Kwanini Diaspora wengi hawana watoto?

Diaspora wengi wana watoto na hata huyo Lemutuz uliyemtaja ana watoto
 
First of all, most women in US are very determined &very intelligent when it comes to the relationship affairs. They are not ready to marry someone with abject poverty.

Secondly, most Diaspora are affected by marriage of the same sex. Hope you know what I mean.
 
First of all, most women in US are very determined &very intelligent when it comes to the relationship affairs. They are not ready to marry someone with abject poverty.

Secondly, most Diaspora are affected by marriage of the same sex. Hope you know what I mean.
Dude you are so daft.

How does intelligence of one, relate to the poverty if another?

Secondly, Does Diaspora to you mean only US?

Thirdly, And are you trying to implicate our men of homosexuality?

Yaani wanatoka Bongo kwenda kutafuta mabasha?

Umetukosea sanaaa.
 
Ukute wanawake wa kule ni vimeo zaidi yetu sisi.

Sasa hawa kaka zetu wanaona hapana, vichwa vibovu hivi havifai.

Rudini nyumbani bana Bora sisi mizimwi muijuayo 🤣🤣
Hao wanawake huko naona wanawezana wao kwa wao..
Na sisi wanaume tunawezana na wa huku kwetu
Sema huku afrika wana inferiority complex Wakiona mzungu wanapapatikia kumbe ile ngozi tu
 
Gusa unase, katika kitu ni hatari kwa mzungu ni umzalishe raia wao....mwanamke akikufanyia visa akataka muachane jua ngoma ya child support utaicheza mpaka unaondoka duniani au unapakimbia kwa mzungu
Really?
 
Wanaishi na ma dog kama watasha hiyo ndio familia yao kama walivyonza kuiga mastaa wa bongo baada ya kuharibu mifumo yao ya uzazi wakitaka kuwa vijana milele
 
First of all, most women in US are very determined &very intelligent when it comes to the relationship affairs. They are not ready to marry someone with abject poverty.

Secondly, most Diaspora are affected by marriage of the same sex. Hope you know what I mean.
Kigezo cha kwanza, kinatumika na wanawake karibia kote Duniani na sio tu US, maana ni suala la kisaikolojia zaidi, pale mwanamke anapotaka kizaa na kuanzisha familia kizazi chake kijacho..

Point ya pili, labda utuambie kama kuna utafiti wowote juu ya hilo?
 
Hao wanawake huko naona wanawezana wao kwa wao..
Na sisi wanaume tunawezana na wa huku kwetu
Sema huku afrika wana inferiority complex Wakiona mzungu wanapapatikia kumbe ile ngozi tu
Kuna kipindi kimoja Cha couple hookups kipo DSTV kunaitwa 90 Days Fiance ndo utachoka.

Kuna jamaa anaitwa Michael wa Nigeria Ana mwanamke anaitwa Angela it was pure madness.

I think Angela was 69 mpaka vows alikuwa hataki kufatisha kinachosemwa.

If you have time visit their IG page and scroll back utatamuni umvunje pia Michael akili zimrudie. All for A Green Card.
 
Ongeza...wengi wao wakirudi huko huwa mahamuma, walevi wa kupindukia na 99% wanakwenda kinyume na ...
 
First of all, most women in US are very determined &very intelligent when it comes to the relationship affairs. They are not ready to marry someone with abject poverty.

Secondly, most Diaspora are affected by marriage of the same sex. Hope you know what I mean.
Hatari sana hii
 
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Una assume sana.

Unasema Le Mutuz hana watoto bila hata kuuliza kwanza.

Hao wasio na watoto unataka kuwazalia?
 
Back
Top Bottom