Lady niece
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 953
- 414
heee wewe lini amefariki huyo?
real mimi ni mchawi alafu ni popobawa,jiandae
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
nasepa.Aliyekuambia Mlm.Nyerere alikuwa na IQ kubwa nani?
Ongeeni yoteee! Tatizo lake kwangu ni ile Tabia ilyosikika miama ya nyuma na ambayo haikujibiwa. U-anglikana! pale NAM hotel!
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
Unaelewa IQ ninini na inatafutwa vipi,au unajifurahsha tu?
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
tatzo lako usingekuwa umetumika kuja kumshambulia mh lowassa.Lowassa siku zote nikwambie tu ni mtu anayefnya kaz kwa bidii yote kuhakikisha kila mwananchi anapta huduma za msingi,nadhn unakumbuka miaka ya nyuma alivhokuwa wazir mkuu kila aliyekuwa anamuona au anajuwa lowassa anakuja mkoani kwake alikuwa akikesha usiku kuhakikisha anaweka mambo sawa ili fagio la chuma lisimkute,angalia sasahv serikalini kila kanyosha miguu hakuna mwenye time,ukiingia huko maofisin utakuta watu wanacheza game tu kweny computer zao hakuna mwenye habar na wananchi wanaoishi kweny maisha magumu,najuwa unafhm hili vizur sema tu umejitoa akili ili watoto wako washibe,lowassa ana historia ya mambo mengi aliyoyafnya kweny hii kulingnisha na kiongoz mwingne kati ya hawa wanaotajwa kutaka nafs ya juu,hakuna hata mmoja anaye msogelea kwa kupiga kazi
mi nafikiri anaona aibu.
Unao ushahidi ya kwamba ni JAMBAZI? Au ni mzaa, au kufuata upepo.
wanamuita waziri mkuu mstaafu haaaaaaaah haaaaaaah