Kwanini bidhaa nyingi zinazoagizwa kuja barani Afrika zinatokea China isipokuwa magari ambayo yanatokea Japan?

Labda wa sababu barabara nyingi za Afrika zinafadhiliwa na pesa za Wajapani ndio maana wanataka magari yao pekee ndio yapite katika barabara hizo.

Sina uhakika lakini nimeotea tu.

Nina hiyo pia kama kuna makubaliano fulani kati ya serekali na Japan maana gari za Japan zina ushuru mdogo ukilinganisha na gari kutoka ulaya au USA. China wanatumia stealing kushoto pengine ndiyo maana magari yaliyotumika hayaji TZ
 
Nina hiyo pia kama kuna makubaliano fulani kati ya serekali na Japan maana gari za Japan zina ushuru mdogo ukilinganisha na gari kutoka ulaya au USA.
Mkuu, sio kwamba ushuru unategemea na uchakavu pamoja na ukubwa wa engine ya gari husika?...
 
Nina hiyo pia kama kuna makubaliano fulani kati ya serekali na Japan maana gari za Japan zina ushuru mdogo ukilinganisha na gari kutoka ulaya au USA. China wanatumia stealing kushoto pengine ndiyo maana magari yaliyotumika hayaji TZ
Sidhana kama mfumo wa barabara za China ni LHS
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

Kwanini bidhaa nyingi zinazoagizwa kuja barani Afrika (Tanzania) zinatokea China isipokuwa magari ambayo yanatokea Japan?

View attachment 1634465

Ukiwa upo katika foleni ya magari barabarani, jaribu kufanya tathmini ya haraka haraka kwa kuangalia tu kwa macho kisha utagundua hizi ninachokisema.

Utagundua ya kuwa 98% ya gari zilizopo hapo ni za kutoka Japan (Toyota, Honda, Nissan, Suzuki, Mazda, Mitsubishi, Subaru, Isuzu) lakini bidhaa zingine madukani ni za kutoka nchini China. Why this? What's wrong with chinese automobile industry?

TAKWIMU NDOGO YA BIASHARA BAINA YA CHINA NA AFRIKA KWA MWAKA 2019
=====
According to statistics from the General Administration of Customs of China, in January-June, China’s total import and export volume with Africa was US$101.86 billion, up 2.9% year on year, exceeding the overall growth rate of foreign trade in the same period by 4.9 percentage points.

View attachment 1634490

Among these, China’s exports to Africa were US$52.86 billion, up 5.2% year on year and China’s imports from Africa were US$49.00 billion, up 0.5% year on year; the trade surplus was US$3.86 billion, up 159.0% year on year.

In June, China’s total import and export volume with Africa was US$17.09 billion, up 2.3% year on year. Among these, China’s exports to Africa were US$9.29 billion, up 0.3% year on year; China’s imports from Africa were US$7.79 billion, up 4.7% year on year; the trade surplus was US$1.50 billion, down 17.6% year on year.

In January-June, the growth rate of China’s trade with Africa was lower than those with Oceania(6.2%) and Europe(3.9%).
=====

View attachment 1634489

Kwanini magari kutoka China sio bidhaa maarufu hapa Africa (Tanzania) kama bidhaa zingine (domestic products) zilizojaa katika masoko/maduka yetu?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
napmva kampuni moja ya magar toka china
 
Una maana China wanashindwa kutengeneza gari mpya za 4,000-USD?
Mkuu gari mpya Kwa hiyo bei, mchina akikutengenezea utawekewa injini za power tiller au zile pikipiki gari Baw. Hiyo gari ukinunua utadai urudishiwe pesa. Mchina injini anazotengeneza za Weichai bado zipo juu na zina teknolojia ya zamani.
Ndio maana kwenye Haval na Great Wall kaweka injini za Isuzu.

Cheap is Cost.
 
Hapana. mchina hatengenezi bidhaa feki kwa ajili ya china na hakuna bidhaa feki inauzwa china kwa ajili wachina bali ni kwa ajili ya aftica

Ndio maana hakuna mchina aliyepo china anaye tumia TECNO , INFINIX au ITEL
Hili nakubaliana na wewe. Ukienda soko la wageni pale Beijing, bidhaa zao zote magumashi matupu, lakini wenyewe wanatumia simu za Apple na bidhaa Original za Europe. Wakitumia za kwao kwa mfano simu ni Xiaomi(REDI MI), ambazo ni za quality.
 
Hili nakubaliana na wewe. Ukienda soko la wageni pale Beijing, bidhaa zao zote magumashi matupu, lakini wenyewe wanatumia simu za Apple na bidhaa Original za Europe.
Wanatumia bidhaa za europe wakati wao wanatuuzia sisi midosho...
 
Hili nakubaliana na wewe. Ukienda soko la wageni pale Beijing, bidhaa zao zote magumashi matupu, lakini wenyewe wanatumia simu za Apple na bidhaa Original za Europe. Wakitumia za kwao kwa mfano simu ni Xiaomi(REDI MI), ambazo ni za quality.
Mkuu, hizi simu za Xiaomi(REDI MI) zinapatikana hapa Tanzania?
 
Mkuu gari mpya Kwa hiyo bei, mchina akikutengenezea utawekewa injini za power tiller au zile pikipiki gari Baw. Hiyo gari ukinunua utadai urudishiwe pesa. Mchina injini anazotengeneza za Weichai bado zipo juu na zina teknolojia ya zamani.
Mkuu, hakika upo vizuri sana katika mambo haya...
 
Back
Top Bottom