BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,666
- 1,058
Unao ushahidi ya kwamba ni JAMBAZI? Au ni mzaa, au kufuata upepo.Kwasababu ni jambazi lililobobea.
Unao ushahidi ya kwamba ni JAMBAZI? Au ni mzaa, au kufuata upepo.Kwasababu ni jambazi lililobobea.
MUNGU WETU TUPE USAIDIZI WAKO ILI NDG YETU E.N. LOWASSA APATE KUSHINDA MITEGO NA MITIHANI NA CHUKI MBALIMBALI ILI HATIMAYE AJU KUWA RAIS WETU,KWANI UTENDAJI NA UCHAPAJI KAZI WAKE UNATAMBULiKA KOTE TANZANIA.
naona unafikiri kwa kutumia sehemu za kutolea mavi si kichwa
Ana sifa zote za kuwa amiri jeshi mkuu wa JMT.Viva Lowassa viva CCM
Kiharusi hakiwezi kuwa amirijeshi. Yaani sisi tuwe wazima alafu kamanda awe mgonjwa! Lowasa never na haitakuwa wala haiwezekani kabisa kwenda pale ikulu. Bora vita ya S. Sudan inaweza kuwa nzuri kuliko vita ya hapa Tanganyika tutapigana kufukuza mapanya vita kali sana.
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?
Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.
Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?
Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama wengine.
Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...
hujaona yule babu yenu mwiz wa wake za watu mko no umepooza kwaajili ya kuingiza mikono sehem ambayo cyo
najaribu kuwaza sipati picha. hivi kiongozi wa heshima kama lowasa yuko bunge moja na mwehu kama lema? mwache anyamaze tu
HIVI UNAFAHAMU KWAMBA PROPHET LEMA ALIMSHINDA BATRIDA BURIANI kwa TOFAUTI YA KURA ELFU 10 ? UNAMFAHAMU BATRIDA ? Kwi! Kwi! Kwi! Hiyo ni kwa manufaa yako na familia yako ! Chukua hiyo !
Kuna midomo kainunua ndio inafanya hiyo kazi, wa kwake ni kwa ajili ya kutoa hotuba fupi kwenye harambee
Batilda Buriani na sio Batrida hata kuandika hujui...
Too low!!!