Hivi nawezaje kupata list ya wachezaji wa Simba.
dawa yangu ya mchwa haifanyi kazi,wale wahuni watakua wameniuzia feki.....!
Kweli JF kiboko,nilikuwa na mastress lakini baada ya kusoma hii thread nimecheka mpaka
machozi yananitoka na mastress kwishia mbali.Kiukweli makamanda mmetisha kwenye huu uzi
mpaka mtu kala BAN'
Kwa hiyo kwa akili yako watu wa iringa walimtuma akamjadili kinana tu,sasa mbona kamjadili hadi kachoka na kinana anaendelea tu kujenga chama chake wala hajatikisika.
Post hii imesaidia pia kujua vijana wa bavicha ambao kazi yao ni kupindisha mada na kutukana mbona leo hamtukani au matusi yamewaishia au yawezekana msigwa ndo mtambo wa matusi kwa vile polisi wamemfunga mdomo ndiyo maana mnakosa kiongozi wa matusi.
msigwa anajua tu kupiga kelele lakini alivyofika polisi kawa mpole na katulizwa chezea kamhanda wewe.
Kenya imepoteza matumaini ya kucheza Kombe la dunia Mwakani
labda ni ushamba wangu,au
sijui kutotembea kwangu mjini na vijijini,ngoja niwaulize wana jf eti
ulishawahi kumuona MWANAJESHI ALBINO?
Unatafuta list ya
wachezaji wa Simba kwa vile umesikia Rooney anahamia team hiyo? Chezea
Simba wewe! Karibu sana
Serikali marehemu dhaifu mpaka inachonganishwa,mdogo wake mbowe superpib kama ananyamzisha serikali dhaifu pekee yake ,wananchi hawazalishi kwa sababu mama yako analisha vijana wote wa nchi hii ndio anawalimia huko vijijini ambako wako aslimia 75,kuandamana ruksa sheria inaruhusu na mtu anatembea kwa kwa miguu yake kwa kukubaliana na sera sahihi sio mfu,mbona wewe na mama yako na ndugu zako chadema imewaweka mjini ,wewe ndio mchonganishi una sura mbiliVigumu sana kuwatenganisha chadema na anguko hili la elimu hapa Tanzania kwakuwa;
Chadema wanaongoza katika kufitini serikali na wananchi katika mambo mengi hata pale ambapo ukweli ulivyo serikali imejitahidi kiasi chake na huku ikiendelea kushughulikia matatizo mengine ya wananchi.
Mbowe anamdogo wake wizara ya elimu anaeshutumiwa kutengeneza mazingira ya vijana wetu kufeli lengo lilelile la uchonganishi.
Chadema imeandika barua kwa wafanyabiashara ili bei ya bidhaa zipande ili aendelee kuumia mwananchi lengo lilelile uchonganishi.
Chadema inapotezea wananchi hasa wanafunzi muda kwa kuwashajihisha waandamane huku wakiacha kufanya kazi za kuzalisha na kwa wanafunzi kutumia muda wao kutembea mabarabarani lengo unalijua? Uchonganishi hasa pale mtu akishinda kuandamana jioni akilala na njaa chuki zote kwa serikali, mwanafunyi huyu alietumia muda wake mwingi kuandamana akifeli tuhuma kwa serikali.
Hapana sidhani kama ni njaa ila tu ameamua kurudi nyumbani, home sweet!Na jose mambwembwe amesaini mkataba wa miaka 4 Chelse Fc. Ni njaa au kule alipotoka alikosa promo ya media?
Du, majibu kwa swali la mleta mada hii yamenivunja mbavu!