Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,075
- 3,413
Kwasababu siyo gaidiAngalieni video hapo chini?
Kwanini Mbowe hafungwi pingu?
Kulingana na maelezo ya Polisi, Mbowe ndio kinara, sponsor, na mastermind, wa tuhuma zilizoko mahakamani.
Polisi wanasema Mbowe ndiye aliyewa-recruit washtakiwa wenzake watatu wakafanye waliyotaka kufanya.
Bila Mbowe kuwa na malengo mabaya, hawa washtakiwa watatu wasingekuwa mahakamani.
Miimi ni mshabiki wa Chadema, lakini ktk hili la kuwatia pingu kina Adamoo na kumuacha Mbowe, ninapinga.
Ni ama wote watiwe pingu, au wote wasitiwe pingu.