DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Lowassa mpaka sasa ameshakata tamaa,misukule yake ndo inahangaika..Hamtaki acheni.
Tatizo la mashine yetu ni kwamba haiaminiki!!!Lowassa anaweza lakini hana badge za uaminifu,uadilifu na maadili katika koti lake.Tulishuhudia Tz ilipoenda last time alipopewa ofisi.mkuu lowassa ni mashine.
Ww mwenyewe shaid
huitaji kuambiwa sema tu umekuwa na kichwa kigumu
Aongee nini wakati ana misukule yake inamfanyia kazi hiyo?
Lowassa mpaka sasa ameshakata tamaa,misukule yake ndo inahangaika..Hamtaki acheni.
Kwenye Suala la IQ NO!very big ​NOOOO!!!.Its not that direct.Siyo watu wote walio kimya wana IQ kubwa.Wengine wanajisitiri akiongea ni pumba tu.Mr EL kwa alivyocheza muvi ile ya mvua nchini Thailand namuondoa kweny IQ criteria.
MUNGU WETU TUPE USAIDIZI WAKO ILI NDG YETU E.N. LOWASSA APATE KUSHINDA MITEGO NA MITIHANI NA CHUKI MBALIMBALI ILI HATIMAYE AJU KUWA RAIS WETU,KWANI UTENDAJI NA UCHAPAJI KAZI WAKE UNATAMBULiKA KOTE TANZANIA.
EL aongee ili iweje wakat alishakula hela za nchi mpaka amechoka yeye.sa hiv ye anaagiza misukule yake kama nauye na sumaye
real mimi ni mchawi alafu ni popobawa,jiandae
Na Deal la RICHMOND je? Na la EPA je kwani yeye ndiye alikuwa MASTERMINDER wa vyote hivyo na Pesa chafu aliyopata ndiyo siku hizi anahonga watu kila sehemu ili awashawishi akigombea Urais wampe.
Mtu mwenye akili huwezi kumbadilisha msimamo wake kwa kumoa RUSHWA kama anazogawa Lowassa.
issue ya ricmond ulishaambiwa baba riz ndiye aliyecheza kishamba.tulia muda ukifka utapata full mkanda tulia hvyo hvyo usijisogeze
Lowasa aliamuwa tu kubeba uchafu wa bosi wake
RICHMOND na EPA lilikuwa Deal lao wote watatu:
Mamvi, Rostam na Baba Riz.
Na Masterminder wao alikuwa E.L. usijitowe akili kwa kumtoa Mamvi......
UKWELI SIKI ZOTE UTABAKI KUWA UKWELI.
issue ya ricmond ulishaambiwa baba riz ndiye aliyecheza kishamba.tulia muda ukifka utapata full mkanda tulia hvyo hvyo usijisogeze
Lowasa aliamuwa tu kubeba uchafu wa bosi wake
mkuu pole pole tu dawa itakuingia utabadilika,uache kutetea mashetani ambao hawauziki.nakuombea kwa Mungu uje uwone membe akigaragazwa mchana kweupee na Lowassa