Habaria moja ya mtu mmoja huko kilimanjaro ana watoto 12, hana nyumba na watoto hapeleki shule.
Anaomba kusaidiwa kulea watoto na kusoneshewa.
Kuna mahali serikali itamke ukomo wa kuzaa kulingana na uwezo vinginevyo baadhi wanatesa watoto.
Wenye watoto wengi wanaamini wenye watoto wachache hawawezi kuzaa, kumbe wenzao wanazaa kulingana na uwezo wa kuwahudumia
Anaomba kusaidiwa kulea watoto na kusoneshewa.
Kuna mahali serikali itamke ukomo wa kuzaa kulingana na uwezo vinginevyo baadhi wanatesa watoto.
Wenye watoto wengi wanaamini wenye watoto wachache hawawezi kuzaa, kumbe wenzao wanazaa kulingana na uwezo wa kuwahudumia