Kwanini Diaspora wengi hawana watoto?

Mi nimeishi uk kwa miaka minne...ugumu unakuja pale unataka usettle kwanza upige kazi upate sehemu nzuri ya kuishi hado bongo unakuta una wategemezi basi unakazana sana kupiga kazi viwandani huko au za care homes..sasa pale unakosa muda wa kusocialize na watu mbali mbali..totoz ukienda club mara kwa mara mbona zipo tu za kutosha.. maana akili yako kila saa inawaza kazi...ukija kushtuka unakuta muda umeshaenda sana...madem watu kule nao wanataka mtu mwenye uraia au mwenye kauwezo flan hivi aka mwenye future ..
 
Mi nimeishi uk kwa miaka minne...ugumu unakuja pale unataka usettle kwanza upige kazi upate sehemu nzuri ya kuishi hado bongo unakuta una wategemezi basi unakazana sana kupiga kazi viwandani huko au za care homes..sasa pale unakosa muda wa kusocialize na watu mbali mbali..totoz ukienda club mara kwa mara mbona zipo tu za kutosha.. maana akili yako kila saa inawaza kazi...ukija kushtuka unakuta muda umeshaenda sana...madem watu kule nao wanataka mtu mwenye uraia au mwenye kauwezo flan hivi aka mwenye future ..
Hukupata mtoto mkuu ?
 
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Mwanangu umejumuisha sana. Umefanya overgeneralization bila utafiti. Mbona wako wengi wenye watoto kama wale waliokwenda kule na wake zao? Japo una pwenti hasa ikizingatiwa kuwa wengi ima huenda kama wanafunzi na kuacha kusoma na kusotea maisha na wengine hata bila makaratasi. Kimsingi, wanawake wa kizungu kwenye kuzaa hawana ubaguzi. Wapo wengi wanaotaka waume. Hata hivyo, hutegemea na mhusika. Wapo waliokwenda ulaya kutafuta maisha ili wakirejea nyumbani waanze maisha. Wapo ambao ni choka mbaya kiasi cha kutoweza kuvutia hata wanawake wa kuzaa nao hasa kwenye nchi ambapo wengi hawana makaratasi au kazi. Hili tatizo halina jibu moja.
 
Mi nimeishi uk kwa miaka minne...ugumu unakuja pale unataka usettle kwanza upige kazi upate sehemu nzuri ya kuishi hado bongo unakuta una wategemezi basi unakazana sana kupiga kazi viwandani huko au za care homes..sasa pale unakosa muda wa kusocialize na watu mbali mbali..totoz ukienda club mara kwa mara mbona zipo tu za kutosha.. maana akili yako kila saa inawaza kazi...ukija kushtuka unakuta muda umeshaenda sana...madem watu kule nao wanataka mtu mwenye uraia au mwenye kauwezo flan hivi aka mwenye future ..
Kwahiyo hapo kwenye future ndio pagumu?
 
Mwanangu umejumuisha sana. Umefanya overgeneralization bila utafiti. Mbona wako wengi wenye watoto kama wale waliokwenda kule na wake zao? Japo una pwenti hasa ikizingatiwa kuwa wengi ima huenda kama wanafunzi na kuacha kusoma na kusotea maisha na wengine hata bila makaratasi. Kimsingi, wanawake wa kizungu kwenye kuzaa hawana ubaguzi. Wapo wengi wanaotaka waume. Hata hivyo, hutegemea na mhusika. Wapo waliokwenda ulaya kutafuta maisha ili wakirejea nyumbani waanze maisha. Wapo ambao ni choka mbaya kiasi cha kutoweza kuvutia hata wanawake wa kuzaa nao hasa kwenye nchi ambapo wengi hawana makaratasi au kazi. Hili tatizo halina jibu moja.
Naomba kuuliza kidogo. Mademu wa kizungu wanakubali kuzaa kirahisi kama huku kwetu akina Mwajuma?
 
Sio kweli, Mi naona waarabu ndio wana mapenzi na watu weusi kuliko wazungu, wahindi na wayahudi.
Aah..wap..Tena wale Coco Na wakuchovya ndio usiseme....
Siku hizi biashara..Kama una pesa utaoa unayetaka...japokuwa wao wenyewe nj maskini wa kutupa!

Pwani huku unapata wazur ..Tena hawauzwi....

Tatizo weusi wana shobo za kishamba Sana ndio maana yanazinguliwa...


Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.

Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?

1. Ugumu wa maisha?

2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?

Karibuni diaspora.
Kama ni kwa wazungu tu, wanajali sana kinga, na kufunga funga uzazi!
 
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.

Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?

1. Ugumu wa maisha?

2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?

Karibuni diaspora.
Kwani Lemutuz anasemaje? Lakini Lemutuz ana watoto wakubwa aliozaa na mkewe.
 
Wewe ni walee waafrica wakifika kwa wazungu wanajipendekeza hadi keroo yaan..huwa mnanikera sana na wajinga wenzako miwapo abroad..
Ukwel ni kwamba hakuna mzungu anapenda rangi nyeusi..ni wabaguzi kupindukia..na sio wazungu tu..wachina wahindi..pumbavuu kabisaa hawaaa..mtu mweusi yuko peke yake dunia nzimaa..lazima tujipende kwanza sisi..waafrica wakifika kule yaan wanaona kuwa karbu na wazungu ni bingo hata wa huku ni hvyo hvyoo..mzungu akiwa bongo mijitu mieusii inaona fahari kutembea nayo mitaani..shenzi kabisaa watu wa aina hiii..
Sifahamu nikujibu vipi maana umeandika kwa hasira sana.
 
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.

Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?

1. Ugumu wa maisha?

2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?

Karibuni diaspora.
Sample ya watu wawili ndo wengi

aliekuambia lemutuz hana watoto ndo nani?.
 
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Mkuu uwe unafanya utafiti walau kidogo kabla hujaanzisha uzi,
Katika hiyo mifano miwili uliotoa mmoja ni wa uongo, Lemutuz ana watoto wawili we umesema hana mtoto, sasa unaweza kukuta hata huyo jamaa unaemsema anaweza kuwa na watoto ila we ndio hujui,
 
Back
Top Bottom