mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,037
- 35,904
Usilinganishe china na japan interms of ustaarabu na quality of living,japan ni kama wazungu ,wachina ni kama waafrika ustaarabu hawana na kuna masikini wengi sana hawana jeuri ya kuleta magari used huku wakati wenyewe wanayatamani.ile population imesababisha uneven distribution of resourcesKwanini magari "second-hand" ya mchina yanakuwa scrape tofauti na mjapan ilhali wao ni taifa la pili kwa ukubwa baada ya Marekani?