Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,177
- 10,487
Hahahaha!First of all, you have to understand that most Diaspora are very poor. So no woman can marry a poor.
Further to that, they are defined as crooks, robbers & looters.
We jamaa bhanaa!
Hahahaha!First of all, you have to understand that most Diaspora are very poor. So no woman can marry a poor.
Further to that, they are defined as crooks, robbers & looters.
Hukupata mtoto mkuu ?Mi nimeishi uk kwa miaka minne...ugumu unakuja pale unataka usettle kwanza upige kazi upate sehemu nzuri ya kuishi hado bongo unakuta una wategemezi basi unakazana sana kupiga kazi viwandani huko au za care homes..sasa pale unakosa muda wa kusocialize na watu mbali mbali..totoz ukienda club mara kwa mara mbona zipo tu za kutosha.. maana akili yako kila saa inawaza kazi...ukija kushtuka unakuta muda umeshaenda sana...madem watu kule nao wanataka mtu mwenye uraia au mwenye kauwezo flan hivi aka mwenye future ..
Mwanangu umejumuisha sana. Umefanya overgeneralization bila utafiti. Mbona wako wengi wenye watoto kama wale waliokwenda kule na wake zao? Japo una pwenti hasa ikizingatiwa kuwa wengi ima huenda kama wanafunzi na kuacha kusoma na kusotea maisha na wengine hata bila makaratasi. Kimsingi, wanawake wa kizungu kwenye kuzaa hawana ubaguzi. Wapo wengi wanaotaka waume. Hata hivyo, hutegemea na mhusika. Wapo waliokwenda ulaya kutafuta maisha ili wakirejea nyumbani waanze maisha. Wapo ambao ni choka mbaya kiasi cha kutoweza kuvutia hata wanawake wa kuzaa nao hasa kwenye nchi ambapo wengi hawana makaratasi au kazi. Hili tatizo halina jibu moja.Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Ndiyo hivyo mkuu. Wengi wao hawana future kabisa aisee. Umasikini umewabana mpaka pua hata kupumua hawawezi.Hahahaha!
We jamaa bhanaa!
Kwahiyo hapo kwenye future ndio pagumu?Mi nimeishi uk kwa miaka minne...ugumu unakuja pale unataka usettle kwanza upige kazi upate sehemu nzuri ya kuishi hado bongo unakuta una wategemezi basi unakazana sana kupiga kazi viwandani huko au za care homes..sasa pale unakosa muda wa kusocialize na watu mbali mbali..totoz ukienda club mara kwa mara mbona zipo tu za kutosha.. maana akili yako kila saa inawaza kazi...ukija kushtuka unakuta muda umeshaenda sana...madem watu kule nao wanataka mtu mwenye uraia au mwenye kauwezo flan hivi aka mwenye future ..
Naomba kuuliza kidogo. Mademu wa kizungu wanakubali kuzaa kirahisi kama huku kwetu akina Mwajuma?Mwanangu umejumuisha sana. Umefanya overgeneralization bila utafiti. Mbona wako wengi wenye watoto kama wale waliokwenda kule na wake zao? Japo una pwenti hasa ikizingatiwa kuwa wengi ima huenda kama wanafunzi na kuacha kusoma na kusotea maisha na wengine hata bila makaratasi. Kimsingi, wanawake wa kizungu kwenye kuzaa hawana ubaguzi. Wapo wengi wanaotaka waume. Hata hivyo, hutegemea na mhusika. Wapo waliokwenda ulaya kutafuta maisha ili wakirejea nyumbani waanze maisha. Wapo ambao ni choka mbaya kiasi cha kutoweza kuvutia hata wanawake wa kuzaa nao hasa kwenye nchi ambapo wengi hawana makaratasi au kazi. Hili tatizo halina jibu moja.
Wewe ni mmoja wao?Duuh
Aah..wap..Tena wale Coco Na wakuchovya ndio usiseme....Sio kweli, Mi naona waarabu ndio wana mapenzi na watu weusi kuliko wazungu, wahindi na wayahudi.
Kama ni kwa wazungu tu, wanajali sana kinga, na kufunga funga uzazi!Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Kwani Lemutuz anasemaje? Lakini Lemutuz ana watoto wakubwa aliozaa na mkewe.Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Sifahamu nikujibu vipi maana umeandika kwa hasira sana.Wewe ni walee waafrica wakifika kwa wazungu wanajipendekeza hadi keroo yaan..huwa mnanikera sana na wajinga wenzako miwapo abroad..
Ukwel ni kwamba hakuna mzungu anapenda rangi nyeusi..ni wabaguzi kupindukia..na sio wazungu tu..wachina wahindi..pumbavuu kabisaa hawaaa..mtu mweusi yuko peke yake dunia nzimaa..lazima tujipende kwanza sisi..waafrica wakifika kule yaan wanaona kuwa karbu na wazungu ni bingo hata wa huku ni hvyo hvyoo..mzungu akiwa bongo mijitu mieusii inaona fahari kutembea nayo mitaani..shenzi kabisaa watu wa aina hiii..
Sample ya watu wawili ndo wengiNimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Mkuu uwe unafanya utafiti walau kidogo kabla hujaanzisha uzi,Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.