hahahahhaha ni kweli mama naye anahitaji massage na kufarijiwa hasa wote mnapokuwa in relax mode au mama anapokuwa naye hayuko vizuri hili liko wazi..
Point yangu ipo hapa, kwa familia nyingi za KiAfrica na hata huko ughaibuni, Mwanaume ndio mpambanaji kwa muda mwingi na ndiye anakutana na magumu sana hivyo asilimia nyingi atahitaji sana huduma na faraja kutoka kwa mama.
Hivi kiukweli usiku umefika wote mko hoi, mama mpambanaji na baba mpambanaji na wote mnarudi saa nne saa tano usiku unafikiri kuna maisha hapo...na hata yakiwepo effect kubwa inahamia kwa watoto..ndio maana tunaprefer na ni uumbaji lazima mwanamme apambane na magumu na mwanamke abaki nyumbani amerelax na kudeal na vitu vidogovidogo otherwise kiukweli sioni umuhimu wa watu kuoana..