Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Empowering women is not a problem at all! The real problem is who is preparing these men to live with the empowered women!

Nafikiri hapa ndipo shida ilipo! Tuko busy kuwawezesha wanawake hadi tunasahau kuwaandaa wanaume namna ya kuishi na hao wanawake wanaowezeshwa tutaendelea kupiga kelele kila siku oo feminism feminism africa feminism bado sana!

Naomba elimu kidogo, Feminism maana yake ni nini?

Kwa hapa Afrika feminism inafanyika vipi?
 
Huyu saiz kabisa ndomana akijidai kuzira napiga kimya tu anakuja mwenyewe,alafu mwanamke jeur na mwenye misimamo sijui kwanini moyo ndo unamhitaji zaidi,hata chumbani dah! is so sweet.
[emoji23][emoji23][emoji23]eti mwanamke jeuri na msimamo ndio moyo unamhitaji, Ila nyie wanaume wanawake wapole huwatesa Sana acha tu mpate wakorofi ili wawasumbue sumbue tu
 
😀😂🤣😆😂!!! Si bora basi hata ingekuwa taamu... manake wakati nipo stupid boy nilishawahi kuiba dawa ya kukohoa ya mtoto wa sista; unaambiwa ilikuwa tamu balaa!!

Ilivyoisha kutokana na mimi kuiba iba si nikajipeleka mwenyewe hospitali kujidai eti nakohoa nikidhani nami nitapewa kama dawa ya yule mtoto!

Yule daktari mtu mbaya sana, though miaka mingi sana imepita lakini sijasahau ile dawa yake aliyonipea dirishani ambayo nami bila kujua nikaibugia yoooote kwa funda moja... kumbe mkojo wa punda, na nilikuwa siijui!! Ni kama masihara but ni mkasa ambao sijausahau!!!!

Tukirudi kwenye pombe sasa! Back in the days jinsi inavyopendwa si nikadhani na yenyewe ni tamu!!! Kuja kuionja sasa.... aaaaaaaaaargh!!!!


Hahhaaa...mie mwanaume timamj sipendi kbs kusikia anakunywa pombe ..akili zinageuka Kama za kina lusinde na msukuma. Usinywe. !
 
Mimi nadhani zianzishwe movements za kusaidia wanaume hasa wa ki Africa maana now wanachangamoto nyingi Sana kijamii,na vile wamesahaulika basi Ni changamoto sana

Yes nafikiri hili pia ni wazo zuri! Linaweza kuwa msaada mkubwa kwao!
 
Hili povu vepee maana umeanza personal attack tu nyingi Mara single moms Mara kile na wewe si uwe single daddy, kavue boxa ili upewe kazi si una mtaji haya vua boxa upate kazi ujikwamue kiuchumi.

Loser!!!
 
Hata nikizeeka Kuna shida nilizaliwa kufanya makubwa zaidi kuliko kufanya vitu visivo happy, Kuna watu wameoa, olewa with nothing to show zaidi ya viungo vya uzazi ambavyo kila mtu anacho.
So depending na uelewa wa mtu na mipango yake
Sasa dada Kuna kubwa gani ushafanya zaidi ya kushinda jf kuolewa ni heshima .
 
Sperm collectors mtasanda tu ni mwendo wa kuwamwagia manii afu tunaeda kuoa wanawake wanaojua nafasi yao kama wanawake nyie ni makopo ya kutolea ugwadu tu m.*****

We jamaa mbona una lugha mbovu sana? Halafu mbaya zaidi unaona kama eti mwanaume kummwagia mwanamke manii basi ni tusi kubwa wakati hakuna binadamu chini ya jua ambaye kaja duniani bila baba yake kummwagia manii mama yake sema lingine!

Hilo siyo tusi ni asili! Na tena wote mnapata raha!
 
Na mdada anayekubali kuolewa na mtu Hana nyumba yenye bomba ndani ajichunguze wanaume wasio na kitu ni vinara wa unyanyasaji Sana kwa wanawake hata mkitofautiana mawazo anaita ufelimism.
Ndio yeye anaweza ona kupelekewa maji ndio mke mwema Ila wengine hawafikirii hivo wao wapelekewe sawa hata wasipopelekewa it's okay
Hafu majority humu wanaamini mwanamke akitofautiana mitazamo basi ni feminist, Mara hivi Mara vile, ka JF ni great thinker lakini bado watu wako na narow mind tuna safari ndefu sana
......Nyumba yenye bomba ndani...!!!

Are you serious..!!!??
 
Dah! Mi sijui bhana lakini binafsi, mwanamke wa "hewala baba..." simpendi hata kidogo!!! Yaani mi wanawake aina ya Fatma Karume ndo huwa wananitia nyege kweli kweli kuliko wanawake aina ya Mama Samia Suluhu!

Raha ya demu, muwe mnabishana... tena mwanamke wa aina hii unadumu nae kweli kweli! Ukiniuliza my ex ambae hadi leo sijamsahau ni yule niliyekuwa nae college manake hadi classmates walikuwa wanashangaa nawezana wezana nae vp... kwanza alikuwa hapendi kuonewa no matter what!!

Haki tena, I miss her pamoja na kwamba miaka kadhaa imepita!!!


Umenena kweli tupu ndugu mwandishi!Raha ya kuwa kwa rlshp mbishane mbishane sio unaburutwa tu...arghh wakafie mbele
 
Ndo maana kumbe wewe ni yai bora.kumbe Kuna mtu nyuma aliyekufanya uwe hapo ...jamani kina mama waleeni watoto wenu kwa usawa..Ila Bahati mbaya sana wanaume Kama we wanapataga wake majanga. Yaani
omba Sana Mungu akupe mke mnayeelewana!
Hakuna mwanamke hapa duniani asiyependwa kusikilizwa maoni yake na mumewe nasema hakuna .msikilize mkeo then mrekebishe. Mpe na ww idea yako fikieni conclusionpamoja ..hamtakufa kwa stress Kama mnavyodondoka Sasa hivi kwasababu ya kukifanya nyie ndo nyie...na mtakufa had mkome
To be honest, sio kwamba naongea ili mradi tu nionekane naongea but deep inside my heart, I believe in women, kwahiyo nakuunga mkono hapo uliposema niombe Mungu nipate mwanamke tunayeelewana!

Ule msemo wa "To every successful man there's a woman behind him" kwangu hauna japo chembe ya kasoro!

Hata mimi mwenyewe kuna wakati nilifulia ile mbaya coz' of my brothers!!!

But amini usiamini, hadi kesho I still believe lile lilitokea kwa sababu sikuwa na mke! Kwa ujinga wangu, naamini ningekuwa na mke, ambacho my brothers walifanya, wife asingefanya kwa sababu angeona hii ni kwa ajili yetu sote, and the children!

I still believe mwanamke isn't just a wife wa kukutana nae tu kitandani but a friend and partner in maendeleo!!! Ni kutokana na mentality yangu hii ndo maana kwangu ni ngumu sana, tena sana kuvurugana na mwanamke hadi tushindwe kuongea!!!

Hata hapa JF wakati mwingine ninaposoma michango ya watu inayoonesha uadui mkubwa na ma-ex wao, mwili huwa unasisimka ajabu na kujiuliza ni nini hasa huwa kinatokea hadi hatimae kinafanya watu waliokuwa pamoja, finally wanakuwa maadui wa kutupwa... God forbid!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom