Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
Lowasa si good speaker..hana mvuto kuongea km kinana..Ila ni mzuri sana wa mipango na mishemishe na hela.
Koma kubeza watu wa pwani!kwa taarifa yako ukimya wakati mwingine ni dalili ya uzezeta!Mkuu sio wahandishi wa habari ni waandishi wa habari naomba urekebishe hapo.Lowasa ni mtu wa vitendo sio kucheka kama watu wa pwani binafsi namkubali.
Kweli liyesema ukifuga mbwa usibweke,aliona mbali sana.
Kweli liyesema ukifuga mbwa usibweke,aliona mbali sana.
ACTIONS speaks louder than WORDS !!!Money speaks louder tha words!
Kule kujua tu kuwa ukisema ni pumba,na ukaamua kunyamaza,nayo ni akili.Unajitambua.Kwenye Suala la IQ NO!very big ​NOOOO!!!.Its not that direct.Siyo watu wote walio kimya wana IQ kubwa.Wengine wanajisitiri akiongea ni pumba tu.Mr EL kwa alivyocheza muvi ile ya mvua nchini Thailand namuondoa kweny IQ criteria.
unajua kiherehere ktk goli huwa wanapata goli Kipa akikosea..na kipa ukimfuatafuata kuna mara akili inakuwa tensi anapiga mbira vibaya unapiga goli....Anayakusanya siku ya kuongea jiandaeni tuuu
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...