Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,316
- Thread starter
- #101
Unafafanua vizuri sana mkuu. Asante kaka mkubwa. Sasa mkuu ina maana kuna baadhi ya wachina wanaagiza magari "second-hand" kutoka katika nchi zingine na kuendesha huko kwao?...Kikawaida kama China ingekuwa nchi iliyoendelea bado watu wangeweza kununua kwa wingi magari used kutoka China. Mafano ni nchi za Uarabuni. Hazitengenezi magari lakini bado ni maarufu kwa watu kwenda kununua magari used ambayo mengi yamenunuliwa mapya kutoka nchi nyingine. Lakini hali haiko hivyo kwa upande wa China kwa sababu China nayo ni choka mbaya.