Hapa naona unatusemea na unatoa maana ambayo si sahihi kuhusu mwanaume.Mwanaume anayejiamini Hana mda mchafu wa kubishana na wanawake ili aonekane yeye kidume,
Mathalani nikijiongelea mimi, mimi sina haja ya kuonyesha uanaume wangu kwa mwanamke hata kwa bahati mbaya sababu, najua fika mwanamke awe atakavyo kuwa lazima awe chini yangu sababu hii ndiyo asili.
Hapa tupo kwa ajili ya kuwashika mkono, kwani mwalimu ni kipofu na nyinyi mmefanywa vipofu sababu hamkupewa misingi zaidi ya kushindana na sisi, sasa hakuna aliyewahi kushindana na asili akashinda, vita vyake ni balaa. Ajabu wanawake nyinyi huwa mnatafuta ulinzi toka kwetu. Huwa nacheka sana.
Hakuna anaye jilinganisha na mwanamke, sababu hili ni kosa kidini na kosa la kiufundi, ndiyo maana sisi wake zetu tuna waheshimu, tunawalinda, tunawasimamia na kuwaenzi pia.kidume kinachojiamini kinaheshimu wanawake, na Wala hakijilinganishi maumbile yake ili kionekane Bora.
Hakuna aliye sema ubora hapa, wala hakuna aliyesema mwanamume ni bora zaidi ya mwanamke, kwa sisi watu wa imani tunasema hivi "Mbora katika viumbe ni yule ambaye ni mchamungu". Kwahiyo hapo mwanamke anaingi, mwanamume anaingia, mweusi anaingia, mweupe anaingia na mwekundu kadhalika anaingia.Halafu ukisema maumbile ndio ubora wa mwanaume how about sex toys dildo lenyeee ni mb...
Ila hakuna kufanana kwa haki sababu maumbile yetu hayafanani, kiasili mwanaume ameumbwa jasiri mtafutaji yaani mwenye kumletea mwanamke, kinyume chake madhila mnayaona hata wewe kama ukiamua kuwa mkweli huu ukweli utausema, ila kama umeamua kujifurahisha, endelea kujifurahisha.
Ni matumizi mabaya ya akili kulinganisha mdoli na mwanadamu aliye hai na utashi, acha kuleta mzaha bibie, hili ni tatizo lenu lingine, la kushindwa kufikiria mambo jinsi yalivyo.
Sasa kama unalijua hilo, kwa lipi umlinganishe mdoli ba kilicho hai ? Bibie unaonekana unaleta mzaha na haya mambo ndiyo maana unabishana na ukweli.Ya kiume Ila haliongei Wala halina SAUTi kwahyo kisa umbile lake tayari ni mwanaume?
Ahsante.