Kwanini familia ya Kikwete inapendekeza mishahara kwa wake wa viongozi wakati tayari wengi wao wako serikalini?

Utakuwa unafaidi sehemu ya huu ufisadi wa awamu hii ya sita. Mawazo ya kipuuzi kabisa kwako ndio unayapigia vigelegele!.
Mkuu Deno acha nikuulize jambo, unaweza kuweka ushahidi wa wizi au ufisadi wa J. M. Kikwete hapa hata wa shilingi 50?

Unaweza kuweka ushahidi wa mheshimiwa Salma kuwashurutisha, kuwalazimisha au kuwahonga wabunge wote wa CCM kupitisha sheria ya mafao ya wenza?

Mkuu naheshimu mawazo yako na mtazamo wako ila sikubaliani nao. Kwa msingi huo nawe una uhuru wa kutofautiana nami bila kunituhumu kisa tu nipo kinyume na mahaba yako.

Nakusihi usikubali kuambukizwa maradhi ya kuchukia watu bure, huna any basis ya kumchukia JK, unafuata mkumbo, wewe sio wa hivyo Mkuu!

Tuelimishane taratibu, tutofautiane kwa hekima, na turekebishane kwa staha. I always see wisdom in you not otherwise, unless I am wrong!
 
Nyerere aliwaona kikwete na Lowassa kuwa ni wahuni wasiofaa kwenda ikulu.

Baada ya Nyerere kufa kikwete alikwea ikulu na akauthibitisha uhuni wake.

Wakulaumiwa hapa ni yule aliyetengeneza katiba inayomlinda rais mhuni asishitakiwe, bila shaka ni mchonga ndiye wa kulaumiwa.
Ongezea na sisi Watanganyika kwa kukaa kimya kama vile hakuna kilichotokea. Kwa maana nyingine, Upumbavu wetu ndiyo Mtaji wao.

Siku akili zikitukaa sawa basi wengi wetu bila kujali itikadi zetu kisiasa, tutakuwa na sauti moja ya kudai KATIBA MPYA.
 
Nchi ilikua changa wasomi walikua wachache na hawakutosha mpaka tukawa tunaazima wataalam nje ya nchi.

Babu zenu walikua hawapendi shule kutwa kuruka na ungo na mafisi tu kulogana.

Matokeo yake ndio haya.
Ndiyo maana tunawaabia CCM ni chama chakavu. Hawana mawazo mapya. Bado Viongozi wake na Serikali yao wamekalia mawazo ya kishirikina. Hakuna tofauti kati ya Wasomi na Wasiosoma( rejea maneno ya Hamphrey Polepole na Paulina Gekul). Hata JK aliwahi kusema "Wanaccm hawaachiani maji mezani.
 
Moja kati ya makosa makubwa yaliyowahi kufanyika nchi hii ni kumpa Jakaya Kikwete madaraka ya uraisi. Pamoja na mapungufu makubwa aliyoonyesha kiungozi bado aliingiza familia nzima katika urais huku wakipigana vikumbo kutafuta fursa na kujipenyeza.

Mengi yanajulikana, lakini kinachoniuma zaidi ni familia yake kupeleka hoja ya kuwalipa pensheni wake wa viongozi. Kwa wasiofahamu hoja hii ilipelekwa bungeni na Mama Salma Kikwete ambaye ni mke wa Rais Kikwete. Hiki ni kiwango kikubwa zaidi cha tamaa zaidi hata tamaa ya fisi. Bila shaka hiki ndio legacy anayoacha Kikwete kwa familia yake, kutotosheka.

Pamoja na kufuja rasilimali za nchi katika kipindi chake, pamoja na mauwekezaji rasmi na yasiyo rasmi katika familia yake bado watu hawa hawatosheki?

Familia inakosa utu kabisa. Nchi ina ukata kutwa kuchwa kupokea misaada. Lakini kuna watu baba raisi, mama mbunge, kaka waziri bado hawatosheki wakaja na pensheni kwa wake wa viongozi.

Familia hii haikuona kabisa pesheni ndogo wanazolipwa watumishi wa umma, pengine ipeleke hoja bungeni na kutia ushawishi kwa Rais. Haikuona mishahara midogo yenyewe ikaona walichonacho waongezewe maradufu.

Kuna wakati Rais Magufuli alionyesha chuki ya wazi kwa Kikwete, pengine alichukia sana tamaa za Kikwete na familia yake.
ndiye rais wa hovyo aliyemea ufisadi kuliko wengine. familia la vilaza na walafi.
 
Nyerere aliwaona kikwete na Lowassa kuwa ni wahuni wasiofaa kwenda ikulu.

Baada ya Nyerere kufa kikwete alikwea ikulu na akauthibitisha uhuni wake.

Wakulaumiwa hapa ni yule aliyetengeneza katiba inayomlinda rais mhuni asishitakiwe, bila shaka ni mchonga ndiye wa kulaumiwa.
hicho kibabu ukikitaja nahisi kupandwa hasira.
 
Jiwe alikuwa shetan,chuki zenu kwa kikwete sababu ni muislam wapuuzi nyie,

Wapuuzi wenzenu wamepiga kelele kuhusu DP WORLD serikali makini ya samia iliwapuuzilia mbali,
Mlivyo matahila mkasema eti Vatcan inaendesha dunia,lazima serikali itaufyata,

Mmbwa nyie
Wewe ni mpumbavu na mjinga tu! Umeusoma huo uzi?

Umeona huo uzi upo kidini? Pumb..uzako
 
Moja kati ya makosa makubwa yaliyowahi kufanyika nchi hii ni kumpa Jakaya Kikwete madaraka ya uraisi. Pamoja na mapungufu makubwa aliyoonyesha kiungozi bado aliingiza familia nzima katika urais huku wakipigana vikumbo kutafuta fursa na kujipenyeza.

Mengi yanajulikana, lakini kinachoniuma zaidi ni familia yake kupeleka hoja ya kuwalipa pensheni wake wa viongozi. Kwa wasiofahamu hoja hii ilipelekwa bungeni na Mama Salma Kikwete ambaye ni mke wa Rais Kikwete. Hiki ni kiwango kikubwa zaidi cha tamaa zaidi hata tamaa ya fisi. Bila shaka hiki ndio legacy anayoacha Kikwete kwa familia yake, kutotosheka.

Pamoja na kufuja rasilimali za nchi katika kipindi chake, pamoja na mauwekezaji rasmi na yasiyo rasmi katika familia yake bado watu hawa hawatosheki?

Familia inakosa utu kabisa. Nchi ina ukata kutwa kuchwa kupokea misaada. Lakini kuna watu baba raisi, mama mbunge, kaka waziri bado hawatosheki wakaja na pensheni kwa wake wa viongozi.

Familia hii haikuona kabisa pesheni ndogo wanazolipwa watumishi wa umma, pengine ipeleke hoja bungeni na kutia ushawishi kwa Rais. Haikuona mishahara midogo yenyewe ikaona walichonacho waongezewe maradufu.

Kuna wakati Rais Magufuli alionyesha chuki ya wazi kwa Kikwete, pengine alichukia sana tamaa za Kikwete na familia yake.
Royal family
 
Moja kati ya makosa makubwa yaliyowahi kufanyika nchi hii ni kumpa Jakaya Kikwete madaraka ya uraisi. Pamoja na mapungufu makubwa aliyoonyesha kiungozi bado aliingiza familia nzima katika urais huku wakipigana vikumbo kutafuta fursa na kujipenyeza.

Mengi yanajulikana, lakini kinachoniuma zaidi ni familia yake kupeleka hoja ya kuwalipa pensheni wake wa viongozi. Kwa wasiofahamu hoja hii ilipelekwa bungeni na Mama Salma Kikwete ambaye ni mke wa Rais Kikwete. Hiki ni kiwango kikubwa zaidi cha tamaa zaidi hata tamaa ya fisi. Bila shaka hiki ndio legacy anayoacha Kikwete kwa familia yake, kutotosheka.

Pamoja na kufuja rasilimali za nchi katika kipindi chake, pamoja na mauwekezaji rasmi na yasiyo rasmi katika familia yake bado watu hawa hawatosheki?

Familia inakosa utu kabisa. Nchi ina ukata kutwa kuchwa kupokea misaada. Lakini kuna watu baba raisi, mama mbunge, kaka waziri bado hawatosheki wakaja na pensheni kwa wake wa viongozi.

Familia hii haikuona kabisa pesheni ndogo wanazolipwa watumishi wa umma, pengine ipeleke hoja bungeni na kutia ushawishi kwa Rais. Haikuona mishahara midogo yenyewe ikaona walichonacho waongezewe maradufu.

Kuna wakati Rais Magufuli alionyesha chuki ya wazi kwa Kikwete, pengine alichukia sana tamaa za Kikwete na familia yake.
HIYO FAMILIA INA LAANA IMELAANIKA NA KITU KIKISHA LAANIKA UJUE ICHO KITU NI BASI TENA
 
Ndugu zangu masikini najua kuchomoka kwenye umasikini ni mchakato hata wa miaka 20 lakini nasema msikate tamaa. Wakina kikwete na familia wanatujulisha hakuna kurizika Kwa kile ulichonacho sasa wewe inakuwaje kipato Cha elfu Tano Kwa siku unaridhika
 
Utakuwa unafaidi sehemu ya huu ufisadi wa awamu hii ya sita. Mawazo ya kipuuzi kabisa kwako ndio unayapigia vigelegele!.
Lwiva anasema muundo/mfumo sahihi kisiasa wa kuendesha nchi ni:

Kuwa na "serikali ya Kijamaa na Umma wa kibepari".

Ametaja mifumo minne. Mitatu mingine ni
2.serikali ya Kijamaa na Umma wa Kijamaa
3..serikali ya kibepari na Umma wa kibepari.
4.serikali ya kibepari na Umma wa kijamaa.

Changua mwenyewe tupo kwenye mfumo upi?
 
Moja kati ya makosa makubwa yaliyowahi kufanyika nchi hii ni kumpa Jakaya Kikwete madaraka ya uraisi. Pamoja na mapungufu makubwa aliyoonyesha kiungozi bado aliingiza familia nzima katika urais huku wakipigana vikumbo kutafuta fursa na kujipenyeza.

Mengi yanajulikana, lakini kinachoniuma zaidi ni familia yake kupeleka hoja ya kuwalipa pensheni wake wa viongozi. Kwa wasiofahamu hoja hii ilipelekwa bungeni na Mama Salma Kikwete ambaye ni mke wa Rais Kikwete. Hiki ni kiwango kikubwa zaidi cha tamaa zaidi hata tamaa ya fisi. Bila shaka hiki ndio legacy anayoacha Kikwete kwa familia yake, kutotosheka.

Pamoja na kufuja rasilimali za nchi katika kipindi chake, pamoja na mauwekezaji rasmi na yasiyo rasmi katika familia yake bado watu hawa hawatosheki?

Familia inakosa utu kabisa. Nchi ina ukata kutwa kuchwa kupokea misaada. Lakini kuna watu baba raisi, mama mbunge, kaka waziri bado hawatosheki wakaja na pensheni kwa wake wa viongozi.

Familia hii haikuona kabisa pesheni ndogo wanazolipwa watumishi wa umma, pengine ipeleke hoja bungeni na kutia ushawishi kwa Rais. Haikuona mishahara midogo yenyewe ikaona walichonacho waongezewe maradufu.

Kuna wakati Rais Magufuli alionyesha chuki ya wazi kwa Kikwete, pengine alichukia sana tamaa za Kikwete na familia yake.
Iko vile bandugu !
No peace of mind !!
Kila kitu huwa hakitoshi !
 
Msoga ishakufa sahv inanuka uozo tu,,,,,..........dadeki mlitaka kumlia timing Konda boy huko kusini halafu maturubai mwishoni mkatandika nyie....hadi ifike 2030 wazuri hawafi watakua wanapumulia njia ya haja kubwa badala ya puani........,kazi ya sasa ni kuhamisha tu rimoti
Duh 🙄 !
Kumbe Konda boy kule kunakofukaga moshi ilikuwa almanusra ?!!
Kazi kweli kweli !
 
Sawa mr fisadi

Issue ni wakiondoshwa au issue ni waliyoyafanya kulididimiza taifa hili na bado wanaendelea kuyafanya, i can agree kua wakiondoka ndio hayo yote uliyoyataja yanaweza kufanyika. Ufisadi wote unaofanyika nchini source ni CCM na hiyo familia ndio ina mafisadi yaliyokubuhu ukiwemo na wewe, sasa sijui wewe ndio mama salma au vp.
Kama ni hivyo nakupa pole kwa maumivu ya kujitakia.
JK and family are still there kula maisha.
Sasa hv yuko level za kimataifa. Sass we Masikini endekeza tu umasikini wako kutwa kucha kujadili maisha ya watu ambao hata mjikusanye ukoo wenu na kijiji chenu chote hamna uwezo wa kubadili Maisha ya JK family
 
Back
Top Bottom