Le Mutuz nani kakwambia hajaacha watoto huko? Alikimbia kaacha familia mwenzio.
Wanasema alikimbia child support
Le Mutuz nani kakwambia hajaacha watoto huko? Alikimbia kaacha familia mwenzio.
Dude you are so daft.First of all, most women in US are very determined &very intelligent when it comes to the relationship affairs. They are not ready to marry someone with abject poverty.
Secondly, most Diaspora are affected by marriage of the same sex. Hope you know what I mean.
Na wewe unachukua unaweka waaaaaaaah.Kwanza lemutuz kilichomkimbiza ni Child support..!
Mimi bora nibanane na mwajuma wangu tumbokubwa nikimpa chipsi vumbi na kijora cha buku 7 ananipa yotee
Akikasirika namuimbia singeli tunamalizanaNa wewe unachukua unaweka waaaaaaaah.
Hao wanawake huko naona wanawezana wao kwa wao..Ukute wanawake wa kule ni vimeo zaidi yetu sisi.
Sasa hawa kaka zetu wanaona hapana, vichwa vibovu hivi havifai.
Rudini nyumbani bana Bora sisi mizimwi muijuayo 🤣🤣
Yale ma vodka wanayokunywa mbegu zitatoka wapi,Yale mapombe na nguruwe yanaua mbegu.Huyo jamaa wa Urusi ni ndugu kabisa na mzee yaani mimi namwita baba mdogo.
Hajazaa mtoto hadi leo hii
Really?Gusa unase, katika kitu ni hatari kwa mzungu ni umzalishe raia wao....mwanamke akikufanyia visa akataka muachane jua ngoma ya child support utaicheza mpaka unaondoka duniani au unapakimbia kwa mzungu
Kigezo cha kwanza, kinatumika na wanawake karibia kote Duniani na sio tu US, maana ni suala la kisaikolojia zaidi, pale mwanamke anapotaka kizaa na kuanzisha familia kizazi chake kijacho..First of all, most women in US are very determined &very intelligent when it comes to the relationship affairs. They are not ready to marry someone with abject poverty.
Secondly, most Diaspora are affected by marriage of the same sex. Hope you know what I mean.
Kuna kipindi kimoja Cha couple hookups kipo DSTV kunaitwa 90 Days Fiance ndo utachoka.Hao wanawake huko naona wanawezana wao kwa wao..
Na sisi wanaume tunawezana na wa huku kwetu
Sema huku afrika wana inferiority complex Wakiona mzungu wanapapatikia kumbe ile ngozi tu
Hatari sana hiiFirst of all, most women in US are very determined &very intelligent when it comes to the relationship affairs. They are not ready to marry someone with abject poverty.
Secondly, most Diaspora are affected by marriage of the same sex. Hope you know what I mean.
Una assume sana.Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Halikuli likakwisha ....Ukute wanawake wa kule ni vimeo zaidi yetu sisi.
Sasa hawa kaka zetu wanaona hapana, vichwa vibovu hivi havifai.
Rudini nyumbani bana Bora sisi mizimwi muijuayo 🤣🤣