari wa kujifunza. Hadi hapo naona unaonyesha kwamba wewe ni Chadema kweli. Utaiva tu mbele ya safari ili ufanane na hadhi ya chama chako. Watu aina ya Lissu, , Kibatala, n.k wewe mwenyewe unawaona walivyo vizuri kichwani. Ndio Chadema yenyewe
Daaaaah,

Mkuu JokaKuu njoo uone compliment uliyopewa, hahahaha
 
Back
Top Bottom