Molleli Senior Member Aug 29, 2020 184 165 May 13, 2024 #1 Naombeni majibu wandewa. Kuna mmoja aliniambia wanafanya hivyo kwasababu ma boss wao huwa wanawasumbua. Je, kuna ukweli kwenye hili?
Naombeni majibu wandewa. Kuna mmoja aliniambia wanafanya hivyo kwasababu ma boss wao huwa wanawasumbua. Je, kuna ukweli kwenye hili?
Lavit JF-Expert Member May 16, 2011 13,365 27,817 May 13, 2024 #2 Ongea vizuri na huyo mwanamke wako, pole sana!
Flava90s JF-Expert Member Dec 13, 2017 265 389 May 13, 2024 #3 Ni Utoto, Ushamba, Ujinga, Ulimbukeni na Umalaya japo sio kwa wote.
DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 18,546 47,122 May 13, 2024 #5 Dependence syndrome- MTU akiwa anategemea Sana watu ili mambo yake yaende atakuwa hivyo Ila japo watu wemgine ni kwa ajili ya kuongeza privacy tu.
Dependence syndrome- MTU akiwa anategemea Sana watu ili mambo yake yaende atakuwa hivyo Ila japo watu wemgine ni kwa ajili ya kuongeza privacy tu.
Molleli Senior Member Aug 29, 2020 184 165 May 13, 2024 Thread starter #7 Lavit said: Ongea vizuri na huyo mwanamke wako, pole sana! Click to expand... 🤣🤣
Molleli Senior Member Aug 29, 2020 184 165 May 13, 2024 Thread starter #8 Lavit said: Ongea vizuri na huyo mwanamke wako, pole sana! Click to expand... 🤣
Molleli Senior Member Aug 29, 2020 184 165 May 13, 2024 Thread starter #9 Sainya Jnr said: Walioweka hizo features sio wajinga Click to expand... Kuna kitu ulitaka kusema mkuu
Sainya Jnr said: Walioweka hizo features sio wajinga Click to expand... Kuna kitu ulitaka kusema mkuu
Molleli Senior Member Aug 29, 2020 184 165 May 13, 2024 Thread starter #10 Briancah said: Mh! Click to expand... Mmh! Jitetee
D Diz26 Senior Member Nov 1, 2023 147 323 May 13, 2024 #11 Ni kupunguza tu usumbufu ,kuna watu wakiona mtu online atatuma hey hey zisizoisha
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 47,178 122,739 May 13, 2024 #12 Lavit said: Ongea vizuri na huyo mwanamke wako, pole sana! Click to expand...