Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #81
Sawa mkuu...Jibu ni kwamba, mjapani ndo alianza kuliteka soko la magari used barani Africa. Mchina ameingia kwenye soko la magari hivi karibuni.
Sawa mkuu...Jibu ni kwamba, mjapani ndo alianza kuliteka soko la magari used barani Africa. Mchina ameingia kwenye soko la magari hivi karibuni.
Nilikuwa silijui hili. Asante kwa taarifa mkuu...China brand zao za magari madogo wanatumia wenyewe na kiasi kidogo wana export. Pia China kuna viwanda vya kampuni kama Volvo,Benz,Toyota na Vw wanatengeneza gari ambazo zinatumika China na kuuzwa nje.
Nimekukubali sana mkuu, uko so hamble...Sawa boss. Asante sana
Mkuu, mimi mtu akinikera sana (matusi/kejeli) ni bora nikamuweka katika IGNORE LIST yangu chaaap kuliko kukaa kutukanana mitandaoni jambo ambalo halina tija yoyote katika maisha yangu.Nimekukubali sana mkuu, uko so hamble...
Magari ya China mbona yako mengi pia Mabasi asilimia 90 ni mchina, malori HOWO yamejaa kibao, kuna magreda ya kichina yameingia. Sawa magari madogo ya kichina hakuna ile magari makubwa makubwa yapo kibao
Soko limehamia kwa maloli ya kichina saivi watu wanakimbilia faw gari lenye nguvu kama trekta na pia spear zake bei cheeeee.hizo scania na benzi ghalinsana kama spear zakeMalori bado mzungu Ana soko
Scania
Mercedes
Ninazikumbuka sana hizi pikipiki ila kwa hapa bongo zinamilikiwa sana na watoto wa kihindi na kiarabu kule Kariakoo.Mchina hakuwekeza zaidi uko kwhyo ni sahihi tu Mjapan kuwin soko lake la magari Africa. ...kingine mjapan hua pia alianza kuuza pikipiki zake Honda, Yamaha ambazo ni imara sana sema kwakua upaja wetu mdogo hatuzimudu
huko China kwenye bado mjapan anatawala soko hasa kwenye magari madogo.Jibu ni kwamba, mjapani ndo alianza kuliteka soko la magari used barani Africa. Mchina ameingia kwenye soko la magari hivi karibuni. Soko la japan lina wateja wengi na hii imevutia makampuni mengi kuanzishwa kwa ajili ya kuuza tu magari ya mtumba ya Japana
Ndio kwanza ninajulia kwako hili mkuuhuko China kwenye bado mjapan anatawala soko hasa kwenye magari madogo.
mkuu China wana assemble gari za nje hasa Toyota hiyo assembling haiwezi kuwa ndio uhalali wa kuitwa ya China kama ilivyo south africa.Ndio kwanza ninajulia kwako hili mkuu
Mkuu, suala ni ubora au unafuu? Kama issue ni ubora mbona Ujerumani wana gari bora duniani lakini hawajateka soko la Afrika?...Sidhani kama mchina atatengeneza gari zenye ubora kama mjapan,
Unafuu nao una gharama zake..Mkuu, suala ni ubora au unafuu? Kama issue ni ubora mbona Ujerumani wana gari bora duniani lakini hawajateka soko la Afrika?...
Upo sahihi kabisa mkuu ndio maana hata hayo ya Japan ni wachache sana wanaweza kuagiza yakiwa mapya 0-kmUnafuu nao una gharama zake..
Mungu hana wa kufanana naye hapa duniani mkuu. Usirudie tena kusema maneno hayo boss.Machina mungu was dunia rafiki!
In Africa, price matters more than the qualitySidhani kama mchina atatengeneza gari zenye ubora kama mjapan, angalia tu kwenye pikipiki mchina kajaza za kwake za bei nafuu huku akiziondoa pikipiki za mjapan kama Honda, Yamaha ambazo bei yake usipime.
Kuna baadhi ya wadau humu ndani wanadai ya kwamba gari "second-hand" ya mchina inakuwa imechoka sana kiasi kwamba haifai kuja Afrika tofauti na gari ya mjapan...Siku sio nyingi mtayaona magari ya Kichina kila mahali barani Afrika
Naona watu wana-hit around the bush na hakuna anayejibu. Ni hivi: China kuna mazingira mazuri ya wazalisha wengi wakubwa wa dunia kuwekeza viwanda vyao. Vitu kama cheap, reliable and high quality labour, Good Government policies vimevutia wawekezaji wengi kujenga viwanda vyao China. Hivyo basi China imekuwa kama ukanda wa kuzalisha bidhaa mkubwa kuliko sehemu nyingi za dunia. Bidhaa za China hazipo Afrika tu ila zipo dunia nzima isipokuwa nchi zilizoendelea zinapelekwa zile za grade nzuri. Kwa hiyo bidhaa nyingi zinatoka China kwa sababu ya cheap price. Ukija kwa upande wa magari, Japan wameanza kuzalisha magari siku nyingi na technolojia yao ni nzuri sana bila kusahau bei. China kwa upande wa magari wameanza kuzalisha kwa wingi siku si nyingi na teknolojia yao bado siyo nzuri hivyo ubora wa magari yao ni hafifu. Kingine: hali ya maisha ya China bado iko chini hivyo magari used yanayopatikana kutoka kwa raia wake hayako kwenye hali nzuri. Kwa kifupi kama ukichunguza utakuta nchi zilizo maarufu kwa kuuza magari used ni zile ziliendelea na raia wake wana uwezo.Mkuu, tumeanza kutumia gari za Japan muda mrefu sana lakini kwanini hakuna "domestic products" zao madukani/masokoni mwetu?
Kikawaida kama China ingekuwa nchi iliyoendelea bado watu wangeweza kununua kwa wingi magari used kutoka China kwani wachina wangekuwa wananunua mapya kutoka eg Japan kwa wingi na kuuza ya zamani yakiwa kwenye hali nzuri. Mfano ni nchi za Uarabuni. Hazitengenezi magari lakini bado ni maarufu kwa watu kwenda kununua magari used ambayo mengi yamenunuliwa mapya kutoka nchi nyingine. Lakini hali haiko hivyo kwa upande wa China kwa sababu China nayo ni choka mbaya. Raia wengi hawana uwezo wa kununua magari mapya na kuuza yaliyotumika yakiwa kwenye hali nzuri na kwa bei rahisi kwa wingi.Kuna baadhi ya wadau humu ndani wanadai ya kwamba gari "second-hand" ya mchina inakuwa imechoka sana kiasi kwamba haifai kuja Afrika tofauti na gari ya mjapan...