- Thread starter
- #121
SawaMkuu uwe unafanya utafiti walau kidogo kabla hujaanzisha uzi,
Katika hiyo mifano miwili uliotoa mmoja ni wa uongo, Lemutuz ana watoto wawili we umesema hana mtoto, sasa unaweza kukuta hata huyo jamaa unaemsema anaweza kuwa na watoto ila we ndio hujui,