Kwanini Tanganyika itawaliwe na asiye mtanganyika!Tanganyika Nikama imevaa jina la mtandaoni Tanzania
Suruali ni ndefu ,nguo ya ndani ni ndogoKwanini Tanganyika itawaliwe na asiye mtanganyika!
Zanzibar kuna tajiri kajitolea sadaka yake.Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
Huduma zinazopaswa kutolewa na Serikali haziwezi kusubiri hisani ya matajiri.Zanzibar kuna tajiri kajitolea sadaka yake.
Kwamba analipia wagonjwa wote wanaofanyiwa Dialysis Zanzibar?Zanzibar kuna tajiri kajitolea sadaka yake.
Ndiyo.Kwamba analipia wagonjwa wote wanaofanyiwa Dialysis Zanzibar?
Hazikungoja hisani, mtu kajitolea sadaka yake.Huduma zinazopaswa kutolewa na Serikali haziwezi kusubiri hisani ya matajiri.
Huu nao ni utapeli mwingine. Hapo kuna harufu ya ufisadi nyuma ya mkataba.Zanzibar kuna tajiri kajitolea sadaka yake.
Zanzibar ilikuwa ya kwanza hata kuweka Television ya rangi barani Africa !!Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Mnaharibu figo zenu makusudi kwa kunywa mapombe makali mkidai mnakula bata.Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Tanganyika ndiyo wapi?Kwanini Tanganyika itawaliwe na asiye mtanganyika!
Na kwa kawaida suruali ni ndefu kuliko chupi...yaan nirahis kufua chupi kuliko suruali.Anaulizaje swali kama hilo wakati Zenji na Bara ni mamlaka mbili tofauti...
Wabongo wakionywa wabadili mtindo wa maisha kuepukana na maradhi kama hayo ya figo, ndio kwanza watia pamba masikioni...
Na kwa kawaida suruali ni ndefu kuliko chupi...yaan jirahis kufua chupi kuliko suruali.Anaulizaje swali kama hilo wakati Zenji na Bara ni mamlaka mbili tofauti...
Wabongo wakionywa wabadili mtindo wa maisha kuepukana na maradhi kama hayo ya figo, ndio kwanza watia pamba masikioni...
Kwakweli !Na kwa kawaida suruali ni ndefu kuliko chupi...yaan jirahis kufua chupi kuliko suruali.
Zanzibar hawafik 1m Tz tuko 60mTanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.