Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
I am not Male.It's your opnion brother, though, my arguments have got substance in it.
I am not Male.It's your opnion brother, though, my arguments have got substance in it.
Women are more protected by the law and are aware of their rights in mzungu land, in Bongo land a man can get away with impregnating multiple women without being slapped with any child supportReally?
Hata Tz wanalindwa na sheria. Tatizo ujinga na ukosefu wa elimu ndiyo chanzo cha kutokudai haki zao.Women are more protected by the law and are aware of their rights in mzungu land, in Bongo land a man can get away with impregnating multiple women without being slapped with any child support
Inategemea nchi na nchi ila kiujumla ni malipo yanayotolewa kila baada ya kipindi fulani cha muda kupita kumsaidia mzazi mwenza kulea mtoto pale mahusiano yenu yanapofika tamati huku mkiwa na mtotoChild support ndo inakuaje mkuu...
sometime ugumu wa maisha ndio Chanzo kupelekea kuchukua vizee vya kizungu vilivyokosa wa kuwatunza uzeeni. Wakati kwenu umeviacha vikina aisha saa 6 kabisa..! Huo upuuzi siwezi fanya hata wanipe yellow Card instead of green card zao hizo..Kuna kipindi kimoja Cha couple hookups kipo DSTV kunaitwa 90 Days Fiance ndo utachoka.
Kuna jamaa anaitwa Michael wa Nigeria Ana mwanamke anaitwa Angela it was pure madness.
I think Angela was 69 mpaka vows alikuwa hataki kufatisha kinachosemwa.
If you have time visit their IG page and scroll back utatamuni umvunje pia Michael akili zimrudie. All for A Green Card.
Sorry Madam.I am not Male.
Tunamsemo mmoja wakijinga eti uwezi kujua anaweka kuwa rais....pumbaf kabisaHao watoto unaowazaa unawawekea msingi gani? Unataka kuwazaa uwaachie msala.
Sasa nje ya nchi wanaangalia yote hayo.
Sio kibongobongo mimba za bahati mbaya, na kwamba fyucha yao itafahamika mbele kwa mbele.
Mkuu sheria zetu ni legelege, mfano kiwango kilichoidhinishwa na idara ya ustawi wa jamii kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kidogo sana kwa hali ya sasa ya maisha.Hata Tz wanalindwa na sheria. Tatizo ujinga na ukosefu wa elimu ndiyo chanzo cha kutokudai haki zao.
Karucee😍Ukute wanawake wa kule ni vimeo zaidi yetu sisi.
Sasa hawa kaka zetu wanaona hapana, vichwa vibovu hivi havifai.
Rudini nyumbani bana Bora sisi mizimwi muijuayo 🤣🤣
Kwani hawakutani na Diaspora wenzao huko?
Walau wewe umekuwa muwazi mkuuUkiwa mtu mweusi na hauna pesa kupata demu mzungu au muarabu ni kazi sana,..
Huwa mademu wanakatazwa na familia zao kuwa na mahusiano na sisi wakiambia wasiiletee aibu familia
ila ubaguzi wa rangi unauma aisee usiombe ukutane na hiyo kisanga
Nakubaliana na wewe. Haiwezekani mtu aishi ugenini miaka zaidi ya 10 arudi bila copy.Wanawake wa kule wanajitambua sana brother.
Tatizo ni ndugu zetu. Wanawake wa kule wanapenda mtu ambaye atawapa ulinzi financially.
Kunyanyapaliwa na maisha duni ndio sababu
Hapo hapo anakwambia ushahidi wake ni ndugu, rafiki na jamaa walioko nje...si awaulize kwanini hawana watoto? Anakuja kutuvuruga hapa jukwaani kwa kitu anachoweza kupata majibu kwa wahusika moja kwa moja. Matokeo yake ndio haya analeta habari za kufikirika za maisha binafsi ya watu.