Kwa akili za wazanzibari watavunja mlango tu wakutoe mzimamzimahata hivyo,
kuzingatia table manners ni muhimu zaidi, sio tu katika mwezi huu wa mfungo bali nyakati zote za kula ...
hivi ukapika chakula chako kwako ukakaa ndani kwako mezani na familia yako mkafakamia msosi wenu taratibu bila kuwasumbua wengineo walioko njee , waliofunga nani atahangaika na wewe?π
watajuaje unakula, ama ukila unapiga makelele au wale samaki mlonunua pamoja pale sokoni ulikua unawapeleka wap πKwa akili za wazanzibari watavunja mlango tu wakutoe mzimamzima
Makaangizo hayana siriwatajuaje unakula, ama ukila unapiga makelele au wale samaki mlonunua pamoja pale sokoni ulikua unawapeleka wap π
ndio maana nasema observe table manners hakuna atakae jua unakula au umekula π
swali la kujiuliza, ni mungu wa aina gani hawa jamaa wanaabudu, wamefura kwa hasira utafikiri wamefanywa chochote, kumbe mtu alikula chakula kwa pesa yake na bila kuwaingilia kwa chochote. huyu mungu wao lazima ni mbaya sana, naye ni shetani kabisa. sio Mungu yule ambaye wengine tunaabudu. uislam ni ushetani wa wazi wazi.Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
hata walio funga wanakaanga na hakuna mwingine anampangia mwingine ale saa ngap πMakaangizo hayana siri
Hawa watu ni wabaguzi sana. Mioyo yao imejaa na kusheheni chuki za wazi dhidi ya watu wa bara.
Na jinsi walivyojazana huku bara siku muungano ukivunjika sijui watajificha wapi
Utajaza mwenyewe.....Nani ! Waislamu au ??!!
Kule Zanzibar kuna ustaarabu wake mijitu mingi ya Tanganyika ikija kule inataka kufanya uchokozi kwa makusudi matokeo yake ndio hayo apo, mimi ushauri wangu kama huna kazi ya maana huna haja ya kwenda Zanzibar na ndo maana tunaomba duaa passport zirejeshwe kuingia Zanzibar ili kuondoa vitendo kama ivi
Kwani wauslamu walioko Bara wenyewe wanasema je?Aisee hata hapo upanga dsm karibu na Campus ya MUDCC ,kipindi cha ramadhani migahawa mingi hufungwa.
Hawa ndugu zetu waislamu kiukweli huu si uungwana kabsaa. Huku Bara tukiamua kuwafanyia hivyo itakuwaje? Hata kwenye huduma tu kata,ardhi,elimu n.k?
Sio sawa.jamani wabara wenzangu muda mwengine inabidi tujifunze kuheshimu tu sheria na tamaduni za eneo husika mana huo ndio utamaduni wao hata kabla yamuungano kwamba mwez wa ramadhani kula mchana tena mbele za watu ni kinyume cha sheria unguja.
Wasizionganishe acha watu wachambue hili suala from their perspective.Moderators unganisheni hizi nyUzi zenye malalamiko kuhusu Zanzibar zimekuwa nyingi.
Hizi picha/video hazipendezi. Wazanzibar na viongozi wao wajitathmini. Kuna dhambi kubwa zaidi zinafanyika huko kuliko hizi za wasio fungal wazifanyie kazi.