Ubinafsi, uroho na tamaa za watawala sheria ya mafao kustaafu katika utumishi wa kisiasa

lukubuzo Samsis

JF-Expert Member
Nov 3, 2014
2,909
3,340
UBINAFSI, UROHO, TAMAA, WATAWALA!

Serikali imepeleka bungeni muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali ambayo kuna marekebisho katika sheria 10 ikiwepo sheria ya mafao ya kustaafu katika utumishi wa kisiasa.

Muswada unapendekeza kiongozi aliyeshika nafasi ya ofisi ya Rais na kustaafu, mwenza wake atapata 25% ya jumla ya mshahara wa mwenza wake alipokuwa ofisini.

Muswada unapendekeza; familia ya Rais Mstaafu itapata mafao yake kila mwezi ambayo ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani

Salma Kikwete ni mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete.

Salma Kikwete ni mama wa Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

April 22, 2022 katika Bajeti ya Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 2022/23 Salma Kikwete alipendekeza mafao ya wake wa Marais wastaafu

Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Naibu Waziri ni Ridhiwani Kikwete, hoja hiyo sasa imepelekwa bungeni

Muswada umewasilishwa 8/9/23 na Spika wa Bunge na ameupeleka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa ajili ya kuchambuliwa

Salma Kikwete na wake wa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu watalipwa pesa za kiinua mgongo kwa sababu tu walikuwa wake wa vigogo.

Salma Kikwete ni mwalimu kitaaluma. Hakuona tija kutetea mafao ya walimu wenzake au watumishi wa umma, akatetea “wenza wa vigogo”.

Salma Kikwete, akimaliza miaka yake mitano ya ubunge wake jimbo la Mchinga atalipwa Sh230M kama kiinua mgongo chake.

Kiinua mgongo cha Sh230 milioni analipwa kwa kuwa mbunge wa Mchinga. Bado kiinua mgongo atacholipwa kwa kuwa mke wa Kikwete

Mshahara na marupurupu ya mbunge nje ya posho na kujikimu ni Sh16.5M kwa siku 30. Kwa mwaka, mshahara ni Sh198M.

Mbunge miaka 5, mshahara wake ni Sh990M. Kiinua mgongo kwa kila mbunge ni Sh230M. Salma Kikwete (mbunge) atakusanya hizo.

Salma Kikwete analipwa posho ya kujikimu (perdiem) Sh250,000 kwa siku. Ukijumlisha na posho ya kitako Sh220,000 anakunja Sh470,000 kwa siku moja bungeni

Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi 80% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliyepo madarakani

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais mstaafu, anapewa pasi ya kusafiria yenye hadhi ya kidiplomasia, pamoja na mke wake na mume wake.

Rais Mstaafu na mke wake wanalipiwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi. Bado Salma Kikwete akaona haitoshi akaomba apewe mafao ya kuwa mke wa Rais

Rais Mstaafu anapewa walinzi, msaidizi, katibu mukhtasi, mhudumu wa ofisi, mpisho, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili

Rais Mstaafu analipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na serikali, ambayo pia hubadilishwa baada ya miaka mitano

Rais Mstaafu pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni LAZIMA iwe na angalau vyumba vinne, viwili kati ya hivyo LAZIMA viwe na huduma zote ndani (self-contained rooms)

Nyumba hiyo LAZIMA iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake. Na gharama za mazishi zitagharamiwa na serikali

Mume amekuwa Rais miaka 10 na mbunge wa Chalinze. Amekuwa waziri kwa miaka 10. Ametumikia uwaziri tangu mwaka 1995 hadi 2005 alipokwenda kuwa Rais.

Mtoto wa Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekuwa mbunge wa Chalinze tangu mwaka 2014 (baba yake akiwa Rais)

Tembelea majimbo ya Mchinga na Chalinze ambayo wamegawana kama mali za urithi. Wananchi wake ni maskini wa kutupwa. Hawana huduma stahiki za kijamii

Watanzania kwa mamilioni wanakosa huduma muhimu za kijamii kama afya na njaa imetawala, watawala wastaafu na wake zao wanajirundikia miposho

Hawa watu wanajineemesha kwa marumbesa ya pesa na familia zao. Siyo rahisi kuwapa njia ya kutoa katiba mpya. Wanajua Katiba Mpya itaondoa huu urasimu.

Lazima mtu timamu aone sababu za msingi za kudhibiti mambo haya kwa kuyawekea utaratibu mzuri.

MMM, Martin Maranja MaseseView attachment 2747879
20230913_135026.jpg
 
Umemzungumzia huyu, vipi Janet Magufuli,
Mama Ana Mkapa,
Mama Mwinyi (in case yupo)
Mama Nyerere?

Umetazama sehemu moja ila kuna watu wengi sana
 
Noma sana ,Sasa tufanyaje Ili kuondoa huu urasimu unaofanywa na serikali ya CCM, tukiandamana jeshi la polisi ,JW linawatetea inamana Kuna kitu yanafaidika haya majeshi yetu, kufa tunaogopa , kiujumla waafrika ni wabinafsi kweli kweli,
Au ndo nani atamfunga paka kengele , panya mabaka au.
 
UBINAFSI, UROHO, TAMAA, WATAWALA!

Serikali imepeleka bungeni muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali ambayo kuna marekebisho katika sheria 10 ikiwepo sheria ya mafao ya kustaafu katika utumishi wa kisiasa.

Muswada unapendekeza kiongozi aliyeshika nafasi ya ofisi ya Rais na kustaafu, mwenza wake atapata 25% ya jumla ya mshahara wa mwenza wake alipokuwa ofisini.

Muswada unapendekeza; familia ya Rais Mstaafu itapata mafao yake kila mwezi ambayo ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani

Salma Kikwete ni mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete.

Salma Kikwete ni mama wa Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

April 22, 2022 katika Bajeti ya Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 2022/23 Salma Kikwete alipendekeza mafao ya wake wa Marais wastaafu

Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Naibu Waziri ni Ridhiwani Kikwete, hoja hiyo sasa imepelekwa bungeni

Muswada umewasilishwa 8/9/23 na Spika wa Bunge na ameupeleka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa ajili ya kuchambuliwa

Salma Kikwete na wake wa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu watalipwa pesa za kiinua mgongo kwa sababu tu walikuwa wake wa vigogo.

Salma Kikwete ni mwalimu kitaaluma. Hakuona tija kutetea mafao ya walimu wenzake au watumishi wa umma, akatetea “wenza wa vigogo”.

Salma Kikwete, akimaliza miaka yake mitano ya ubunge wake jimbo la Mchinga atalipwa Sh230M kama kiinua mgongo chake.

Kiinua mgongo cha Sh230 milioni analipwa kwa kuwa mbunge wa Mchinga. Bado kiinua mgongo atacholipwa kwa kuwa mke wa Kikwete

Mshahara na marupurupu ya mbunge nje ya posho na kujikimu ni Sh16.5M kwa siku 30. Kwa mwaka, mshahara ni Sh198M.

Mbunge miaka 5, mshahara wake ni Sh990M. Kiinua mgongo kwa kila mbunge ni Sh230M. Salma Kikwete (mbunge) atakusanya hizo.

Salma Kikwete analipwa posho ya kujikimu (perdiem) Sh250,000 kwa siku. Ukijumlisha na posho ya kitako Sh220,000 anakunja Sh470,000 kwa siku moja bungeni

Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi 80% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliyepo madarakani

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais mstaafu, anapewa pasi ya kusafiria yenye hadhi ya kidiplomasia, pamoja na mke wake na mume wake.

Rais Mstaafu na mke wake wanalipiwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi. Bado Salma Kikwete akaona haitoshi akaomba apewe mafao ya kuwa mke wa Rais

Rais Mstaafu anapewa walinzi, msaidizi, katibu mukhtasi, mhudumu wa ofisi, mpisho, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili

Rais Mstaafu analipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na serikali, ambayo pia hubadilishwa baada ya miaka mitano

Rais Mstaafu pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni LAZIMA iwe na angalau vyumba vinne, viwili kati ya hivyo LAZIMA viwe na huduma zote ndani (self-contained rooms)

Nyumba hiyo LAZIMA iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake. Na gharama za mazishi zitagharamiwa na serikali

Mume amekuwa Rais miaka 10 na mbunge wa Chalinze. Amekuwa waziri kwa miaka 10. Ametumikia uwaziri tangu mwaka 1995 hadi 2005 alipokwenda kuwa Rais.

Mtoto wa Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekuwa mbunge wa Chalinze tangu mwaka 2014 (baba yake akiwa Rais)

Tembelea majimbo ya Mchinga na Chalinze ambayo wamegawana kama mali za urithi. Wananchi wake ni maskini wa kutupwa. Hawana huduma stahiki za kijamii

Watanzania kwa mamilioni wanakosa huduma muhimu za kijamii kama afya na njaa imetawala, watawala wastaafu na wake zao wanajirundikia miposho

Hawa watu wanajineemesha kwa marumbesa ya pesa na familia zao. Siyo rahisi kuwapa njia ya kutoa katiba mpya. Wanajua Katiba Mpya itaondoa huu urasimu.

Lazima mtu timamu aone sababu za msingi za kudhibiti mambo haya kwa kuyawekea utaratibu mzuri.

MMM, Martin Maranja MaseseView attachment 2747879View attachment 2747880
Umeongea vitu vinameki sensi, the world blunty unfair. Ndo mana nasemaga mtoto wa maskini mwemye akili zaidi hapa afrika ni yule anaeng'ang'ana na siasa tu. Sisi wengine ni wasakatonge mjini
 
Noma sana ,Sasa tufanyaje Ili kuondoka huu urasimu unaofanywa na serikali ya CCM, tukiandamana jeshi polisi ,JW linawatetea inamana Kuna kitu yanafaidika haya majeshi yetu, kufa tunaogopa , kiujumla waafrika ni wabinafsi kweli kweli,
Au ndo nani atamfunga paka kengele , panga mabaka au.
Mkuu zingatia maokoto yako
 
UBINAFSI, UROHO, TAMAA, WATAWALA!

Serikali imepeleka bungeni muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali ambayo kuna marekebisho katika sheria 10 ikiwepo sheria ya mafao ya kustaafu katika utumishi wa kisiasa.

Muswada unapendekeza kiongozi aliyeshika nafasi ya ofisi ya Rais na kustaafu, mwenza wake atapata 25% ya jumla ya mshahara wa mwenza wake alipokuwa ofisini.

Muswada unapendekeza; familia ya Rais Mstaafu itapata mafao yake kila mwezi ambayo ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani

Salma Kikwete ni mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete.

Salma Kikwete ni mama wa Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

April 22, 2022 katika Bajeti ya Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 2022/23 Salma Kikwete alipendekeza mafao ya wake wa Marais wastaafu

Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Naibu Waziri ni Ridhiwani Kikwete, hoja hiyo sasa imepelekwa bungeni

Muswada umewasilishwa 8/9/23 na Spika wa Bunge na ameupeleka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa ajili ya kuchambuliwa

Salma Kikwete na wake wa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu watalipwa pesa za kiinua mgongo kwa sababu tu walikuwa wake wa vigogo.

Salma Kikwete ni mwalimu kitaaluma. Hakuona tija kutetea mafao ya walimu wenzake au watumishi wa umma, akatetea “wenza wa vigogo”.

Salma Kikwete, akimaliza miaka yake mitano ya ubunge wake jimbo la Mchinga atalipwa Sh230M kama kiinua mgongo chake.

Kiinua mgongo cha Sh230 milioni analipwa kwa kuwa mbunge wa Mchinga. Bado kiinua mgongo atacholipwa kwa kuwa mke wa Kikwete

Mshahara na marupurupu ya mbunge nje ya posho na kujikimu ni Sh16.5M kwa siku 30. Kwa mwaka, mshahara ni Sh198M.

Mbunge miaka 5, mshahara wake ni Sh990M. Kiinua mgongo kwa kila mbunge ni Sh230M. Salma Kikwete (mbunge) atakusanya hizo.

Salma Kikwete analipwa posho ya kujikimu (perdiem) Sh250,000 kwa siku. Ukijumlisha na posho ya kitako Sh220,000 anakunja Sh470,000 kwa siku moja bungeni

Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi 80% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliyepo madarakani

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais mstaafu, anapewa pasi ya kusafiria yenye hadhi ya kidiplomasia, pamoja na mke wake na mume wake.

Rais Mstaafu na mke wake wanalipiwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi. Bado Salma Kikwete akaona haitoshi akaomba apewe mafao ya kuwa mke wa Rais

Rais Mstaafu anapewa walinzi, msaidizi, katibu mukhtasi, mhudumu wa ofisi, mpisho, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili

Rais Mstaafu analipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na serikali, ambayo pia hubadilishwa baada ya miaka mitano

Rais Mstaafu pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni LAZIMA iwe na angalau vyumba vinne, viwili kati ya hivyo LAZIMA viwe na huduma zote ndani (self-contained rooms)

Nyumba hiyo LAZIMA iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake. Na gharama za mazishi zitagharamiwa na serikali

Mume amekuwa Rais miaka 10 na mbunge wa Chalinze. Amekuwa waziri kwa miaka 10. Ametumikia uwaziri tangu mwaka 1995 hadi 2005 alipokwenda kuwa Rais.

Mtoto wa Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekuwa mbunge wa Chalinze tangu mwaka 2014 (baba yake akiwa Rais)

Tembelea majimbo ya Mchinga na Chalinze ambayo wamegawana kama mali za urithi. Wananchi wake ni maskini wa kutupwa. Hawana huduma stahiki za kijamii

Watanzania kwa mamilioni wanakosa huduma muhimu za kijamii kama afya na njaa imetawala, watawala wastaafu na wake zao wanajirundikia miposho

Hawa watu wanajineemesha kwa marumbesa ya pesa na familia zao. Siyo rahisi kuwapa njia ya kutoa katiba mpya. Wanajua Katiba Mpya itaondoa huu urasimu.

Lazima mtu timamu aone sababu za msingi za kudhibiti mambo haya kwa kuyawekea utaratibu mzuri.
 
Mbaya Zaid wanauza na bandari na mbuga zote baada ya vitalu vya madini kuisha.. anyway Kila mtu apambane wanasiasa ndio maisha yao na ww ukitaka kuwa mwanasiasa.
 
UBINAFSI, UROHO, TAMAA, WATAWALA!

Serikali imepeleka bungeni muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali ambayo kuna marekebisho katika sheria 10 ikiwepo sheria ya mafao ya kustaafu katika utumishi wa kisiasa.

Muswada unapendekeza kiongozi aliyeshika nafasi ya ofisi ya Rais na kustaafu, mwenza wake atapata 25% ya jumla ya mshahara wa mwenza wake alipokuwa ofisini.

Muswada unapendekeza; familia ya Rais Mstaafu itapata mafao yake kila mwezi ambayo ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani

Salma Kikwete ni mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete.

Salma Kikwete ni mama wa Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

April 22, 2022 katika Bajeti ya Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 2022/23 Salma Kikwete alipendekeza mafao ya wake wa Marais wastaafu

Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Naibu Waziri ni Ridhiwani Kikwete, hoja hiyo sasa imepelekwa bungeni

Muswada umewasilishwa 8/9/23 na Spika wa Bunge na ameupeleka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa ajili ya kuchambuliwa

Salma Kikwete na wake wa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu watalipwa pesa za kiinua mgongo kwa sababu tu walikuwa wake wa vigogo.

Salma Kikwete ni mwalimu kitaaluma. Hakuona tija kutetea mafao ya walimu wenzake au watumishi wa umma, akatetea “wenza wa vigogo”.

Salma Kikwete, akimaliza miaka yake mitano ya ubunge wake jimbo la Mchinga atalipwa Sh230M kama kiinua mgongo chake.

Kiinua mgongo cha Sh230 milioni analipwa kwa kuwa mbunge wa Mchinga. Bado kiinua mgongo atacholipwa kwa kuwa mke wa Kikwete

Mshahara na marupurupu ya mbunge nje ya posho na kujikimu ni Sh16.5M kwa siku 30. Kwa mwaka, mshahara ni Sh198M.

Mbunge miaka 5, mshahara wake ni Sh990M. Kiinua mgongo kwa kila mbunge ni Sh230M. Salma Kikwete (mbunge) atakusanya hizo.

Salma Kikwete analipwa posho ya kujikimu (perdiem) Sh250,000 kwa siku. Ukijumlisha na posho ya kitako Sh220,000 anakunja Sh470,000 kwa siku moja bungeni

Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi 80% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliyepo madarakani

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais mstaafu, anapewa pasi ya kusafiria yenye hadhi ya kidiplomasia, pamoja na mke wake na mume wake.

Rais Mstaafu na mke wake wanalipiwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi. Bado Salma Kikwete akaona haitoshi akaomba apewe mafao ya kuwa mke wa Rais

Rais Mstaafu anapewa walinzi, msaidizi, katibu mukhtasi, mhudumu wa ofisi, mpisho, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili

Rais Mstaafu analipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na serikali, ambayo pia hubadilishwa baada ya miaka mitano

Rais Mstaafu pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni LAZIMA iwe na angalau vyumba vinne, viwili kati ya hivyo LAZIMA viwe na huduma zote ndani (self-contained rooms)

Nyumba hiyo LAZIMA iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake. Na gharama za mazishi zitagharamiwa na serikali

Mume amekuwa Rais miaka 10 na mbunge wa Chalinze. Amekuwa waziri kwa miaka 10. Ametumikia uwaziri tangu mwaka 1995 hadi 2005 alipokwenda kuwa Rais.

Mtoto wa Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekuwa mbunge wa Chalinze tangu mwaka 2014 (baba yake akiwa Rais)

Tembelea majimbo ya Mchinga na Chalinze ambayo wamegawana kama mali za urithi. Wananchi wake ni maskini wa kutupwa. Hawana huduma stahiki za kijamii

Watanzania kwa mamilioni wanakosa huduma muhimu za kijamii kama afya na njaa imetawala, watawala wastaafu na wake zao wanajirundikia miposho

Hawa watu wanajineemesha kwa marumbesa ya pesa na familia zao. Siyo rahisi kuwapa njia ya kutoa katiba mpya. Wanajua Katiba Mpya itaondoa huu urasimu.

Lazima mtu timamu aone sababu za msingi za kudhibiti mambo haya kwa kuyawekea utaratibu mzuri.

MMM, Martin Maranja MaseseView attachment 2747879View attachment 2747880
Mwenye nacho huongezewa
 
Serikali imepeleka bungeni muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali ambayo kuna marekebisho katika sheria 10 ikiwepo sheria ya mafao ya kustaafu katika utumishi wa kisiasa.

Muswada unapendekeza kiongozi aliyeshika nafasi ya ofisi ya Rais na kustaafu, mwenza wake atapata 25% ya jumla ya mshahara wa mwenza wake alipokuwa ofisini.

Muswada unapendekeza; familia ya Rais Mstaafu itapata mafao yake kila mwezi ambayo ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani

Salma Kikwete ni mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete.

Salma Kikwete ni mama wa Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

April 22, 2022 katika Bajeti ya Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 2022/23 Salma Kikwete alipendekeza mafao ya wake wa Marais wastaafu

Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Naibu Waziri ni Ridhiwani Kikwete, hoja hiyo sasa imepelekwa bungeni

Muswada umewasilishwa 8/9/23 na Spika wa Bunge na ameupeleka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa ajili ya kuchambuliwa

Salma Kikwete na wake wa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu watalipwa pesa za kiinua mgongo kwa sababu tu walikuwa wake wa vigogo.

Salma Kikwete ni mwalimu kitaaluma. Hakuona tija kutetea mafao ya walimu wenzake au watumishi wa umma, akatetea “wenza wa vigogo”.

Salma Kikwete, akimaliza miaka yake mitano ya ubunge wake jimbo la Mchinga atalipwa Sh230M kama kiinua mgongo chake.

Kiinua mgongo cha Sh230 milioni analipwa kwa kuwa mbunge wa Mchinga. Bado kiinua mgongo atacholipwa kwa kuwa mke wa Kikwete

Mshahara na marupurupu ya mbunge nje ya posho na kujikimu ni Sh16.5M kwa siku 30. Kwa mwaka, mshahara ni Sh198M.

Mbunge miaka 5, mshahara wake ni Sh990M. Kiinua mgongo kwa kila mbunge ni Sh230M. Salma Kikwete (mbunge) atakusanya hizo.

Salma Kikwete analipwa posho ya kujikimu (perdiem) Sh250,000 kwa siku. Ukijumlisha na posho ya kitako Sh220,000 anakunja Sh470,000 kwa siku moja bungeni

Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi 80% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliyepo madarakani

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais mstaafu, anapewa pasi ya kusafiria yenye hadhi ya kidiplomasia, pamoja na mke wake na mume wake.

Rais Mstaafu na mke wake wanalipiwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi. Bado Salma Kikwete akaona haitoshi akaomba apewe mafao ya kuwa mke wa Rais

Rais Mstaafu anapewa walinzi, msaidizi, katibu mukhtasi, mhudumu wa ofisi, mpisho, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili

Rais Mstaafu analipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na serikali, ambayo pia hubadilishwa baada ya miaka mitano

Rais Mstaafu pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni LAZIMA iwe na angalau vyumba vinne, viwili kati ya hivyo LAZIMA viwe na huduma zote ndani (self-contained rooms)

Nyumba hiyo LAZIMA iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake. Na gharama za mazishi zitagharamiwa na serikali

Mume amekuwa Rais miaka 10 na mbunge wa Chalinze. Amekuwa waziri kwa miaka 10. Ametumikia uwaziri tangu mwaka 1995 hadi 2005 alipokwenda kuwa Rais.

Mtoto wa Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekuwa mbunge wa Chalinze tangu mwaka 2014 (baba yake akiwa Rais)

Tembelea majimbo ya Mchinga na Chalinze ambayo wamegawana kama mali za urithi. Wananchi wake ni maskini wa kutupwa. Hawana huduma stahiki za kijamii

Watanzania kwa mamilioni wanakosa huduma muhimu za kijamii kama afya na njaa imetawala, watawala wastaafu na wake zao wanajirundikia miposho

Hawa watu wanajineemesha kwa marumbesa ya pesa na familia zao. Siyo rahisi kuwapa njia ya kutoa katiba mpya. Wanajua Katiba Mpya itaondoa huu urasimu.

Lazima mtu timamu aone sababu za msingi za kudhibiti mambo haya kwa kuyawekea utaratibu mzuri.
 
UBINAFSI, UROHO, TAMAA, WATAWALA!

Serikali imepeleka bungeni muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali ambayo kuna marekebisho katika sheria 10 ikiwepo sheria ya mafao ya kustaafu katika utumishi wa kisiasa.

Muswada unapendekeza kiongozi aliyeshika nafasi ya ofisi ya Rais na kustaafu, mwenza wake atapata 25% ya jumla ya mshahara wa mwenza wake alipokuwa ofisini.

Muswada unapendekeza; familia ya Rais Mstaafu itapata mafao yake kila mwezi ambayo ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani

Salma Kikwete ni mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, aliyekuwa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete.

Salma Kikwete ni mama wa Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

April 22, 2022 katika Bajeti ya Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 2022/23 Salma Kikwete alipendekeza mafao ya wake wa Marais wastaafu

Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Naibu Waziri ni Ridhiwani Kikwete, hoja hiyo sasa imepelekwa bungeni

Muswada umewasilishwa 8/9/23 na Spika wa Bunge na ameupeleka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa ajili ya kuchambuliwa

Salma Kikwete na wake wa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu watalipwa pesa za kiinua mgongo kwa sababu tu walikuwa wake wa vigogo.

Salma Kikwete ni mwalimu kitaaluma. Hakuona tija kutetea mafao ya walimu wenzake au watumishi wa umma, akatetea “wenza wa vigogo”.

Salma Kikwete, akimaliza miaka yake mitano ya ubunge wake jimbo la Mchinga atalipwa Sh230M kama kiinua mgongo chake.

Kiinua mgongo cha Sh230 milioni analipwa kwa kuwa mbunge wa Mchinga. Bado kiinua mgongo atacholipwa kwa kuwa mke wa Kikwete

Mshahara na marupurupu ya mbunge nje ya posho na kujikimu ni Sh16.5M kwa siku 30. Kwa mwaka, mshahara ni Sh198M.

Mbunge miaka 5, mshahara wake ni Sh990M. Kiinua mgongo kwa kila mbunge ni Sh230M. Salma Kikwete (mbunge) atakusanya hizo.

Salma Kikwete analipwa posho ya kujikimu (perdiem) Sh250,000 kwa siku. Ukijumlisha na posho ya kitako Sh220,000 anakunja Sh470,000 kwa siku moja bungeni

Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi 80% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliyepo madarakani

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais mstaafu, anapewa pasi ya kusafiria yenye hadhi ya kidiplomasia, pamoja na mke wake na mume wake.

Rais Mstaafu na mke wake wanalipiwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi. Bado Salma Kikwete akaona haitoshi akaomba apewe mafao ya kuwa mke wa Rais

Rais Mstaafu anapewa walinzi, msaidizi, katibu mukhtasi, mhudumu wa ofisi, mpisho, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili

Rais Mstaafu analipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na serikali, ambayo pia hubadilishwa baada ya miaka mitano

Rais Mstaafu pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni LAZIMA iwe na angalau vyumba vinne, viwili kati ya hivyo LAZIMA viwe na huduma zote ndani (self-contained rooms)

Nyumba hiyo LAZIMA iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake. Na gharama za mazishi zitagharamiwa na serikali

Mume amekuwa Rais miaka 10 na mbunge wa Chalinze. Amekuwa waziri kwa miaka 10. Ametumikia uwaziri tangu mwaka 1995 hadi 2005 alipokwenda kuwa Rais.

Mtoto wa Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekuwa mbunge wa Chalinze tangu mwaka 2014 (baba yake akiwa Rais)

Tembelea majimbo ya Mchinga na Chalinze ambayo wamegawana kama mali za urithi. Wananchi wake ni maskini wa kutupwa. Hawana huduma stahiki za kijamii

Watanzania kwa mamilioni wanakosa huduma muhimu za kijamii kama afya na njaa imetawala, watawala wastaafu na wake zao wanajirundikia miposho

Hawa watu wanajineemesha kwa marumbesa ya pesa na familia zao. Siyo rahisi kuwapa njia ya kutoa katiba mpya. Wanajua Katiba Mpya itaondoa huu urasimu.

Lazima mtu timamu aone sababu za msingi za kudhibiti mambo haya kwa kuyawekea utaratibu mzuri.

MMM, Martin Maranja Masese

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom