ha ha haaaaWachina wwnyewe waliopo bongo wanaagiza magari Japan kwa nini wasiagize kwao China.
Hakika wachina wana hali mbaya pia hahahahaaaaaha ha haaaa
Daaah...Wachina wwnyewe waliopo bongo wanaagiza magari Japan
Labda wa sababu barabara nyingi za Afrika zinafadhiliwa na pesa za Wajapani ndio maana wanataka magari yao pekee ndio yapite katika barabara hizo.
Sina uhakika lakini nimeotea tu.
Mkuu, sio kwamba ushuru unategemea na uchakavu pamoja na ukubwa wa engine ya gari husika?...Nina hiyo pia kama kuna makubaliano fulani kati ya serekali na Japan maana gari za Japan zina ushuru mdogo ukilinganisha na gari kutoka ulaya au USA.
Sidhana kama mfumo wa barabara za China ni LHSNina hiyo pia kama kuna makubaliano fulani kati ya serekali na Japan maana gari za Japan zina ushuru mdogo ukilinganisha na gari kutoka ulaya au USA. China wanatumia stealing kushoto pengine ndiyo maana magari yaliyotumika hayaji TZ
Una maana China wanashindwa kutengeneza gari mpya za 4,000-USD?Wachina wwnyewe waliopo bongo wanaagiza magari Japan kwa nini wasiagize kwao China.
Huyu MATAGS ndio nani tena mzee baba?...Mta- MATAGS mkuu , na wengine wote wanaosema tunaweza kujitegemea kwa maneno huku kila siku wakipokea misaada tena bila kutuambia , kama ile bilioni 70 ya kupambana na korona
napmva kampuni moja ya magar toka chinaHabari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania;
Kwanini bidhaa nyingi zinazoagizwa kuja barani Afrika (Tanzania) zinatokea China isipokuwa magari ambayo yanatokea Japan?
View attachment 1634465
Ukiwa upo katika foleni ya magari barabarani, jaribu kufanya tathmini ya haraka haraka kwa kuangalia tu kwa macho kisha utagundua hizi ninachokisema.
Utagundua ya kuwa 98% ya gari zilizopo hapo ni za kutoka Japan (Toyota, Honda, Nissan, Suzuki, Mazda, Mitsubishi, Subaru, Isuzu) lakini bidhaa zingine madukani ni za kutoka nchini China. Why this? What's wrong with chinese automobile industry?
TAKWIMU NDOGO YA BIASHARA BAINA YA CHINA NA AFRIKA KWA MWAKA 2019
=====
According to statistics from the General Administration of Customs of China, in January-June, China’s total import and export volume with Africa was US$101.86 billion, up 2.9% year on year, exceeding the overall growth rate of foreign trade in the same period by 4.9 percentage points.
View attachment 1634490
Among these, China’s exports to Africa were US$52.86 billion, up 5.2% year on year and China’s imports from Africa were US$49.00 billion, up 0.5% year on year; the trade surplus was US$3.86 billion, up 159.0% year on year.
In June, China’s total import and export volume with Africa was US$17.09 billion, up 2.3% year on year. Among these, China’s exports to Africa were US$9.29 billion, up 0.3% year on year; China’s imports from Africa were US$7.79 billion, up 4.7% year on year; the trade surplus was US$1.50 billion, down 17.6% year on year.
In January-June, the growth rate of China’s trade with Africa was lower than those with Oceania(6.2%) and Europe(3.9%).
=====
View attachment 1634489
Kwanini magari kutoka China sio bidhaa maarufu hapa Africa (Tanzania) kama bidhaa zingine (domestic products) zilizojaa katika masoko/maduka yetu?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
MATAGA wa kisasa,Huyu MATAGS ndio nani tena mzee baba?...
Mkuu gari mpya Kwa hiyo bei, mchina akikutengenezea utawekewa injini za power tiller au zile pikipiki gari Baw. Hiyo gari ukinunua utadai urudishiwe pesa. Mchina injini anazotengeneza za Weichai bado zipo juu na zina teknolojia ya zamani.Una maana China wanashindwa kutengeneza gari mpya za 4,000-USD?
Hili ndio jibu sahihiWatanzania wengi wanapenda magari ya kijapani. Huenda kutokana na unafuu wa kuyafanyia maintenance na upatikanaji wa vipuri vyake. Ninawaza tu.
Domestic products za japan ni aghali sana my friend.Mkuu, tumeanza kutumia gari za Japan muda mrefu sana lakini kwanini hakuna "domestic products" zao madukani/masokoni mwetu?
Hili nakubaliana na wewe. Ukienda soko la wageni pale Beijing, bidhaa zao zote magumashi matupu, lakini wenyewe wanatumia simu za Apple na bidhaa Original za Europe. Wakitumia za kwao kwa mfano simu ni Xiaomi(REDI MI), ambazo ni za quality.Hapana. mchina hatengenezi bidhaa feki kwa ajili ya china na hakuna bidhaa feki inauzwa china kwa ajili wachina bali ni kwa ajili ya aftica
Ndio maana hakuna mchina aliyepo china anaye tumia TECNO , INFINIX au ITEL
Wanatumia bidhaa za europe wakati wao wanatuuzia sisi midosho...Hili nakubaliana na wewe. Ukienda soko la wageni pale Beijing, bidhaa zao zote magumashi matupu, lakini wenyewe wanatumia simu za Apple na bidhaa Original za Europe.
Mkuu, hizi simu za Xiaomi(REDI MI) zinapatikana hapa Tanzania?Hili nakubaliana na wewe. Ukienda soko la wageni pale Beijing, bidhaa zao zote magumashi matupu, lakini wenyewe wanatumia simu za Apple na bidhaa Original za Europe. Wakitumia za kwao kwa mfano simu ni Xiaomi(REDI MI), ambazo ni za quality.
Sawa my friend. Ngoja tukomae na hawa Chinese wetu kwa sasa mkuuDomestic products za japan ni aghali sana my friend.
Sawa bossHili ndio jibu sahihi
Mkuu, hakika upo vizuri sana katika mambo haya...Mkuu gari mpya Kwa hiyo bei, mchina akikutengenezea utawekewa injini za power tiller au zile pikipiki gari Baw. Hiyo gari ukinunua utadai urudishiwe pesa. Mchina injini anazotengeneza za Weichai bado zipo juu na zina teknolojia ya zamani.