Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Status
Not open for further replies.
Walio wazima hawamuhitaji DACTARI Bali wale walio WAGONJWA!Asema BWANA!

Papa naona anaifata Injili kwa ukamilifu kabisa!


UKRISTO ni UPENDO!
Na haya ndiyo mafundisho ambayo mara zote Yesu Kristo alifundisha na watu wakashangaa!

DINI ya kweli hutumii nguvu kuijua,utaiona tu kwa matendo ya wanaoifuata!!

Biblia inasema "MSIFUNGE NIRA NA WASIOAMINI' Kumbuka DANIEL,MESHACK NA ABEDNEGO katika uwanda wa Dura walikataa kuitumikia miungu japo walikuwa na upendo wa kweli wa Mungu.Kwanini PAPA yeye alikubali kuitumikia miungu???
 
Biblia inasema "MSIFUNGE NIRA NA WASIOAMINI' Kumbuka DANIEL,MESHACK NA ABEDNEGO katika uwanda wa Dura walikataa kuitumikia miungu japo walikuwa na upendo wa kweli wa Mungu.Kwanini PAPA yeye alikubali kuitumikia miungu???

Yaani Papa kuingia msikitini siku moja tayari keshafunga nira na wasioamini?

Kama si Yesu Kula na kulala pamoja na wapagani huko alikokuwa anahubiri injili,unafikiri leo ukristo ungekuwapo?

Lazima tujue kuwa dini pia zinatofautiana,wakati waislamu wanaamini sana masuala ya usafi wa mwili kama mavazi,kutawadha,uelekeo wa kusali(kuelekea Mecca),kuvua viatu wakati wa kusali,wakristo wanaamini katika usafi wa roho.

Kujaribu kulinganisha dini hizi mbili kwa vigezo hivyo ni kupoteza muda!
 
Yaani Papa kuingia msikitini siku moja tayari keshafunga nira na wasioamini?

Kama si Yesu Kula na kulala pamoja na wapagani huko alikokuwa anahubiri injili,unafikiri leo ukristo ungekuwapo?

Lazima tujue kuwa dini pia zinatofautiana,wakati waislamu wanaamini sana masuala ya usafi wa mwili kama mavazi,kutawadha,uelekeo wa kusali(kuelekea Mecca),kuvua viatu wakati wa kusali,wakristo wanaamini katika usafi wa roho.

Kujaribu kulinganisha dini hizi mbili kwa vigezo hivyo ni kupoteza muda!

Ni shida...jamaa amekaa kiushabiki maandazi na wala hajui maana
 
Biblia inasema "MSIFUNGE NIRA NA WASIOAMINI' Kumbuka DANIEL,MESHACK NA ABEDNEGO katika uwanda wa Dura walikataa kuitumikia miungu japo walikuwa na upendo wa kweli wa Mungu.Kwanini PAPA yeye alikubali kuitumikia miungu???

Kwani Waislamu hawaamini? unaongea vitu gani?
 
Yaani Papa kuingia msikitini siku moja tayari keshafunga nira na wasioamini?

Kama si Yesu Kula na kulala pamoja na wapagani huko alikokuwa anahubiri injili,unafikiri leo ukristo ungekuwapo?

Lazima tujue kuwa dini pia zinatofautiana,wakati waislamu wanaamini sana masuala ya usafi wa mwili kama mavazi,kutawadha,uelekeo wa kusali(kuelekea Mecca),kuvua viatu wakati wa kusali,wakristo wanaamini katika usafi wa roho.

Kujaribu kulinganisha dini hizi mbili kwa vigezo hivyo ni kupoteza muda!

Yesu alikula na wasioamini na kuwapa INJILI akupewa yeye INJILI ila papa ALISWALISHWA!! Ina maana alimtumikia ALLAH na Mohamed S.W.Je ni haki kwa mafundisho ya mkristo??
 
si kweli kuwa waislam hawaruhusu mtu asiye kuwa muislam aingie msikitini. mtu yoyote anaruhusiwa kuingia msikitini bila kujali dini yake ili mradi afate masharti kama vile kuvua viatu na kwenda kutia udhu. sema akishaingia msikitini haruhusiwi kusali hadi asilimu. ACHA KUKALILI NDUGU.
Kama haruhusiwi kusali mbona Papa amesali..
 
Anatafuta mabomu na magaidi kisha infor anapeleka kwa "polisi wa dunia"

Awapeleka polisi kwanza Mapadri wanaof.ir.a watoto makanisani.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Yesu alikula na wasioamini na kuwapa INJILI akupewa yeye INJILI ila papa ALISWALISHWA!! Ina maana alimtumikia ALLAH na Mohamed S.W.Je ni haki kwa mafundisho ya mkristo??

Huwezi kwenda msikitini siku moja halafu ukaswali!!Lazima upitie mafunzo ya jinsi ya kuswali ndipo uswali!

Hata sisi wakristo huwezi kuwa mkristo kama hujabatizwa!Kuingia kwako kanisani siku moja hakukufanyi kuwa mkristo mpaka pale utakapo batizwa!

Papa hajawahi kuhudhuria msikitini kujifunza namna ya kuswali ndio maana hata papa aliwahi kuingia msikitini na viatu kinyume na taratibu za kiislamu!

Papa John Paulo alipopigwa risasi na kijana muumini wa kiislamu,alimsamehe alipokamatwa.Na kijana alipopata nafasi ya kuhojiwa alisema wazi kwamba aliaminisha vibaya na viongozi wa dini yake!Na kabla hajafa walikuwa marafiki na chuki zote ziliisha!

HUO NDIO UKRISTO,NA HIVYO NDIVYO UKRISTO UMEKUWA UKIHUBIRIWA!Kama Una kisasi dhidi ya wale wanaokutenda mabaya UKRISTO HAUKUFAI!
 
Kuna kuingia msikitini na kuna kuswali ..... lazima vifahamike hivo kwaza,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom