Kwanini Bw. Lowassa haongei Sana?

Kwanini Bw. Lowassa haongei Sana?

Amekukosea nini huyu baba wewe? Mbona unamshushia maneno yasiyofaa?
Mimi si shabiki wa Lowasa, lakini bado sijaona dhambi kubwa aliyoikutendea kuliko hao unaowaheshimu.
Badilika Kijana.
 
Msiwe kama vipofu au viziwi jaman. Yote hayo yaliyotokea bado tu mnamuhitaji. Hiv unajua agano kati ya baba riz na huyo baba yenu mnaemtetea. Au unaongea tu coz uko huru kuongea. Anyway nasema kwa machungu coz system hii niliyopo hainipi wasaa wa kubomoka kama mlivyo huru ninyi

systeam gn ww mchumia tumbo ww,systeam unaijuwa ww??
 
systeam gn ww mchumia tumbo ww,systeam unaijuwa ww??

Hahahahaaa u don have to be angry. Jaribu kujikomboa mwenyewe maana nchi yako imeshindwa kaz yao ni kukulisha sumu uamin wao ni miungu wadogo kumbe wez
 
Yes uko verry right Kayamgo. Behaviour of a person may reflect his actions. Sasa kama matatizo yote hayo yeye kimya tuuuu. Inamaana hawaz hata kushauri??. Anasubir awekwe madarakan. Aende akaongize wenzake huko mondul wanapomkubal

Maneno matupu hayavunji mfupa,,waliongelea ni wengi lakini hakuna chochote ndo kwanza unazidi.
 
Lowassa hawezi kuongea sana kwa sababu anaogopa kuzomewa kutokana na tuhuma za ufisadi, pia ni mgonjwa mpaka aotee siku akiwa fiti kusimama na kuongea japo kwa dakika 5. Huwatuma wapambe wake, ambao ni Peter Serukamba, Beatrice Shelukindo, Vita Kawawa, Makongoro Mahanga, Diana Chilolo, Kingunge Ngombale Mwiru, Andrew Chenge, Hamisi Mgeja, Tanzania Editors Forum chini ya Kibanda, bodaboda, mapadri, mashehe njaa na wengine kuongea kwa niaba yake.
 
Lowassa hawezi kuongea sana kwa sababu anaogopa kuzomewa kutokana na tuhuma za ufisadi, pia ni mgonjwa mpaka aotee siku akiwa fiti kusimama na kuongea japo kwa dakika 5. Huwatuma wapambe wake, ambao ni Peter Serukamba, Beatrice Shelukindo, Vita Kawawa, Makongoro Mahanga, Diana Chilolo, Kingunge Ngombale Mwiru, Andrew Chenge, Hamisi Mgeja, Tanzania Editors Forum chini ya Kibanda, bodaboda, mapadri, mashehe njaa na wengine kuongea kwa niaba yake.

mbna mna weweseka sna mkisikia habar ya lowassa,ci mliamini ni fisadi sasa mnahangaika nin,mwacheni muone anavyowavua nguo,na waambieni nyie vijana vizee wa ufipa nyie kunywenu gongo lakin mwisho wa siku lowassa magogoni
 
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?

Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.

Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?

Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama matakataka wengine.

Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...

Binafsi simchukii lakini nimeshawishika kuwa hana sifa ya kuwa Rais. Hata hivyo kuna siku nilihudhuria vikao vyake viwili, kimoja Iringa, Mkwawa University, alikatisha risala baada ya risala kutamka kuwa chuo kitachukua wanafunzi mia tano kwa kuanza na baada ya kusimamisha risala hiyo yeye akaamuru kila mbinu ifanyike wachukuliwe si chini ya wanafunzi 2500 kwa intake ya kwanza.

Baada ya hapo tulikwenda mtera ambako aliweweka kiti moto wataalam wote ili palepale mtera upatikane ufumbuzi wa maji ya mtera ya tumike au yasitumike ikizingatiwa kuwa, kiwango cha chini cha kutumia maji kilifika.

Nakumbuka mwisho kabisa alimuuliza Marehemu Major General Luhanga kuwa, Mbona wewe umekaa kimya muda wote General, Una maoni gani? General kwa kucheka na ka-dharau ka-kihehe kidogo akasema "haya maji yote kwa kawaida yanatoka chini yanakwenda juu na huko juu yana- condence" hivyo msiwe na shaka, ni lazima yashuke. Mara mvua kubwa ikaanza kunyesha, tukasambaratika, tukapita katikati ya mafuriko na bwawa likaanza kutema maji.
 
Lowasa ni mwanasiasa na moja ya sifa za mwansiasa ni kujua ni lipi la kuongea na wakati gani aongee, na ni wapi pa kuongelea!
 
Hivi ni kwa nini huyu Jamaa, (Bw.Lowasa) haongeiongei, kukenuakenua meno na kucheka cheka hata kwenye Misiba kama wanasiasa wengine?

Navyojua mimi hii ni moja kati ya tabia ya watu wenye IQ ya juu sana.

Je, kwa wanaomjua kuna ukweli hapo?

Kwa maana kushambuliwa kote huku sijawahi kumsikia akiongea au kuita Wahandishi wa Habari, kama matakataka wengine.

Mimi binafsi naanza kushawishika, nimeona kitu kwake nisichoona kwa wakenua meno wengine...

Rais kikawaida huwa sio muongeaji maana kila anachokiongea hakiongei kama yeye anakiongea kwa niaba ya Watanzania milioni 40
 
MPELEKE MADHABAUNI ndiyo UTAJUA KAMA HAYO UNAYOYAANDIKA HAPA YANA UKWELI AMA LA , HUYO MTU WAKO AKIONA MADHABAHU NI KAMA FISI ALIYEONA MZOGA !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom