Kwanini Bw. Lowassa haongei Sana?

Kwanini Bw. Lowassa haongei Sana?

Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?

Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.

Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?

Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.

Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...

we unaangalia sura, kama mtu aliweza kukufanyia ubaya alafu wewe bado unamsifia na kumkubali, mi naona wewe ndo utakuwa na iQ ya chini kabisa.
 
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?

Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.

Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?

Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.

Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...

Unaelewa IQ ninini na inatafutwa vipi,au unajifurahsha tu?
 
Anajua ataongea sana kuanzia mwaka kesho mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa Tanganyika. Hivyo hana haraka ya kusemasema
 
mh. wadau mpo moto,, EL kwa tabiri juu ya uyu mheshimiwa ziko nying maana m2 akaae kimya hatujui aliwazalo so apo mi cna coment ,,kuna kutegemea mazur au mabaya toka kwake so cdhan ka kuna haja yakuendelea kucoment umu ndan maana kila m2 anatoa mawazo yake yakichwan mwake ambayo hana uakika ka niyakwel au la asha asa cbora mkae kimya 2,,, by EDWARD LOWASA cousin...
 
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?

Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.

Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?

Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.

Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...

Kumbuka kuedit uzi wako,wahandizi wa habari ndo nini?
 
Team EL forever. We will invite him in Korea first kwa mafunzo zaidi ya kikakamavu na sio kukenua kenua mi meno.This country need a serious candidate.
 
Ni kawaida baba ndani ya nyumba hua haongeiongei sana kama mama.
 
Nenda kamuulize si yupo!
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?

Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.

Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?

Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.

Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
 
tatzo lako usingekuwa umetumika kuja kumshambulia mh lowassa.Lowassa siku zote nikwambie tu ni mtu anayefnya kaz kwa bidii yote kuhakikisha kila mwananchi anapta huduma za msingi,nadhn unakumbuka miaka ya nyuma alivhokuwa wazir mkuu kila aliyekuwa anamuona au anajuwa lowassa anakuja mkoani kwake alikuwa akikesha usiku kuhakikisha anaweka mambo sawa ili fagio la chuma lisimkute,angalia sasahv serikalini kila kanyosha miguu hakuna mwenye time,ukiingia huko maofisin utakuta watu wanacheza game tu kweny computer zao hakuna mwenye habar na wananchi wanaoishi kweny maisha magumu,najuwa unafhm hili vizur sema tu umejitoa akili ili watoto wako washibe,lowassa ana historia ya mambo mengi aliyoyafnya kweny hii kulingnisha na kiongoz mwingne kati ya hawa wanaotajwa kutaka nafs ya juu,hakuna hata mmoja anaye msogelea kwa kupiga kazi

Huyo kayamgo si mzima. In short I hate haters The biggest reason for my hating haters is their vehemence. They don’t try to convince you, but to shout you down. Of course, that’s exactly why you’re reading this; not for a reasoned argument, but in fact for the comments section shouting match that will shortly ensue.Mtu mpuuzi na akili ndogo utamwona tu hata akiandika; Kayamgo ni mmoja wao
 
Unao ushahidi ya kwamba ni JAMBAZI? Au ni mzaa, au kufuata upepo.

Unataka ushahidi gani wakati mwenyewe alikimbia kimbunga na kuacha uwaziri mkuu kwa kufumaniwa? Huwezi kujiuzulu halafu kwa sababu ya uswaiba unaachiwa kupeta, the guy belongs to the gallows.
 
wanamuita waziri mkuu mstaafu haaaaaaaah haaaaaaah


Ni kweli kabisa yule ni waziri mkuu mstaafu.
Hivi vyeo vya kisiasa vya kuteuliwa na rais havina muda maalumu wa kustaafu. Kujiuzulu ni kustaafishwa kwa manufaa ya umma. Na ndio maana aliandika barua ya kujiuzulu kwa rais na rais akamjibu.
Mbona hata Pinda alishinikizwa mara nyingi ajiuzulu na akamwomba rais ampimzishe
lakini mh. Rais akagoma ili kuepusha usumbufu wa kivunja baraza la mawaziri?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom