Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Status
Not open for further replies.
Ndio ni kama ulivyoeleza ila mimi nijuavyo ni kuwa mwislam haruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini bila kusilimu kwanza na ndio maana nikauliza kwa wanaojua zaidi yangu wanieleweshe! je,papa alisilim au ilikuwaje???

Mbalinga ulishawahi ingia msikitini ukafukuzwa...???
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mbalinga a.k.a Albosignathus......Umeanzisha post halafu una-insinuate mwenyewe maana umeona unachotaka kukichokonoa hukipati..

Wenzako wanajua lizichezea ID mbili mbili sasa wewe umejichanganya hapa..

Jipange tena.

Acha kuzuga wewe.naamini jibu unalo kichwani ila unaona aibu kuweka wazi mbele ya wana jamvi.
 
Last edited by a moderator:
Waislam wanaamini kwamba YESU alikufa na kufufuka??

Wanaamini kuwa yesu (nabii issa) hakufa.wakati wanampiga kabla ya kumtundika msalabani alitoweka tetete haya wanayapata ktk hadithi ya nabii issa. Wana story ya tofauti sana na sisi hawa wenzetu
 
Acha kuzuga mkuu.toa jibu,kwanini papa aliswali msikitini?? Tena mwingine aliingia na ndula msikitini.Je ukristo wa kweli ndio unavyotaka hivyo??

Mkuu,

Kwa kifupi,hii issue yakua Pope Benedict kuwa alisilimu au kuonyesha interest kubwa mno kwa Uislam...inajulikana mno na imetapakaa saana tu!...yaani hii ni open secret ya Vatican! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Yaani Pope Benedict alionyesha ishara/interest kubwa mno kwa Uislam...kiasi ya kuleta suspicion hata kwa wale close confidants wake mlemle ndani ya Vatican!?

Ndo maana inasemekana,pamoja na jitihada kubwa za Vatican/Catholic machine kuficha "kashfa"/ukweli huu...lakini solution ga mwisho walimlazimisha ku-resign!...hii ni baada ya kuwa under surveilance kwa muda mrefu mno!? Duuuh!

Pope Benedict,alikataliwa na Vatican hata kwenda kuishi nje ya Vatican/preferably kwao Germany ili kwenda kumalizia mwisho wa uhai/maisha yake hapa duniani!? Daah!

Pana habari nyangine,yakua wale maharamia/Mafioso aka Vatican insiders wamemweka under house arrest!...japo kwenye macho ya dunia analazimishwa/alilazimishwa kuonyesha yakua everything is rosy n kool!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Kwa kifupi Mkuu,inaelekea weye sio Mkatoliki!?...sasa ngoja waje wenyewe hapa,labda watatupa ufafanuzi zaidi!?

Calling; Remote,Mzito Kabwela,Matola,Nicholas,Yericko Nyerere na Mkuu Tedo!

Ahsanta sana!
 
Kutokana na pattern ya hizi posts/comments zako...sasa naanza pata picha yakua labda weye unachukia/hupendi kama pakiwepo mahusiano mema baina ya Viongozi Wakuu dini mbalimbali!?...au labda hata waumini wao,au!? Daah!

Sasa,pana ubaya gani hao Popes na Masheikh/Maulamaa kujaribu ku-mend zile old indifferences/tensions baina ya dini/imani zao na Waumini wao!?

Huoni faida zake nyingi mno kwa maslahi ya dunia nzima!? Daah!

Hivi weye kweli ni Mwana-Adam mtakia mema dunia hii!?

Ahsanta.

Unaongea kidunia kumbe?? Mimi naongelea kiimani mkuu! kwanini mashehe,maulamaa na wachungaji wasiwe wanaenda disco ili dunia iwe salama na amani zaidi.
 
Wanaamini kuwa yesu (nabii issa) hakufa.wakati wanampiga kabla ya kumtundika msalabani alitoweka tetete haya wanayapata ktk hadithi ya nabii issa. Wana story ya tofauti sana na sisi hawa wenzetu

Hiyo imani yao kwa UKRISTO ni batili au sahihi?
 
Ndugu wana JF.Ningependa kupata ufafanuzi kwa wale wanaojua kwamba kwanini Papa huingiaga msikitini ilhali yeye sio muislam na ukizingatia kwamba waislam hawaruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini???

kunaubaya gani mtu huyu kuingia msikitini
 
Mkuu umeshawahi kusikia watu wanao itwa Sabato Masalia/Matengenezo ak.a SDA....???

Mkuu,

Hao Seventh Day Adventists...siwafahamu!

Lakini nina rafiki yangu wa karibu yupo pale Helsink/Finland...yeye anatokea Uganda...japo ameoa na anaishi pale kwa myaka mingi mno!

Huyu jamaa ndo muumini na pia kiongozi wa Kanisa/imani hiyo pale Helsink!...ni mtu mstaraabu,mtaratibu na mashuhuri kiasi chake pale kwenye kitongoji chake!

Ahsanta sana.
 
Tulimwambia huyo papa akaoge JANABA kwanza ndio aingie msikitini.

Na papa alishatamka hadharani kuwa MUNGU NI MMOJA NA MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
Lkn maslahi ya dunia ndio yaliomfanya AFE KAFIRI kwa kuabudu masanamu.

Mhammad ni mtume wa Mganga wa kienyeji. inapatikana kitabu cha maisha ya Mhammadi, uk.7
 
Hiyo imani yao kwa UKRISTO ni batili au sahihi?

Usahihi unatoka wapi ikiwa tunapishana kiimani.wakristo wanaamini yesu alikufa na alifufuka now if this is true or not that is another thing to discuss. Lakini wao hawaamini kuwa alikufa sembuse kufufuka.
Hivyo imani yao kwetu ni batili ktk minajili hiyo
 
kunaubaya gani mtu huyu kuingia msikitini

Ubaya ni kwamba waislam hawamruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini na kuswali nao pamoja mpaka uwe umesilim.sasa najiuliza papa ye alifanyeje mpaka wakamkubalia??
 
Unaongea kidunia kumbe?? Mimi naongelea kiimani mkuu! kwanini mashehe,maulamaa na wachungaji wasiwe wanaenda disco ili dunia iwe salama na amani zaidi.

Mkuu,

Mie kwakua bado sijafa siwezi kujitoa ufahamu na ati kujifanza "nazungumza kiroho"!? Duuh! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Mie bado nipo duniani,sasa wataka nizungumze kiwapi Mkuu!?

Au weye watakaniletea mambo ya mapepo Mkuu!? Duuh!

Hata hivyo,nimefurahi yakua tumezungumza hii leo kwa mara ya mwanzo!

Nakwacha kwaleo,maana mie si mtaalamu wa haya majambo ya dini/imani ambazo si zangu!

Ahsanta.
 
Usahihi unatoka wapi ikiwa tunapishana kiimani.wakristo wanaamini yesu alikufa na alifufuka now if this is true or not that is another thing to discuss. Lakini wao hawaamini kuwa alikufa sembuse kufufuka.
Hivyo imani yao kwetu ni batili ktk minajili hiyo

Omeongea vizuri.Sasa inakuwaje kiongozi wa katoliki kwenda kusalishwa na watu wanaokataa kwamba Yesu sio mwana wa Mungu??
 
Mkuu,

Hao Seventh Day Adventists...siwafahamu!

Lakini nina rafiki yangu wa karibu yupo pale Helsink/Finland...yeye anatokea Uganda...japo ameoa na anaishi pale kwa myaka mingi mno!

Huyu jamaa ndo muumini na pia kiongozi wa Kanisa/imani hiyo pale Helsink!...ni mtu mstaraabu,mtaratibu na mashuhuri kiasi chake pale kwenye kitongoji chake!

Ahsanta sana.

achana na tedo sanamu zirisha mharibu, yeye ugomvi wake ni SABATO
 
Usahihi unatoka wapi ikiwa tunapishana kiimani.wakristo wanaamini yesu alikufa na alifufuka now if this is true or not that is another thing to discuss. Lakini wao hawaamini kuwa alikufa sembuse kufufuka.
Hivyo imani yao kwetu ni batili ktk minajili hiyo

Omeongea vizuri.Sasa inakuwaje kiongozi wa katoliki kwenda kusalishwa na watu wanaokataa kwamba Yesu sio mwana wa Mungu?? Je,alikengeuka au la??
 
Ubaya ni kwamba waislam hawamruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini na kuswali nao pamoja mpaka uwe umesilim.sasa najiuliza papa ye alifanyeje mpaka wakamkubalia??

Naona Mkuu bado unawaandama jamaa zako Wakatoliki, mpaka kieleweke,sio!? Teeeh! Teeh! Teeeh!

Kama wewe umethibitisha yakua Pope alisali kwa kanuni na tartib za Kiislam...basi lazim itakua alisilimu...japo kisirisiri,au!?

Shukran!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom