Kwanini Diaspora wengi hawana watoto?

Women are more protected by the law and are aware of their rights in mzungu land, in Bongo land a man can get away with impregnating multiple women without being slapped with any child support
Hata Tz wanalindwa na sheria. Tatizo ujinga na ukosefu wa elimu ndiyo chanzo cha kutokudai haki zao.
 
Child support ndo inakuaje mkuu...
Inategemea nchi na nchi ila kiujumla ni malipo yanayotolewa kila baada ya kipindi fulani cha muda kupita kumsaidia mzazi mwenza kulea mtoto pale mahusiano yenu yanapofika tamati huku mkiwa na mtoto
 
Kuna kipindi kimoja Cha couple hookups kipo DSTV kunaitwa 90 Days Fiance ndo utachoka.

Kuna jamaa anaitwa Michael wa Nigeria Ana mwanamke anaitwa Angela it was pure madness.

I think Angela was 69 mpaka vows alikuwa hataki kufatisha kinachosemwa.

If you have time visit their IG page and scroll back utatamuni umvunje pia Michael akili zimrudie. All for A Green Card.
sometime ugumu wa maisha ndio Chanzo kupelekea kuchukua vizee vya kizungu vilivyokosa wa kuwatunza uzeeni. Wakati kwenu umeviacha vikina aisha saa 6 kabisa..! Huo upuuzi siwezi fanya hata wanipe yellow Card instead of green card zao hizo..

Kwanza wanajipa laana kuchukua vibibi hata kupigana mate sijui anawezaje?
 
Hao watoto unaowazaa unawawekea msingi gani? Unataka kuwazaa uwaachie msala.
Sasa nje ya nchi wanaangalia yote hayo.

Sio kibongobongo mimba za bahati mbaya, na kwamba fyucha yao itafahamika mbele kwa mbele.
Tunamsemo mmoja wakijinga eti uwezi kujua anaweka kuwa rais....pumbaf kabisa
 
Watoto wanao ila kuoa ndo hawawezi. Wamezoea kuishi kibachelor. Na wengi wanaishi peke yao miaka mingi.ni ngumu kuishi na mtu.
 
Kwani hawakutani na Diaspora wenzao huko?

Ukiwa mtu mweusi na hauna pesa kupata demu mzungu au muarabu ni kazi sana,..
Huwa mademu wanakatazwa na familia zao kuwa na mahusiano na sisi wakiambia wasiiletee aibu familia

ila ubaguzi wa rangi unauma aisee usiombe ukutane na hiyo kisanga
Walau wewe umekuwa muwazi mkuu
 
Hapo hapo anakwambia ushahidi wake ni ndugu, rafiki na jamaa walioko nje...si awaulize kwanini hawana watoto? Anakuja kutuvuruga hapa jukwaani kwa kitu anachoweza kupata majibu kwa wahusika moja kwa moja. Matokeo yake ndio haya analeta habari za kufikirika za maisha binafsi ya watu.
Screenshot_20201119-230447.png


Aamitabaa!
 
Back
Top Bottom